Kwanini Mungu aliamua kumuwekea mwanamke bikra?

Kwanini Mungu aliamua kumuwekea mwanamke bikra?

MUYOOL

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2012
Posts
561
Reaction score
445
Habari kwenu,

Dunia inavyozidi kwenda watu wanaona kama bikira haina thamani, wengine wanawashambulia walio nazo kwamba ni washamba.Mimi ninavyo amini ubikira wa mwanamke huashiria uthamani mkubwa na utu wake.

Mke anaeolewa akiwa na bikira ana thamani kubwa sana kimapenzi, wengine ukiwaambia wanakasika kwa kuwa tu waliolewa wakiwa wameondolewa na waume wengine.

Wengine watakuja wasema grow up man bikira siyo ya muhimu.Kwa kuwa kuna mabinti wanasoma humu wito wangu ni kwamba usidanganyike ukaitoa bikira kabla ya kuolewa hiyo ni zawadi ya pekee kwa mumeo usidanganyike kuitoa.

Swali kwa wanaobisha tafadhali niambieni kwanini Mungu aliamua kumuwekea mwanamke bikra?
 
Naskia Mungu ukimuomba kwa imani huwa anajibu maombi. Sasa ni vema ukamuomba Mungu akujibu hayo maswali yako then uje utuletee majibu
 
kwa sababu tumbo la mwanamke linathawabu kubwa kuliko watu wajuavyo..mi nakukaribisha mleta uzi na watu wengine wowote katika seminar ya Uhusiano wa tumbo la uzazi wa Mwanamke na vifungo, pale KKKT Mbezi Beach (6pm) kupata mafundisho Mungu na shetani anavyoliangalia tumbo la uzazi la mwanamke. (ooh, sijui stubborn child, sijui utasa etc)

Dont worry, ni mafundisho tu, hamshikiwi mikono na mtu.
 
kwa sababu tumbo la mwanamke linathawabu kubwa kuliko watu wajuavyo..mi nakukaribisha mleta uzi na watu wengine wowote katika seminar ya Uhusiano wa tumbo la uzazi wa Mwanamke na vifungo, pale KKKT Mbezi Beach (6pm) kupata mafundisho Mungu na shetani anavyoliangalia tumbo la uzazi la mwanamke. (ooh, sijui stubborn child, sijui utasa etc)

Dont worry, ni mafundisho tu, hamshikiwi mikono na mtu.


Hawarushi matangazo kwenye radio upendo???????
 
kwa sababu tumbo la mwanamke linathawabu kubwa kuliko watu wajuavyo..mi nakukaribisha mleta uzi na watu wengine wowote katika seminar ya Uhusiano wa tumbo la uzazi wa Mwanamke na vifungo, pale KKKT Mbezi Beach (6pm) kupata mafundisho Mungu na shetani anavyoliangalia tumbo la uzazi la mwanamke. (ooh, sijui stubborn child, sijui utasa etc)

Dont worry, ni mafundisho tu, hamshikiwi mikono na mtu.

........bahasha zimo? .....ili tujiandaee!
 
Swali zuri sana hili.
Ukweli nikuwa ndoa halali ya kiMungu ni hile inayohusisha binti mwenye bikira. Kwa maananyingine mume halali ni yule anayetoboa uke wa binti kwa mara ya kwanza hatakama hawajaenda kanisani/msikitini/bomani. Sisi tunaokuja nyuma tunaishi tu nawake za watu. Tunawapeleka tu makanisani au kwingineko ili kupata uhalali wakijamii lakini kwa Mungu tunabaki na tunaendelea kuhesabiwa kuwa tunazini tenana wake wa wenzetu waliowabikiri.

Halafucha kushangaza eti they are so used lakini ukishaliweka ndani linajiona ni mkehalali na linataka mme atulie kwake peke yake! Mimi nilimwambia huyu ninayeishinaye kwamba hata kama tumeenda kanisani ni kijamii zaidi. Kama angelitakanitulie kwa ajili yake basi angelijitunza ili nimkute bikira. Lakini kwa kuwasikumkuta hivyo hana uhalali wowote wa kunitamkia nitulie kwake, kwa lipi jipyahasa kwake? Maana zinaa yoyote hile (hata hii ninayofanya naye kwa kisingiziocha ndoa) ni mbaya/dhambi kwa Mungu hivo haache nijipime mimi na Mungu wangu.

Kamaulivo sema ukweli Mungu alikuwa na maana kubwa kuweka bikira kwa hawa viumbe -kitendo cha kutoa bikira ya mwanamke ndiyo ibada ya ndoa ya Mungu kwa wanadamu,haya mengine ya kupelekana makanisani/misikitini/bomani ni ya hapahapa tuduniani ili kuepusha mahusiano mabaya au madhara na/au vurugu kutoka kwabinadamu wengine.

Yesu niMungu-Mwana (mtoto wa Mungu). Mimba yake ilitoka kwa Mungu baba mwenyezi nailitungwa kwa njia ya Roho Mtakatifu (kupitia Malaika wa Mungu). Hivo ilikuwalazima azaliwe na mwanamke ambaye hajawahi kumjua mme (Mama wa Mungu BikiraMaria) vinginevyo kama Maria hasingekuwa bikira hata Yesu hasingelikuwa mwanawa Mungu bali binadamu wa kawaida, na baba yake hasingelikuwa Mungu bali mtotowa mwanamme mwenye kuwa na mahusiano ya kimwili ya hawali kabisa na Maria.

Hivo kwauhalisia hata watoto tunaowazaa kwa hawa malaya tunaokutana nao wakiwa walishapasuliwa bikira zao siyo watoto wetu halali wa ndoa (ya kiMungu). Ndiyo maanazamani na hata leo kwa baadhi ya tamaduni, ikitokea mme akafa bila kuzaa mtoto(sanasana wa kiume) na mke wake wa kubikiri (ndiyo maana waliweka shuka jeupekitandani ili kujua kama binti alikuwa bikra au lah ndoa ifutwe), kaka mtuanaweza kumwingilia huyo mjane na mtoto akipatikana anahesabika kuwa ni mtotowa marehemu, siyo wa mtunga mimba. Hizi kwa sasa zinaitwa mila potofu lakinizilikuwa na maana yake kuhusu bikira ya mwanamke na maana halisi ya ndoa yakiMungu (lazima ihusishe utoaji wa bikira). Haya mengine tunayofanya siku hizini zinaa tu zilizopewa majina mazuri ya bandia ya "ndoa"
 
Duuuh. mkuu pote hilo ulosema naona kama lina ka ukwel flan. ulomtoa bikra ndo mkeo halali.
 
Last edited by a moderator:
Swali zuri sana hili.
Ukweli nikuwa ndoa halali ya kiMungu ni hile inayohusisha binti mwenye bikira. Kwa maananyingine mume halali ni yule anayetoboa uke wa binti kwa mara ya kwanza hatakama hawajaenda kanisani/msikitini/bomani. Sisi tunaokuja nyuma tunaishi tu nawake za watu. Tunawapeleka tu makanisani au kwingineko ili kupata uhalali wakijamii lakini kwa Mungu tunabaki na tunaendelea kuhesabiwa kuwa tunazini tenana wake wa wenzetu waliowabikiri.

Halafucha kushangaza eti they are so used lakini ukishaliweka ndani linajiona ni mkehalali na linataka mme atulie kwake peke yake! Mimi nilimwambia huyu ninayeishinaye kwamba hata kama tumeenda kanisani ni kijamii zaidi. Kama angelitakanitulie kwa ajili yake basi angelijitunza ili nimkute bikira. Lakini kwa kuwasikumkuta hivyo hana uhalali wowote wa kunitamkia nitulie kwake, kwa lipi jipyahasa kwake? Maana zinaa yoyote hile (hata hii ninayofanya naye kwa kisingiziocha ndoa) ni mbaya/dhambi kwa Mungu hivo haache nijipime mimi na Mungu wangu.

Kamaulivo sema ukweli Mungu alikuwa na maana kubwa kuweka bikira kwa hawa viumbe -kitendo cha kutoa bikira ya mwanamke ndiyo ibada ya ndoa ya Mungu kwa wanadamu,haya mengine ya kupelekana makanisani/misikitini/bomani ni ya hapahapa tuduniani ili kuepusha mahusiano mabaya au madhara na/au vurugu kutoka kwabinadamu wengine.

Yesu niMungu-Mwana (mtoto wa Mungu). Mimba yake ilitoka kwa Mungu baba mwenyezi nailitungwa kwa njia ya Roho Mtakatifu (kupitia Malaika wa Mungu). Hivo ilikuwalazima azaliwe na mwanamke ambaye hajawahi kumjua mme (Mama wa Mungu BikiraMaria) vinginevyo kama Maria hasingekuwa bikira hata Yesu hasingelikuwa mwanawa Mungu bali binadamu wa kawaida, na baba yake hasingelikuwa Mungu bali mtotowa mwanamme mwenye kuwa na mahusiano ya kimwili ya hawali kabisa na Maria.

Hivo kwauhalisia hata watoto tunaowazaa kwa hawa malaya tunaokutana nao wakiwa walishapasuliwa bikira zao siyo watoto wetu halali wa ndoa (ya kiMungu). Ndiyo maanazamani na hata leo kwa baadhi ya tamaduni, ikitokea mme akafa bila kuzaa mtoto(sanasana wa kiume) na mke wake wa kubikiri (ndiyo maana waliweka shuka jeupekitandani ili kujua kama binti alikuwa bikra au lah ndoa ifutwe), kaka mtuanaweza kumwingilia huyo mjane na mtoto akipatikana anahesabika kuwa ni mtotowa marehemu, siyo wa mtunga mimba. Hizi kwa sasa zinaitwa mila potofu lakinizilikuwa na maana yake kuhusu bikira ya mwanamke na maana halisi ya ndoa yakiMungu (lazima ihusishe utoaji wa bikira). Haya mengine tunayofanya siku hizini zinaa tu zilizopewa majina mazuri ya bandia ya "ndoa"

hahahaha unanchekesha kwel mie uwez kutulia coz ukumukuta bikra kwa hyo uwez kutulia kwamba unafuta bikra ukmpata ndo unatulia au?
 
Nijuavyo mimi bikira ni yule ambaye hajawahi kufanya mapenzi. Sasa swali ni kwamba je hiyo ina-apply kwa mwanamke tu? Mwanaume ambaye hajawahi kufanya mapenzi anaitwaje? Je, ni mwanamke tu ndio anatakiwa kutunza bikra yake?
 
Imenigusa sana mada hii.
Bikra ni tunu kwa mme, na ndoa inapaswa iwe na misingi na huo ni msingi namba 1 mingine inafuatia!
 
Bikra ni ibada ya ndoa na kofuri la mlango wa uzazi anayeufungua na kuzini bila ndoa huyu ni mlaaniwa kwani tayari anaitwa mke! maana kakata siri hivyo ukioa umeoa gube gube kwani hata mkibisha utalisikia mie mkubwa mwenzie kwani umenikuta na bikra. kingine mungu aliweka maksudi ili ujipimie mwenyewe saize ukikuta aipo uenda mke akais unampwelepeta bure.
 
Back
Top Bottom