whitehorse
JF-Expert Member
- Aug 29, 2009
- 2,565
- 4,432
Hujapiga mswaki kabla ya kulala. Mimi napiga mswaki two times a day na wala sijawahi kunuka mdomo asubuhi. Lakini nisipopiga mswaki nitanuka. Hivyo Tumia dawa iliyothibitishwa na pia piga mswaki si chini ya dakika 5 kwa kuhakikisha maeneo muhimu umesafisha kwa usahihi, hasa ulimi. Watu wanasugua meno tu na kuacha ulimi ambao ndio source ya kunuka mdomo. Nenda kasafishe kinywa kwa madaktari wa meno atleast mara 2 kwa mwaka. Nadhani gharama zake haizidi 50,000
Ulimi huwa unachafuka? Je ulimi unahifadhi vipi mabaki ya chakula Kwa chini au Kwa juu naomba elimu ya mabaki haya ya chakula kwenye ulimi tafadhali [emoji104][emoji104][emoji104]