Typhoid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 226
- 70
Mtu kujiua kwa ajili ya mapenzi sio jambo geni masikioni mwetu! Nimeamua kutuma huu uzi baada ya best friend wangu kujiua kisa gf wake amemsaliti!
Je kujiua kwa ajili ya kusalitiwa ktk mapenzi ni suruhisho?
Kwa maoni yangu naona kujiua eti kwa sababu mpenzi wako amekusaliti sio suruhisho kabisa!
Zifuatazo ni sababu anuai ambazo zaweza sababisha mtu kwenda ahera eti kisa mapenzi.
1. Wivu... Hapa huwa tunapatikana wote me/ke na yeyote anaweza kujiua kutokana na degree ya wivu
2. Mapenzi ya dhati: hapa wasichana wengi huwa wanajiua maana hujisikia vibaya wanaposalitiwa.
3. Stress za maisha. Hapa pia inaweza kumuathiri zaidi msichana kuliko mwanaume.
Wanajf kuna sababu mbalimbali ambazo husababisha wenzetu kuchukua maamuzi magumu ya kujiua! Je tutasaidianaje hapa ili kupunguza hili tatizo? Tunajua kuna mapenzi ya dhati kabisa baina ya wapendanao lakini mwisho wa siku kunakuwa na kutokuelewana baina yao na mmojawao kuamua kujiua! Tushirikiane kupunguza hili tatizo!
Je kujiua kwa ajili ya kusalitiwa ktk mapenzi ni suruhisho?
Kwa maoni yangu naona kujiua eti kwa sababu mpenzi wako amekusaliti sio suruhisho kabisa!
Zifuatazo ni sababu anuai ambazo zaweza sababisha mtu kwenda ahera eti kisa mapenzi.
1. Wivu... Hapa huwa tunapatikana wote me/ke na yeyote anaweza kujiua kutokana na degree ya wivu
2. Mapenzi ya dhati: hapa wasichana wengi huwa wanajiua maana hujisikia vibaya wanaposalitiwa.
3. Stress za maisha. Hapa pia inaweza kumuathiri zaidi msichana kuliko mwanaume.
Wanajf kuna sababu mbalimbali ambazo husababisha wenzetu kuchukua maamuzi magumu ya kujiua! Je tutasaidianaje hapa ili kupunguza hili tatizo? Tunajua kuna mapenzi ya dhati kabisa baina ya wapendanao lakini mwisho wa siku kunakuwa na kutokuelewana baina yao na mmojawao kuamua kujiua! Tushirikiane kupunguza hili tatizo!