Kwanini mtu akifanikiwa huwaona wenzake ni wavivu?

Kwanini mtu akifanikiwa huwaona wenzake ni wavivu?

Ultimate goal ya mwanadamu yoyote ni kufanikiwa, now you know.
 
Ulicho kiandika ni kweli kabisa ila binafsi watu wa namna hiyo nawaona ni wajinga tu wa maisha
 
Mtu umepata connection kisha umetoboa. Baada ya kufanikiwa kila mtu unamuona mvivu na mzembe. Kwa nini usielezee kwa kina jinsi ulivyofanikiwa, njia ulizopitia, ulipotoa mtaji, nani alikuelekeza na connection zote ulizotumia ili kufanikiwa.
Ni nature ya kibinadamu..
 
So truly mtu akishapata opportunity huona kila mtu ni mpuuzi na mpumbavu pia mvivu hili lipo kabisa nani kweli dhahiri, "FEW KNOW THIS N BE SO RESPECTFUL TO ALLS"
 
Umesema ukweli..ila eti akuelezee wewe alifanyaje..mitaji alitoa wapi..njia alizopitia..haahaa huo ni uzembe kusubiri kuelezewa...kwani hahitaji approve ya mtu yeyote kujielezea....na kubwa zaidi hii ni information age...not an industrial age where you should work hard to get some fuc*** dough....ndio maana waliofanikiwa izo information walizonazo wanakaa nazo na cycle zao ..maana KilA mtu akijua hizo information itakua ni useless..imagine dhahabu ingepatikana kama maandazi price yake ingekua chini aje...!!??
 
Mtu umepata connection kisha umetoboa. Baada ya kufanikiwa kila mtu unamuona mvivu na mzembe. Kwa nini usielezee kwa kina jinsi ulivyofanikiwa, njia ulizopitia, ulipotoa mtaji, nani alikuelekeza na connection zote ulizotumia ili kufanikiwa.
Kuna mtu mmoja namfhamu (RIP) aliwahi kuwa tajiri mkubwa sana Tanzania, lakini kamwe hakuwahi kuwa na tabia hii
 
Mtu umepata connection kisha umetoboa. Baada ya kufanikiwa kila mtu unamuona mvivu na mzembe. Kwa nini usielezee kwa kina jinsi ulivyofanikiwa, njia ulizopitia, ulipotoa mtaji, nani alikuelekeza na connection zote ulizotumia ili kufanikiwa.
Very true they see others kama looser but fact ni kwamba Aya maisha at some point ni kama bahati you don't need to work hard to succeed. Fatume Karume once interviewed by Salama Jabir kwamba yeye amepata opportunity kuzaliwa kwenye family ya Rais ila majibu yake yalikuwa yanabeza watu ambao hawajafanikiwa her answers was yupo hapo alipo Kwa sababu ni smart and she works hard.
 
Back
Top Bottom