Huo ni upuuzi wa mfumo wa magharibi wachina asilimia 97 hawasikilizi hiyo miziki na wako 25 per ya dunia ,ongeza wahindi wako bil 1 nao wanasikiliza zaidi miziki yao ,tatizo wamarekani na ulaya ambao hawaikuti idadi ya wahindi tu wameshika sana media ndo maana ukifika china kuna wasanii wanawapenzi wengi sana na hawajawahi sikia neno hiphop