Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kamwe haki na usawa haviwezi kuwepo kwenye uchaguzi wa nchi hii Hadi pale rais atakapo ondolewa mamlaka na madaraka ya uteuzi wa Tume ya Uchaguzi.
Nashauri yafanyike mabadiliko ya katiba, Tume ya Uchaguzi iundwe na bunge au na mahakama ili kuondoa malalamiko na watu kuona hawajatendewa haki.
CCM oyeeeee
CHADEMA juuu juuuuu juuuuu zaidi
cuf ngangariiiiiiiii
ACT Wazalendo imara
Nashauri yafanyike mabadiliko ya katiba, Tume ya Uchaguzi iundwe na bunge au na mahakama ili kuondoa malalamiko na watu kuona hawajatendewa haki.
CCM oyeeeee
CHADEMA juuu juuuuu juuuuu zaidi
cuf ngangariiiiiiiii
ACT Wazalendo imara