Kwanini mtu mweusi anaifluence kubwa sana kwenye muziki duniani?

Unakosea sanaa kuiita culture yako ni ujinga.

Mkataa kwao ni mtumwa. Be proud with what you have.

Wazungu hawana mpango na wewe.

Unawapenda watu wasio na utamaduni? Shame.
 
Huo ni upuuzi wa mfumo wa magharibi wachina asilimia 97 hawasikilizi hiyo miziki na wako 25 per ya dunia ,ongeza wahindi wako bil 1 nao wanasikiliza zaidi miziki yao ,tatizo wamarekani na ulaya ambao hawaikuti idadi ya wahindi tu wameshika sana media ndo maana ukifika china kuna wasanii wanawapenzi wengi sana na hawajawahi sikia neno hiphop
 
Unakosea sanaa kuiita culture yako ni ujinga.

Mkataa kwao ni mtumwa. Be proud with what you have.

Wazungu hawana mpango na wewe.

Unawapenda watu wasio na utamaduni? Shame.

Sasa mkuu, hayo alolist mleta mada yanafundisha au yanaharibu kabisa vizazi vyetu! Huoni kuwa hayana maana!



πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ”₯πŸ”₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…