Kwanini mtu anapata maumivu kwa mkewe/mmewe kuchepuka na si yeye kuchepuka na mme/mke wa mtu?

Kwanini mtu anapata maumivu kwa mkewe/mmewe kuchepuka na si yeye kuchepuka na mme/mke wa mtu?

FORWARD

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2014
Posts
740
Reaction score
293
Salaamu kwa wote, ili swala mara nyingi la kupata maumivu ya mioyo hata kuvunjika mahusiano linatokea kwenye mahusiano na ndoa nyingi ambapo mmoja wapo anapotambua mwenzie kachepuka. Presha ya kuchukuliwa mke au mume ni kubwa sana hasa ukiwaza alichofanyiwa huko alikochepuka.

Wakati huo huo tumekuwa wepesi sana kutoka na mume au mke wa mtu bila hata kuwaza yale uyo unaechepuka naye (mchepuko) anafanya au anafanyiwa kwa mwenza wake, tena unaweza hata kumuuliza mumeo/mkeo akitufumania itakuwaje ( unapata uwoga tu wa kufumwa na si wivu wa kushea) !!!!

Je kwa nini mtu wako anauma mpaka unapata msongo wa mawazo na ugomvi kuibuka ukigundua?
 
Ni sawa na mtu mwengine ajikate na kisu, alafu maumivu usikie wewe.

Sent using Samsung Galaxy s10 plus
 
Kwasababu binadamu ni mbinafsi na mwenye tamaa na wivu huwa haturidhiki na vitu ambavyo tunamiliki tunakuwa tunatamani tuwe tuna miliki kila kitu.
 
kuna vitu na mambo nashauri uyaone na kuyasikia kwa jirani tu!
 
Back
Top Bottom