Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Habari wanajukwaa.
👤 Waajiriwa ndo maana wanabaki kuwa watumwa wa siku zote maana hata mungu anaona kinachoendelea.
Unakuta mfanyakazi anavimba kama yeye ndo boss.
👤 Jeuri, kiburi majivuno daah balaa tupu,uchawa mwingi sema yote ni njaa na kuwa na akili finyu. Any way point ni kwamba wafanyakazi wengi hawatoki hapati blessing kwasasabu roho mbaya inawaponza.
👤 Boss angekuwa anavimba kama mfanyakazi anavyovimba nadhani watu wangekufa na umaskini.
👤 Nakumbusha tu hiyo kazi aliyonayo na umeajiriwa kuwa na adabu nayo wapo wengi wanatamani kuwa hapo ulipo so endelea kujiona boss wakati we jikaze utafeli.
👤 ASILIMIA KUBWA YA WAAJIRIWA NDO WATU AMBAO WANAONGOZA NA KUWA NA DHARAU. HELA YENYEW YA MSHAHARA 😁 NACHEKAGA TU.
SI TUNASUBIRI USITAAFU PRESHA IKUFIKE.
👤 Waajiriwa ndo maana wanabaki kuwa watumwa wa siku zote maana hata mungu anaona kinachoendelea.
Unakuta mfanyakazi anavimba kama yeye ndo boss.
👤 Jeuri, kiburi majivuno daah balaa tupu,uchawa mwingi sema yote ni njaa na kuwa na akili finyu. Any way point ni kwamba wafanyakazi wengi hawatoki hapati blessing kwasasabu roho mbaya inawaponza.
👤 Boss angekuwa anavimba kama mfanyakazi anavyovimba nadhani watu wangekufa na umaskini.
👤 Nakumbusha tu hiyo kazi aliyonayo na umeajiriwa kuwa na adabu nayo wapo wengi wanatamani kuwa hapo ulipo so endelea kujiona boss wakati we jikaze utafeli.
👤 ASILIMIA KUBWA YA WAAJIRIWA NDO WATU AMBAO WANAONGOZA NA KUWA NA DHARAU. HELA YENYEW YA MSHAHARA 😁 NACHEKAGA TU.
SI TUNASUBIRI USITAAFU PRESHA IKUFIKE.