Kwanini Mwigulu na Makamba mnampotosha Rais Samia

Kwanini Mwigulu na Makamba mnampotosha Rais Samia

Sukuma gang kubalini tu kuwa marehemu hawezi rudi na wakati wenu umeshapita. Hizo ngonjera zenu mnazozijaza humu dhidi ya Makamba, Mwigulu na Nape tumeshazizoea humu
 
Sukuma gang kubalini tu kuwa marehemu hawezi rudi na wakati wenu umeshapita. Hizo ngonjera zenu mnazozijaza humu dhidi ya Makamba, Mwigulu na Nape tumeshazizoea humu
Nchi inapenda sana maneno ya kwenye kanga. Lakini ilishakabidhiwa kwa Mungu tangu 8-12-1961 hivyo mawimbi huwa yanakuja na kupita tu.
 
Sukuma gang kubalini tu kuwa marehemu hawezi rudi na wakati wenu umeshapita. Hizo ngonjera zenu mnazozijaza humu dhidi ya Makamba, Mwigulu na Nape tumeshazizoea humu
Watu wanaongelea mambo makubwa wewe unaleta tena binafsi
 
Back
Top Bottom