Kwanini mwanamke hukubali kutoka na mume wa mtu badala kumkubali ambaye hana mpenzi?

Kwanini mwanamke hukubali kutoka na mume wa mtu badala kumkubali ambaye hana mpenzi?

Raia mpya

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2022
Posts
673
Reaction score
1,915
Ndugu zangu nitawasalimia baadae kuna swali najiuliza, hivi inakuaje mwanamke yupo tayari kutembea na mume wa mtu ila siyo yule aliye single?

Yaani unakuta anaongozwa na jamaa ana mke wake au mpenzi wake na huyo mwanamke anajua kabisa kama jamaa ana mtu na anakubali. Ila sasa nenda wewe ambaye upo single atakukataa katakata!

Hivi kwanini wapo hivi? Kwanini asimkubali aliye single ili waanzishe mahusiano yao?
 
Wanaume waliooa wengi vipato vipo vizuri,akili komavu alafu hawana stress za nyege kukazana kwa kukomoa..
Vivyo hivyo ni kinyume kwa hawa vijana single. So Dada zetu wanajiongeza na wenyewe kwepesi wapi hapo
Aah sawa sawa so point ni kuwa na hela kwanza sio?
 
Wanaume wenye vigezo ambavyo wanawake wote wanavitaka wapo wachache sana.

Mwanaume mwenye Hela na status ni ndoto ya kila mwanamke. Wanaume hao wengi wao wameshaoa tayari.

Mfano ni ngumu kwa mwanamke yeyote kumkataa Mo dewji kwa sababu Mo dewji ni mume wa mtu. Sababu kuu ni Pesa na Status ya Mo dewji
 
Wanaume wenye vigezo ambavyo wanawake wote wanavitaka wapo wachache sana.

Mwanaume mwenye Hela na status ni ndoto ya kila mwanamke. Wanaume hao wengi wao wameshaoa tayari.

Mfano ni ngumu kwa mwanamke yeyote kumkataa Mo dewji kwa sababu Mo dewji ni mume wa mtu. Sababu kuu ni Pesa na Status ya Mo dewji
Dah aisee sawa nimekuelewa
 
Mwanamke mara nyingi huwa anapenda kitu ambacho mwanamke mwenzake anakipenda.
Ndio maana ni rahisi kupata mwanamke kama una mahusiano tayari na ni ngumu kama huna, sababu anakua na wasiwasi kama wenzake hawakupendi maana yake hauna cha maana.

Social Proof In Women.
 
Upo single maanake huna ushindani [emoji23][emoji23]

Asa mtu single upelekwe wapi??

Hivi mnakuwaga single kweli na unajipoozea wapi

Mimi huwa siamini mtu alisema yupo single
 
Mwanaume aliyeoa tayari anakuwaga amekomaa kiakili hafanya mambo ya kiduanzi duanzi afu pia anajua kuhudumia.

Kwa hiyo wanawake huwa wanakuwa emrahisi kutembea na myme was mwenzake kwa sababu anajua huko atapata kila kitu.
 
Ndugu zangu nitawasalimia baadae kuna swali najiuliza, hivi inakuaje mwanamke yupo tayari kutembea na mume wa mtu ila siyo yule aliye single?

Yaani unakuta anaongozwa na jamaa ana mke wake au mpenzi wake na huyo mwanamke anajua kabisa kama jamaa ana mtu na anakubali. Ila sasa nenda wewe ambaye upo single atakukataa katakata!

Hivi kwanini wapo hivi? Kwanini asimkubali aliye single ili waanzishe mahusiano yao?
Kila kazi inahitaji mtu mwenye "experience" Nadhani umenielewa 😎😎
 
Nilimsikiliza ANDREW TATE MWANASAIKOLOJIA MAARUFU WA YOUTUBE NA WENGINEO WA YOUTUBE "WOMAN WANT WHAT THEY CAN'T HAVE " MWANAMKE ANAHITAJI KITU AMBACHO HANA ," NA NDIO UHALISIA WANAWAKE WANAPENDA MWANAUME MWENYE MPENZI ILI ASHINDANE NA MWANAMKE MWENZAKE NIMEKUIBIA BWANA NDIO MAANA UWEZI KUSIKIA CASES NYINGI ZA WANAUME KUIBIANA MADEMU ZAIDI YA KUPIGA KIMYA ILA WANAWAKE KILA SEHEMU UTAJUA NA HUO NDIO UHALISIA WAO INGAWA WATABISHA KWASABABU NI SUBCONSCIOUS MIND THING
 
Kuna mtu aliandika kuhusu wanawake humu uziwake ni unaelezea akili za wanawake
 
Majibu yote ni sahihi. Kuna mwanamke nilizaa naye wakati kabla hata sijamtongoza alikuwa anamjua mama watoto na mtoto wangu.

Nilimuomba anizalie mtoto na kweli akakubali
 
Mwanamke ana masikio matatu ili akuheshimu na akusikilize Haswa kuna sikio Moja inabidi ulizibue vizuri Haswa ili hayo mawili Yaliyo Baki Yasikie vizuri mnoo,,na hii ni kwa wote wenye nazo na wasio kuwa nazo!!!
 
Mwanamke mara nyingi huwa anapenda kitu ambacho mwanamke mwenzake anakipenda.
Ndio maana ni rahisi kupata mwanamke kama una mahusiano tayari na ni ngumu kama huna, sababu anakua na wasiwasi kama wenzake hawakupendi maana yake hauna cha maana.

Social Proof In Women.
Sawa kabisa,ndio maana unaweza ukamla yeye, Mdogo wake au dada yake,mama yake, rafiki yake,binamu yake,wifi yake nk.
 
Mwanamke mara nyingi huwa anapenda kitu ambacho mwanamke mwenzake anakipenda.
Ndio maana ni rahisi kupata mwanamke kama una mahusiano tayari na ni ngumu kama huna, sababu anakua na wasiwasi kama wenzake hawakupendi maana yake hauna cha maana.

Social Proof In Women.
UKWELI MGUMU
 
Back
Top Bottom