Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Mtaa wa Mwenge umegawanyika katika mitaa miwili ndani ya kata ya Kijitonyama, wilaya ya Kinondoni . Mkoa wa Dar es Salaam.
Kwenye kata ya Kijitonyama kuna mitaa miwili ya Mwenge. Mwenge Kijijini na Mwenge Nzasa.
Lakini Mwenge Kijijini tangu mwaka 1974 kuna lami barabara zote, Mwenge Nzasa wanasaga vumbi.
Sasa Mwenge Kijijini kuna barabara nyingi za lami, uwanja wa mpira wa kisasa, soko la kisasa, stand ya daladala na ya mwendo kasi vinajengwa, Mwenge Nzasa hamna hata barabara moja ya lami inajengwa.
Mwenge Kijijini mfumo wa maji taka ni wa uhakika, Mwenge Nzasa tunaelea tu kwenye maji taka yanayotoka Sinza huko?
Kwenye kata ya Kijitonyama kuna mitaa miwili ya Mwenge. Mwenge Kijijini na Mwenge Nzasa.
Lakini Mwenge Kijijini tangu mwaka 1974 kuna lami barabara zote, Mwenge Nzasa wanasaga vumbi.
Sasa Mwenge Kijijini kuna barabara nyingi za lami, uwanja wa mpira wa kisasa, soko la kisasa, stand ya daladala na ya mwendo kasi vinajengwa, Mwenge Nzasa hamna hata barabara moja ya lami inajengwa.
Mwenge Kijijini mfumo wa maji taka ni wa uhakika, Mwenge Nzasa tunaelea tu kwenye maji taka yanayotoka Sinza huko?