Zikwe
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 239
- 131
wakuu habari za humu nilikuw napenda kufaham kikubwa kuusu hili swala kwann mtu akinywa pombe anatapika...???
Binafsi natumia hvy vinywaji yan pombe ila cha kushangaza nikinywa pale pombe inapoanza kupanda kwny kichwa tuu basi lazima nitapike haijalishi nimezidiw au nipo kawaida lkn lazima nitapike labda ninywe bia mbili au tatu lkn nikinywa kwnye 6 na kuendelea basi lazima nitapike
Na pia nikitapka naweza nikaendelea na kinywaji na fresh kabsa yan nisitapke ten .....hvy nilikuwa napenda kufaham ni kwnn
mtu anatapika na vip kwa hili tatizo langu hiv inawez ikawa nn hasa mpka inatokea hiv...????
NAWASILISHA
Binafsi natumia hvy vinywaji yan pombe ila cha kushangaza nikinywa pale pombe inapoanza kupanda kwny kichwa tuu basi lazima nitapike haijalishi nimezidiw au nipo kawaida lkn lazima nitapike labda ninywe bia mbili au tatu lkn nikinywa kwnye 6 na kuendelea basi lazima nitapike
Na pia nikitapka naweza nikaendelea na kinywaji na fresh kabsa yan nisitapke ten .....hvy nilikuwa napenda kufaham ni kwnn
mtu anatapika na vip kwa hili tatizo langu hiv inawez ikawa nn hasa mpka inatokea hiv...????
NAWASILISHA