Kwanini Mwanamke siku ambayo anamsaliti Mpenzi wake huwa mchangamfu na huongeza upendo Kwake?

Kwanini Mwanamke siku ambayo anamsaliti Mpenzi wake huwa mchangamfu na huongeza upendo Kwake?

Kuchepuka kunajenga mahusiano mazuri ndani ya familia hamchokani (kuchepuka ni afya).
 
Sasa mkuu wewe ni kipofu unataka ushikwe mkono?
 
Inasemekana kwamba siku ambayo Mpenzi / Demu / Mkeo akijua kuwa anaenda Kukusaliti / Kubanduliwa na Mwanaume / Njemba mwingine huwa anakuwa anakuchangamkia mno tena kupita kiasi au siyo kama kawaida yake na pia hujifanya anakupenda kuliko maelezo?

Nitashukuru nikijibiwa.

Nawasilisha.
Hahaha
 
Back
Top Bottom