Pre GE2025 Kwanini mwaka wa Uchaguzi Mkuu nchini huwa hakuna mvua? Tunzeni vyakula ndugu zanguni

Pre GE2025 Kwanini mwaka wa Uchaguzi Mkuu nchini huwa hakuna mvua? Tunzeni vyakula ndugu zanguni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Mwafrika ana mambo fulani hivi ya kushangaza lakini yapo na huwezi kuyajibu kisayansi.

Mwaka unaogawanyika kwa 5 au tuseme mwaka wa uchaguzi huwa kuna uhaba wa mvua,watabiri wa hali ya hewa huwa hawana majibu kwa hili jambo.

Mzee mmoja akaniambia kwa hiyo ulitaka mwenyekiti wa chama ahutubie kampeni huku mvua zinanyesha eboo.

Nasikia kule vilingeni wanakofundisha uchawi,hakuna somo jepesi kama kukimbiza/kuzuia mvua,.huwezi kufaulu mtihani wa uchawi kama huwezi kuzuia mvua maana ndio kozi rahisi kuliko zote chuoni.

Tunzeni chakula vizuri msijesema sijawaambia
 
2023-2030 ni miaka ya taabu,

Zisingefupishwa siku hizo, asingeokoka hata mmoja.

Kutunza chakula pekee hakutosaidia,

Iitokea njaa ya hatari time za Nabii Elijah, walikufa watu wengi lakini Elia muda wote alilishwa na kunguru,

Alikula chakula mlo mmoja na alikaa siku arobaini pasipo kula chochote na hakufa. Mjane pia alipompa sadaka ya chakula Nabii Elijah, hakupungukiwa unga na mafuta kidogo aliyokuwa nayo Hadi njaa ilipokwisha.

Muhimu ni kuacha dhambi na UOVU na kuishi maisha matakatifu, WATAKATIFU wa Mungu, Mungu huwatunza,huwaficha na kuwaepusha na majanga na Kila aina ya ubaya.

Ikiwa hujampa Yesu maisha Yako, fuatisha Sala hii,

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN.
 
Pia nasisitiza , according to the word of God, Waganga viringeni na wachawi ni wapumbavu.
 
Mwafrika ana mambo fulani hivi ya kushangaza lakini yapo na huwezi kuyajibu kisayansi.

Mwaka unaogawanyika kwa 5 au tuseme mwaka wa uchaguzi huwa kuna uhaba wa mvua,watabiri wa hali ya hewa huwa hawana majibu kwa hili jambo.

Mzee mmoja akaniambia kwa hiyo ulitaka mwenyekiti wa chama ahutubie kampeni huku mvua zinanyesha eboo.

Nasikia kule vilingeni wanakofundisha uchawi,hakuna somo jepesi kama kukimbiza/kuzuia mvua,.huwezi kufaulu mtihani wa uchawi kama huwezi kuzuia mvua maana ndio kozi rahisi kuliko zote chuoni.

Tunzeni chakula vizuri msijesema sijawaambia
Tukumbushane kidogo, Ina maana mwaka 2020, 2015, 2010 nk kulikwa na njaa, au wakuu wa vilinge mmeamua mwakani kuwe na njaa, kuna takwimu zozote?
 
Back
Top Bottom