Kwanini mtu akiwa mwanachama wa CCM hupoteza uwezo wa kufikiri?

Kwanini mtu akiwa mwanachama wa CCM hupoteza uwezo wa kufikiri?

Hii kitu inanishangaza SANA huwa inasababishwa na njaa au ni ugonjwa yaani mtu akiishakuwa mwanachama wa ccm basi hupoteza kabisa uwezo wake wa kufikiri au muda mwingine huanza kuongea upumbavu au kufanya mambo ya kipumbavu.

Kwanini?
The problem of Africans is that those with ideas have no power and those with power have no ideas.
1. Unafiki.
2. Kujipendekeza.
3. Uchawa.
 
Mfano mwigulu nchemba jamaa ana PhD lakini uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana
 
Hii kitu inanishangaza SANA huwa inasababishwa na njaa au ni ugonjwa yaani mtu akiishakuwa mwanachama wa ccm basi hupoteza kabisa uwezo wake wa kufikiri au muda mwingine huanza kuongea upumbavu au kufanya mambo ya kipumbavu.

Kwanini?
umekosea yaani wewe ndiyo unakuwa mpumbavu kutoingia ccm chama makini kwahiyo unakuwa tofauti na watu wenye akili yaani hapo jijue kuwa huna akili
 
Hii kitu inanishangaza SANA huwa inasababishwa na njaa au ni ugonjwa yaani mtu akiishakuwa mwanachama wa ccm basi hupoteza kabisa uwezo wake wa kufikiri au muda mwingine huanza kuongea upumbavu au kufanya mambo ya kipumbavu.

Kwanini?
Uo utafiti mmeufanya wapi MACHADEMA?
 
Hii kitu inanishangaza SANA huwa inasababishwa na njaa au ni ugonjwa yaani mtu akiishakuwa mwanachama wa ccm basi hupoteza kabisa uwezo wake wa kufikiri au muda mwingine huanza kuongea upumbavu au kufanya mambo ya kipumbavu.

Kwanini?
Sababu ni hii hapa.
 

Attachments

  • Gjr0Tp7aMAAfVPF.jpeg
    Gjr0Tp7aMAAfVPF.jpeg
    143.4 KB · Views: 2
Hii kitu inanishangaza SANA huwa inasababishwa na njaa au ni ugonjwa yaani mtu akiishakuwa mwanachama wa ccm basi hupoteza kabisa uwezo wake wa kufikiri au muda mwingine huanza kuongea upumbavu au kufanya mambo ya kipumbavu.

Kwanini?
Watakuja kukupatia muongozo. qatakwambia haya yote uliyoyaandika ndio Upumbavu wenyewe.

Kwamba; hata ile fikra ya kwamba mwanachama yeyote yule wa CCM kuwa hupoteza kabisa uwezo wa kufikiri au kuongea upumbavu, ndio Upumbavu wenyewe.

Ngoja tupate muongozo kutoka kwa Lucas Mwashambwa na sidekick wake Gentleguy Tlaatlaah .
 
Back
Top Bottom