Kwanini mtu anastuka anapojambishwa ?

Siamini kitu kama hicho nitakukubalia yapate kusiha mankachara Yapo Maradhi ya kurithi sio kujambishwa ukaruka Eti amerithi nooo kitu kama hicho hakuna kabisa ni uzushi tu huo.
 
Last edited by a moderator:
pwiiiiiiiiiiiiiiin.....
priiiiiiiiiiiiiii....
praaaaapraaataaata......
 
Siamini kitu kama hicho nitakukubalia yapate kusiha mankachara Yapo Maradhi ya kurithi sio kujambishwa ukaruka Eti amerithi nooo kitu kama hicho hakuna kabisa ni uzushi tu huo.

kama huamini sawa mimi sina la kukueleza, lakini kama wangekua wanafanya kusudi basi kuna mazingira lazima wangejizuia
 
Last edited by a moderator:
Siamini kitu kama hicho nitakukubalia yapate kusiha mankachara Yapo Maradhi ya kurithi sio kujambishwa ukaruka Eti amerithi nooo kitu kama hicho hakuna kabisa ni uzushi tu huo.
Uko pamoja na mimi Mzizi mkavu huu c ugonjwa Wa kurithi
 
Nilivyosoma heading yako tu nikajikuta nashtuka.
 
Jarb kujiuliza ushuzi unatoka wap ???Then hii moja moja inaashiria kwamba unapojambisha anayestuka ni kwamba unamkumbusha kitu kinachotoa ushuz hvyo anahisi kama unamkatili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…