Kwanini Mwigulu na Makamba mnampotosha Rais Samia

Kwanini Mwigulu na Makamba mnampotosha Rais Samia

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba na Waziri wa Nishati Januari Makamba wamepoteza sifa za kuendelea kubaki kwenye madaraka yao kwa kitumia vibaya nafasi zao za uwaziri kumdanganya Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan juu ya mambo mbalimbali ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara zao ili lile lengo lao liweze alilosema Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila liweze kutimia.

Waziri Mwigulu anafahamu fika kuwa nchi yetu kwa mujibu wa taarifa za Benki ya Dunia tuko uchumi wa kati ila yeye kwa kwa makusudi na sababu anazozijua yeye akaenda kumwambia Mh Rais kwamba tumeshuka hatuko tena uchumi wa kati na Mh Rais akaliambia Taifa kuwa tumeshuka kutoka uchumi wa kati.

Waziri Makamba naye anampelekea taarifa za wizara yake Mh Rais kuwa Bwawa la Mwalimu Nyerere litakamilika Mwaka 2024 huku akijua fika kuwa Mkataba walioongeza ni wa mwaka mmoja hadi Juni 2023 lakini kwa sababu anazozijua yeye (Za Chalamila ) akamdanganya Rais wetu na kusababisha taharuki kubwa miongoni mwa watanzania.

Viongozi wetu wakuu wastaafu Mh Jakaya Mrisho Kikwete, Mh Mizengo Kayanda Pinda, Mh Joseph Warioba, Mh Joseph Butiku na viongozi wa dini mbalimbali tunaomba muongee na Mh Rais juu ya utendaji mbovu wa mawaziri wake hawa wawili.

Na kimsingi hao wawili ndio wanaochafua taswira nzima ya Serikali ya awamu ya Sita tofauti na Simbachawene na Mwigulu walivyomsambulia Prof Muhongo bungeni kwamba amedanganya juu ya nchi yetu kushuka kutoka uchumi wa kati.









 
Umemsahau Nape King wa Vifurushi vya internet.
uongozi sio tako Kila mtu analo, tutaona mengi Hadi 2025.
I Love you Tanzania
 
Utabiri wa Albert Chalamila unaanza kutimia. Tulimdharau lakini sasa tutamuelewa alimaanisha nini juu ya Mwigulu na Makamba.

Mwigulu na ishu ya Trilioni 5 za Mkopo alizokopa ambazo hazijulikani zilizopo wala mradi zilizotekeleza na Makamba na Trilioni 1.5 ambayo haijulikani ilipo ya Mkandarasi wa Bwawa anayotakiwa kuilipa Serikali ya kuchelewesha mradi.

 
Afadhali umetusaidia kutukumbusha haya maana professor Muhongo anashambuliwa Kwa kusema tumeshushwa kuwa hatuko kwenye uchumi wa Kati
 
Afadhali umetusaidia kutukumbusha haya maana professor Muhongo anashambuliwa Kwa kusema tumeshushwa kuwa hatuko kwenye uchumi wa Kati
Prof. Muhongo yeye ametumia taarifa za Mh Rais alizopotoshwa na Mwigulu alafu Mwigulu huyo huyo tena anarudi bungeni kujifanya anasahihisha wakati yeye ndiye aliyempelekea Mh Rais hizo takwimu
 
Utabiri wa Albert Chalamila unaanza kutimia. Tulimdharau lakini sasa tutamuelewa alimaanisha nini juu ya Mwigulu na Makamba.

Mwigulu na ishu ya Trilioni 5 za Mkopo alizokopa ambazo hazijulikani zilizopo wala mradi zilizotekeleza na Makamba na Trilioni 1.5 ambayo haijulikani ilipo ya Mkandarasi wa Bwawa anayotakiwa kuilipa Serikali ya kuchelewesha mradi.


Huu utabiri unatimia kabla hata jogoo hajawika. Kongole sana Chalamila wewe ni mwana wa Mungu umelisaidia taifa
 
Umemsahau Nape King wa Vifurushi vya internet.
uongozi sio tako Kila mtu analo, tutaona mengi Hadi 2025.
I Love you Tanzania
Mnyonge Mnyongeni lakini haki yake mpeni kwa ajenda hii ambayo wote tuna ushahidi nayo inawahusu Makamba na Mwigulu .. Nape kama ana makondokando yake lakini sio makubwa kama ya hawa ya kumpa taarifa za uongo kiongozi alafu wao tena wanajitokeza hadharani kuzikanusha
 
Prof. Muhongo yeye ametumia taarifa za Mh Rais alizopotoshwa na Mwigulu alafu Mwigulu huyo huyo tena anarudi bungeni kujifanya anasahihisha wakati yeye ndiye aliyempelekea Mh Rais hizo takwimu
Nina miaka 40+ nafuatilia Mawazlrl wa Fedha but for the incumbent one shida ipo Kila mtu aliombee Taifa hili
 
Uzuri kila kitu kina ushahidi hawawezi kusingia wanapigwa fitna kama walizozoea kuwapiga viongozi wengine
 
Kila siku mnamtetea Rais Samia kwamba anapotoshwa hivi yeye hana akili ya ku-reason ?

Pror Mussa Asad kasha wahi sema "60% ya viongozi waliopo serikali Wana uwezo mdogo?

Nachelea kusema kwamba hata CEO wa kampuni yetu anaingia kwenye hilo kundi ambalo Prof Assad kalisema
 
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba na Waziri wa Nishati Januari Makamba wamepoteza sifa za kuendelea kubaki kwenye madaraka yao kwa kitumia vibaya nafasi zao za uwaziri kumdanganya Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan juu ya mambo mbalimbali ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara zao ili lile lengo lao liweze alilosema Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila liweze kutimia.

Waziri Mwigulu anafahamu fika kuwa nchi yetu kwa mujibu wa taarifa za Benki ya Dunia tuko uchumi wa kati ila yeye kwa kwa makusudi na sababu anazozijua yeye akaenda kumwambia Mh Rais kwamba tumeshuka hatuko tena uchumi wa kati na Mh Rais akaliambia Taifa kuwa tumeshuka kutoka uchumi wa kati.

Waziri Makamba naye anampelekea taarifa za wizara yake Mh Rais kuwa Bwawa la Mwalimu Nyerere litakamilika Mwaka 2024 huku akijua fika kuwa Mkataba walioongeza ni wa mwaka mmoja hadi Juni 2023 lakini kwa sababu anazozijua yeye (Za Chalamila ) akamdanganya Rais wetu na kusababisha taharuki kubwa miongoni mwa watanzania.

Viongozi wetu wakuu wastaafu Mh Jakaya Mrisho Kikwete, Mh Mizengo Kayanda Pinda, Mh Joseph Warioba, Mh Joseph Butiku na viongozi wa dini mbalimbali tunaomba muongee na Mh Rais juu ya utendaji mbovu wa mawaziri wake hawa wawili.

Na kimsingi hao wawili ndio wanaochafua taswira nzima ya Serikali ya awamu ya Sita tofauti na Simbachawene na Mwigulu walivyomsambulia Prof Muhongo bungeni kwamba amedanganya juu ya nchi yetu kushuka kutoka uchumi wa kati.










Hahaha Rais Samia anavyowapenda hawa waheshimiwa anakuambia mwanangu January etc. Ila atakuja kustuka akiwa kachelewa sana
 
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba na Waziri wa Nishati Januari Makamba wamepoteza sifa za kuendelea kubaki kwenye madaraka yao kwa kitumia vibaya nafasi zao za uwaziri kumdanganya Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan juu ya mambo mbalimbali ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara zao ili lile lengo lao liweze alilosema Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila liweze kutimia.

Waziri Mwigulu anafahamu fika kuwa nchi yetu kwa mujibu wa taarifa za Benki ya Dunia tuko uchumi wa kati ila yeye kwa kwa makusudi na sababu anazozijua yeye akaenda kumwambia Mh Rais kwamba tumeshuka hatuko tena uchumi wa kati na Mh Rais akaliambia Taifa kuwa tumeshuka kutoka uchumi wa kati.

Waziri Makamba naye anampelekea taarifa za wizara yake Mh Rais kuwa Bwawa la Mwalimu Nyerere litakamilika Mwaka 2024 huku akijua fika kuwa Mkataba walioongeza ni wa mwaka mmoja hadi Juni 2023 lakini kwa sababu anazozijua yeye (Za Chalamila ) akamdanganya Rais wetu na kusababisha taharuki kubwa miongoni mwa watanzania.

Viongozi wetu wakuu wastaafu Mh Jakaya Mrisho Kikwete, Mh Mizengo Kayanda Pinda, Mh Joseph Warioba, Mh Joseph Butiku na viongozi wa dini mbalimbali tunaomba muongee na Mh Rais juu ya utendaji mbovu wa mawaziri wake hawa wawili.

Na kimsingi hao wawili ndio wanaochafua taswira nzima ya Serikali ya awamu ya Sita tofauti na Simbachawene na Mwigulu walivyomsambulia Prof Muhongo bungeni kwamba amedanganya juu ya nchi yetu kushuka kutoka uchumi wa kati.










Kwani rais anadanganywa yeye amekua mtoto? Machinery zote alizonazo Kama rais, almost kila taasisi , inawezekana vipi asijue ukweli, kwamba mawaziri tajwa Sasa wapo na mtandao kuliko Rais kweli

Anajua ndo maana hataki kuwapiga chini
 
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba na Waziri wa Nishati Januari Makamba wamepoteza sifa za kuendelea kubaki kwenye madaraka yao kwa kitumia vibaya nafasi zao za uwaziri kumdanganya Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan juu ya mambo mbalimbali ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara zao ili lile lengo lao liweze alilosema Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila liweze kutimia.

Waziri Mwigulu anafahamu fika kuwa nchi yetu kwa mujibu wa taarifa za Benki ya Dunia tuko uchumi wa kati ila yeye kwa kwa makusudi na sababu anazozijua yeye akaenda kumwambia Mh Rais kwamba tumeshuka hatuko tena uchumi wa kati na Mh Rais akaliambia Taifa kuwa tumeshuka kutoka uchumi wa kati.

Waziri Makamba naye anampelekea taarifa za wizara yake Mh Rais kuwa Bwawa la Mwalimu Nyerere litakamilika Mwaka 2024 huku akijua fika kuwa Mkataba walioongeza ni wa mwaka mmoja hadi Juni 2023 lakini kwa sababu anazozijua yeye (Za Chalamila ) akamdanganya Rais wetu na kusababisha taharuki kubwa miongoni mwa watanzania.

Viongozi wetu wakuu wastaafu Mh Jakaya Mrisho Kikwete, Mh Mizengo Kayanda Pinda, Mh Joseph Warioba, Mh Joseph Butiku na viongozi wa dini mbalimbali tunaomba muongee na Mh Rais juu ya utendaji mbovu wa mawaziri wake hawa wawili.

Na kimsingi hao wawili ndio wanaochafua taswira nzima ya Serikali ya awamu ya Sita tofauti na Simbachawene na Mwigulu walivyomsambulia Prof Muhongo bungeni kwamba amedanganya juu ya nchi yetu kushuka kutoka uchumi wa kati.










Huna kazinza kufanya
 
Back
Top Bottom