N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Mti huu nimetaka kuupanda lakini kuna watu kama watatu wanasema mti huo una uhusiano na masuala ya ushirikina kwamba husababisha matatizo ya uzazi ktk family. Tuache uchawi ktk utunzaji mazingira na mvua hizi naupanda msinitishe. Ova
N'yadikwa
Sent using Jamii Forums mobile app
N'yadikwa
Sent using Jamii Forums mobile app