Man Jau
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 507
- 779
Unakosea sanaa kuiita culture yako ni ujinga.[emoji23][emoji23]
Na watu weupe wana influence kubwa sana kwenye vitu vya maana na vyenye tija.. ..weusi wengi wao wametageti kwenye mambo ya kijinga hata watoto wao baadae wanakuja kurithi ujinga walioachiwa na wazazi.
[emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji91][emoji91]
Mkataa kwao ni mtumwa. Be proud with what you have.
Wazungu hawana mpango na wewe.
Unawapenda watu wasio na utamaduni? Shame.