Financial Freedom
JF-Expert Member
- Nov 14, 2016
- 1,246
- 2,299
- Thread starter
- #41
Kwanin boss? Gasoline consumption or what,two years still fill nothing with that engine coz I'm nearby my working flatsHiyo engine inawatesa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanin boss? Gasoline consumption or what,two years still fill nothing with that engine coz I'm nearby my working flatsHiyo engine inawatesa sana
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Duh Tako la nyani unauza mil 57 wkt Hio Forester unauza mil 50.
Bei nzuri mkuu,piga kazi.
Hii siku ulikula nini bro [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kwa kua hio Gari umesema Ni Mercedes-Benz S-550 2015 model.Ngoja tusubiri wataalam.
Vip zinabeba abiria?hata ukija katavi gari linalopendwa sana ni probox
Washamba hawajui vitu vizuriHabari wakuu,
Nimetembea majiji mbalimbali esp. DSM, Arusha, Mbeya, Tanga na Mwanza ila Mwanza magari aina ya Kluger ni mengi sana na Arusha kidogo halafu wachina pia wanayatumia. Siri ya kutumia magari haya ni ipi?
View attachment 2290092
Umesahau na Escudo.Kama wa Chagga wanavo pendelea rav4 kili time sijui kwanini hilo kabila linapenda sana hiyo gari.
Wakurya na probox😂Kama wa Chagga wanavo pendelea rav4 kili time sijui kwanini hilo kabila linapenda sana hiyo gari.
Kuna jamaa yangu alikuwa RTO huko naye aliinunua akiwa huko humwambii kitu kuhusu probox😂Zile wana zitumia kama daladala wameiga kutoka Kenya kwa siku probox pale Silali inalaza 50k sawa sawa na hiace ni biashara malidadi sana
Uzuri probox kana mwendo na kanapiga kaziKuna jamaa yangu alikuwa RTO huko naye aliinunua akiwa huko humwambii kitu kuhusu probox[emoji23]
Ndio ni gari gumu sema tu limekaa kiboya sana😁Uzuri probox kana mwendo na kanapiga kazi
Ni umasikini tu 23M izo klugger za 2006,7,8 Tazania sijawai ona klugger ya 2018 na kuendeleaWe vip? hata serikali hainunuwi magari ya hiyo miaka 2020 to 2022, hata Japan licha ya kutegeneza hizo gari uchumi wao hauwaruhusu kuendesha matoleo mapya, pake wana export new brand cars to Europe na America only to bring them back to refubricate en re-xport in third world, kwa level za Africa na Tz Kurruger sio gari ya bei ya chini ina rage 23m paka 30. wakati specio ist mazda in 12m rav4 18m
Wewe una ya mwaka gani? Au ndio bado upo kwa sister hapo unatafuta ajiraBei nafuu mambo ya reliable ni fix tu
Wabongo tulowengi bado ni maskin tena maskin hasa ila tunapenda maisha mazuri apo ndo ttzo huanzia
Zunguka Dar Arusha Dodoma kwa ufupi majiji yote tafta gari za mwaka2020 ad2022 ni chache mno tena sana ila tafta gar za 1998 ad2014 izo ni ming sana
Yeye kwake umaskini ni kununua gari toleo la 1998 na tajiri ni kununua gari ya 25/06/2023Umasikini unautafsirije boss, labda tuanzie hapo.
YESU NI BWANA
Ila huwa zinawahi kuchoka kuliko gari yeyote ukikapigisha abilia unaweza kuambiwa hii namba E na ukabishaNdio ni garu gumu sema tu limekaa kiboya sana[emoji16]