Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
huyo jamaa anaandika kwa vigezo vya mapenzi ya chama anachokipenda,hajui uchumi ni niniMwandishi Yerico Nyerere ameandika makala ndefu katika mitandao ya kijamii akichambua uchumi wa Tanzania katika kipindi ambacho Mwigulu ni Waziri wa fedha.
Yerico anaamini Mwigulu ameshindwa kushawishi uwepo wa sera za kiuchumi zinazowapa confidence wawekezaji wakubwa. Ameeleza kwamba Tanzania ina sera za kiuchumi zisizotabirika hivyo kushindwa kuvutia wawekezaji serious wenye malengo ya muda mrefu.
Je, tatizo ni Waziri wa fedha au tatizo ni mfumo wetu wa kisiasa?
Mimi naongelea wajasiriamali siyo wale wenzi wenzio wa mali za umma, siku ukifa hao watoto wako watarithi hivyo vyeti vyako vya uchumi au watataka mali? acha na theory twende kwenye practical.Inaonekana umesomea shule za kata. Sio rahisi katika hii dunia kufanya analysis za uchumi bila kujua theory zake. Huyo Bakheresa baada ya kuwa, mkubwa kwa sasa,ana wanauchumi wake wa makaratasi wanaojua theory za uchumi na wanaoweza kuelewana na wanauchumi wa dunia hii.
Halafu ndugu yangu inaonekana huna weledi kabisa kuhusu elimu ya uchumi. Unasema Musukuma na Lipumba, kwamba Musukuma kwa kuwa ana fedha basi anajua uchumi kuliko Lipumba. Huo ni Umbumbumbu wa hali ya juu Sana. Lipumba ni Prof wa uchumi na alishatumika mpaka Uganda kwa Museveni. Anajua vizuri theory za uchumi.
Nilivyokuelewa ni kwamba hata ukiiba na kuwa na matrion ya pesa basi unajua uchumi. Mfano :Kuna watu wana mabilion ya pesa, wameiba serikalin kwa, hiyo hao wanajua uchumi kuliko Lipumba . Huo ni Umbumbumbu.
embu tuwekee hyo makala yake tuweze kukupa majibuMwandishi Yerico Nyerere ameandika makala ndefu katika mitandao ya kijamii akichambua uchumi wa Tanzania katika kipindi ambacho Mwigulu ni Waziri wa fedha.
Yerico anaamini Mwigulu ameshindwa kushawishi uwepo wa sera za kiuchumi zinazowapa confidence wawekezaji wakubwa. Ameeleza kwamba Tanzania ina sera za kiuchumi zisizotabirika hivyo kushindwa kuvutia wawekezaji serious wenye malengo ya muda mrefu.
Je, tatizo ni Waziri wa fedha au tatizo ni mfumo wetu wa kisiasa?
Takwimu tunazotoa na hali halisi mtaani havishabihiani hivyo kunakua na mkanganyiko hata namna uchumi wetu unavyokuaMwandishi Yerico Nyerere ameandika makala ndefu katika mitandao ya kijamii akichambua uchumi wa Tanzania katika kipindi ambacho Mwigulu ni Waziri wa fedha.
Yerico anaamini Mwigulu ameshindwa kushawishi uwepo wa sera za kiuchumi zinazowapa confidence wawekezaji wakubwa. Ameeleza kwamba Tanzania ina sera za kiuchumi zisizotabirika hivyo kushindwa kuvutia wawekezaji serious wenye malengo ya muda mrefu.
Je, tatizo ni Waziri wa fedha au tatizo ni mfumo wetu wa kisiasa?
Kuna tofauti sana kati ya Manager na Leader - big big differenceInaonekana umesomea shule za kata. Sio rahisi katika hii dunia kufanya analysis za uchumi bila kujua theory zake. Huyo Bakheresa baada ya kuwa, mkubwa kwa sasa,ana wanauchumi wake wa makaratasi wanaojua theory za uchumi na wanaoweza kuelewana na wanauchumi wa dunia hii.
Halafu ndugu yangu inaonekana huna weledi kabisa kuhusu elimu ya uchumi. Unasema Musukuma na Lipumba, kwamba Musukuma kwa kuwa ana fedha basi anajua uchumi kuliko Lipumba. Huo ni Umbumbumbu wa hali ya juu Sana. Lipumba ni Prof wa uchumi na alishatumika mpaka Uganda kwa Museveni. Anajua vizuri theory za uchumi.
Nilivyokuelewa ni kwamba hata ukiiba na kuwa na matrion ya pesa basi unajua uchumi. Mfano :Kuna watu wana mabilion ya pesa, wameiba serikalin kwa, hiyo hao wanajua uchumi kuliko Lipumba . Huo ni Umbumbumbu.
Vyote ni tatizoMwandishi Yerico Nyerere ameandika makala ndefu katika mitandao ya kijamii akichambua uchumi wa Tanzania katika kipindi ambacho Mwigulu ni Waziri wa fedha.
Yerico anaamini Mwigulu ameshindwa kushawishi uwepo wa sera za kiuchumi zinazowapa confidence wawekezaji wakubwa. Ameeleza kwamba Tanzania ina sera za kiuchumi zisizotabirika hivyo kushindwa kuvutia wawekezaji serious wenye malengo ya muda mrefu.
Je, tatizo ni Waziri wa fedha au tatizo ni mfumo wetu wa kisiasa?
Low insighthuyo sio muandish acha kudharau taaluma za watu, huyo muite chawa kichefuchefu wa mbowe..
Nani alimrudisha?Leteni mambo ya maana tujadiri. huyo chemba alitumbuliwa na jpm
kwa sababu kichwani hamna kitu ataweza vipi kusimamia uchumi ukakua na kuimarika?
Rais ni nani?Nani alimrudisha?
Huyo Yeriko anayependa kutumia majina ya watu, anajua economic ipi? Macro au micro. Anaongea uozo mtupu.Kuna tofauti sana kati ya Manager na Leader - big big difference
Kwa hiyo hata wewe hujaelimika. Lipumba anaweza kuwa good Manger lakini siyo leader
A leader innovate, inspire, create etc etc
Leader anamtumia Manager
Vyeti vya vyuo ndio habari ya mjini. Hatuwezi kudharau usomi kwa sababu za, kipumbabu.Mimi naongelea wajasiriamali siyo wale wenzi wenzio wa mali za umma, siku ukifa hao watoto wako watarithi hivyo vyeti vyako vya uchumi au watataka mali? acha na theory twende kwenye practical.
Digrii ni maisha yako. Tangu huyu Joker ashike maisha yako yamekuwa mazuri au yamezidi kuporomoka? Mwigulu ameshindwa, wala hajui, hata kuitia thamani pesa yetu. Hivi karibuni shilingi ya Uganda itakuwa valuable kuliko ya Tanzania. Kuna mtu hapo?Watanzania tusihamini na kupotoshwa na kila tunachosoma kilichoandikwa na wasomi uchwara,kabla ya kumuhukumu Mwigulu.
Tujiulize ukweli kuhusu huyu Yeriko, je ana elimu sahihi ya kutueleza kuhusu uchumi ? (Economics).Au ndio hizi elimu za hapa na pale zisizoeleweka?
Ni kweli Dr Mwigulu ana mapungufu kwenye utendaji, lakin je huyu Yeriko anajua economics vizuri na ana weledi?
Hoja ya kwanza ni kutaka kujua je Yeriko ana degree ya uchumi? Au ana elimu ya hapa na pale tu? Huyu hata jina amefeki.
Siyo kweli!! Kila MTU na uelewa wake wa maisha na upambanaji wake. Kwa hiyo ukipata vipesa tu mjini basi unajua uchumi? Sio kweli. Nyie ndio darasani mlikuwa mnaaminisha watu kuwa somo fulani ni gumu Sana. Kwa kuwa tu ww linakushinda.Digrii ni maisha yako. Tangu huyu Joker ashike maisha yako yamekuwa mazuri au yamezidi kuporomoka? Mwigulu ameshindwa, wala hajui, hata kuitia thamani pesa yetu. Hivi karibuni shilingi ya Uganda itakuwa valuable kuliko ya Tanzania. Kuna mtu hapo?