Kuanzia miaka 3-5 mtoto wa kike anakuwa na mapenzi kwa baba yake. Humuonea wivu mama yake na anakuwa na hasira naye kwasababu ya ukaribu uliopo kati ya ko na mama yake.Kike
Nyie wakenya hamna watoto?Hii si ungepeleka kwenye jukwaa la mapenzi. Sasa sisi Wakenya tutakusaidia vipi jameni.
Itakuwa Wakenya ni mapopomaNyie wakenya hamna watoto?
Me too! π€£ π€£ π€£duh! nilidhani nimepotea jukwaa. had to check twice
3yrs... Fimbo za maana? π€π€π€Mtoto atandikwe fimbo za maana akimfanyia ivo mama yake. Kanaonekana kamedekezwa sana na baba yake.
Kazi kwa mama, huyo mtoto ni mdogo kwa baba kuingilia. Alafu sio kuchapa ile unajua, hako ukikachuna tu kanakuwa sambamba! π€£Mnadekeza vibaya,kachapwe kawe na adabu. Mama mtu nae anachekelea tu aiseee
π π πHii si ungepeleka kwenye jukwaa la mapenzi. Sasa sisi Wakenya tutakusaidia vipi jameni.
Kanakula tu fimbo au kifinyo kawe na adabu. ka hivyo katakuaibisha mbele za wageniKazi kwa mama, huyo mtoto ni mdogo kwa baba kuingilia. Alafu sio kuchapa ile unajua, hako ukikachuna tu kanakuwa sambamba! π€£
3yrs... Fimbo za maana? π€π€π€
Akifanya kosa alafu umchape fito, sio fimbo, kiasi tu, kesho akijaribu kurudia akikuangalia machoni tu, anaacha kufanya so inaingia kwa akili kidogo kidogo kuwa hilo jambo sio poa kufanya yeye. Lakini ukimchapa fimbo za kishua mtoto wa miaka 3, 1-umuumize bila kukusudia, 2-bahati mbaya azime(umenielewa hapo) ukiwa unamchapa, kazi kwako, 3-ni makosa kisheria. Mwisho, nikikupata nakuadhibu mimi mwenyewe, vibao vya kutosha, hivi huoni ni mtoto huyo!? π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£