Kwanini mzazi analazimika kumlipia Tsh 400,000 mwanaye anayesoma shule ya Serikali ya Kiingereza wakati Serikali inatoa elimu bila malipo?

Kwanini mzazi analazimika kumlipia Tsh 400,000 mwanaye anayesoma shule ya Serikali ya Kiingereza wakati Serikali inatoa elimu bila malipo?

Waziri wa Elimu, Prof. Adolph Mkenda naomba utusaidie maelezo ya kina kuhusu shule za msingi za serikali zinazofundisha kwa lugha ya kiingereza.

Swali ni moja tu, KWA NINI MWANACHI ANALAZIMIKA KULIPA SHILINGI 400,000+ YA ADA KWENYE SHULE HIZI wakati ambao serikali inatekeleza sera ya elimu bila malipo ya ada?🤔

Kwa nini mwananchi analazimika kulipa ada zaidi ya laki nne kwenye shule ya umma, iliyojengwa kwa fedha za umma, kwa malengo ya kutoa elimu bure kwa umma?

Mwalimu anayefundisha kwenye hizi shule ni wa serikali, mshahara analipwa na serikali, vitabu vinanunuliwa na serikali, na mengine yote. Hiki kinacholipiwa ni kitu gani?

Tofauti iliyopo kati ya shule hizi za umma ni lugha ya kufundishia tu. Kwamba wakati shule nyingine zinatumia kiswahili kama lugha ya kufundishia, hizi zinatumia kiingereza kama lugha ya kufundishia.

Kwa nini tofauti ya lugha tu imfanye mwananchi kulipa ada kwenye shule ya umma? Je, shule hizi zitakuwa na huduma tofauti na shule za Kiswahili? Kama ndio, kwa nini kuwe na utofauti?🤔

Yani, kwa nini mwananchi ambaye mtoto wake anasoma shule ya umma ya Kiswahili asilipe ada lakini mwananchi anayepeleka mtoto kwenye shule hiyo hiyo ya umma lakini inayotumia lugha ya kiingereza alipishwe ada, tena zaidi ya 400,000?🤔

Lakini pia wote tunaelewa kuwa elimu ni huduma, SIO BIASHARA (katika tafsiri ya serikali), na kwamba kila raia wa Tanzania ana haki ya kupata elimu hiyo by merits pasipo kubaguliwa.

Hata hivyo tunaelewa pia kwa mujibu wa takwimu zetu, zaidi ya 1/3 ya watu wazima Tanzania, yani watanzania zaidi milioni 20, wana kipato kisichozidi elfu 49 kwa mwezi.

Je, watoto wa watanzania hawa watawezaje kusoma kwenye shule za umma za kiingereza ikiwa mmeweka geti kubwa la malipo? Ipo wapi haki ya watanzania hawa kusoma kwenye shule za umma na kupata elimu pasipo kubaguliwa?🤔

Lakini pia natamani kujua, ni nini logic ya serikali kuanzisha shule za umma za kulipia zinazotumia lugha ya kiingereza kama lugha ya kufundishia huku shule nyingine zote zikitumia Kiswahili kisha baadae kuwalazimisha wanafunzi wote kusoma kwa kiingereza wanapofika sekondari?

Hawa ambao hawakuandaliwa kwa lugha ya kiingereza kwa sababu ya kusoma kwenye shule za umma za Kiswahili na kushindwa kulipia shule za umma na binafsi za kiingereza mna mpango gani nao?

Wao sio watanzania?

Wao hawastahili kupata elimu na maarifa kwa lugha wanayoielewa?

Kama kweli kiingereza mnachofundisha shule za msingi za umma kinatosha kumwandaa mtoto kusoma kwa kiingereza sekondari, hizi shule za kiingereza mnazoanzisha ni za kazi gani?🤔🤔🤔

Naomba pia kuwauliza wadau wa taasisi ya haki za binadamu je hili jambo ni sawa?

Chanzo: Onesmo Mushi (Ukurasa wa x)
Kila kitu kulalamika? Hujalazimishwa mpeleke huko ambapo elimu ni bure. Kupanga ni kuchagua
 
Waziri wa Elimu, Prof. Adolph Mkenda naomba utusaidie maelezo ya kina kuhusu shule za msingi za serikali zinazofundisha kwa lugha ya kiingereza.

Swali ni moja tu, KWA NINI MWANACHI ANALAZIMIKA KULIPA SHILINGI 400,000+ YA ADA KWENYE SHULE HIZI wakati ambao serikali inatekeleza sera ya elimu bila malipo ya ada?🤔

Kwa nini mwananchi analazimika kulipa ada zaidi ya laki nne kwenye shule ya umma, iliyojengwa kwa fedha za umma, kwa malengo ya kutoa elimu bure kwa umma?

Mwalimu anayefundisha kwenye hizi shule ni wa serikali, mshahara analipwa na serikali, vitabu vinanunuliwa na serikali, na mengine yote. Hiki kinacholipiwa ni kitu gani?

Tofauti iliyopo kati ya shule hizi za umma ni lugha ya kufundishia tu. Kwamba wakati shule nyingine zinatumia kiswahili kama lugha ya kufundishia, hizi zinatumia kiingereza kama lugha ya kufundishia.

Kwa nini tofauti ya lugha tu imfanye mwananchi kulipa ada kwenye shule ya umma? Je, shule hizi zitakuwa na huduma tofauti na shule za Kiswahili? Kama ndio, kwa nini kuwe na utofauti?🤔

Yani, kwa nini mwananchi ambaye mtoto wake anasoma shule ya umma ya Kiswahili asilipe ada lakini mwananchi anayepeleka mtoto kwenye shule hiyo hiyo ya umma lakini inayotumia lugha ya kiingereza alipishwe ada, tena zaidi ya 400,000?🤔

Lakini pia wote tunaelewa kuwa elimu ni huduma, SIO BIASHARA (katika tafsiri ya serikali), na kwamba kila raia wa Tanzania ana haki ya kupata elimu hiyo by merits pasipo kubaguliwa.

Hata hivyo tunaelewa pia kwa mujibu wa takwimu zetu, zaidi ya 1/3 ya watu wazima Tanzania, yani watanzania zaidi milioni 20, wana kipato kisichozidi elfu 49 kwa mwezi.

Je, watoto wa watanzania hawa watawezaje kusoma kwenye shule za umma za kiingereza ikiwa mmeweka geti kubwa la malipo? Ipo wapi haki ya watanzania hawa kusoma kwenye shule za umma na kupata elimu pasipo kubaguliwa?🤔

Lakini pia natamani kujua, ni nini logic ya serikali kuanzisha shule za umma za kulipia zinazotumia lugha ya kiingereza kama lugha ya kufundishia huku shule nyingine zote zikitumia Kiswahili kisha baadae kuwalazimisha wanafunzi wote kusoma kwa kiingereza wanapofika sekondari?

Hawa ambao hawakuandaliwa kwa lugha ya kiingereza kwa sababu ya kusoma kwenye shule za umma za Kiswahili na kushindwa kulipia shule za umma na binafsi za kiingereza mna mpango gani nao?

Wao sio watanzania?

Wao hawastahili kupata elimu na maarifa kwa lugha wanayoielewa?

Kama kweli kiingereza mnachofundisha shule za msingi za umma kinatosha kumwandaa mtoto kusoma kwa kiingereza sekondari, hizi shule za kiingereza mnazoanzisha ni za kazi gani?🤔🤔🤔

Naomba pia kuwauliza wadau wa taasisi ya haki za binadamu je hili jambo ni sawa?

Chanzo: Onesmo Mushi (Ukurasa wa x)
Bunge Primary, Olimpio na wenzao maeneo ya Posta jijini Daslamu
 
Elimu Tanzania haijawahi kuwa bure. Hawa wanaosema elimu ni bure na kuwapeleka watoto,inawagharimu maisha yao yote. Lengo la kusema elimu bure ni kuhakikisha masikini wanaendelea kuwa masikini wa kutupwa na koo za watawala na matajiri wanaendelea kudominate.
Peleka mtoto shule ya kiswahili aende sekondari ya kata tupate bodaboda na mpiga kura. Wenyewe watapeleka Tanganyika international school halafu chuo marekani akirudi aje agombee ubunge mwanao ampigie debe na kumpigia kula.
 
Waziri wa Elimu, Prof. Adolph Mkenda naomba utusaidie maelezo ya kina kuhusu shule za msingi za serikali zinazofundisha kwa lugha ya kiingereza.

Swali ni moja tu, KWA NINI MWANACHI ANALAZIMIKA KULIPA SHILINGI 400,000+ YA ADA KWENYE SHULE HIZI wakati ambao serikali inatekeleza sera ya elimu bila malipo ya ada?🤔

Kwa nini mwananchi analazimika kulipa ada zaidi ya laki nne kwenye shule ya umma, iliyojengwa kwa fedha za umma, kwa malengo ya kutoa elimu bure kwa umma?

Mwalimu anayefundisha kwenye hizi shule ni wa serikali, mshahara analipwa na serikali, vitabu vinanunuliwa na serikali, na mengine yote. Hiki kinacholipiwa ni kitu gani?

Tofauti iliyopo kati ya shule hizi za umma ni lugha ya kufundishia tu. Kwamba wakati shule nyingine zinatumia kiswahili kama lugha ya kufundishia, hizi zinatumia kiingereza kama lugha ya kufundishia.

Kwa nini tofauti ya lugha tu imfanye mwananchi kulipa ada kwenye shule ya umma? Je, shule hizi zitakuwa na huduma tofauti na shule za Kiswahili? Kama ndio, kwa nini kuwe na utofauti?🤔

Yani, kwa nini mwananchi ambaye mtoto wake anasoma shule ya umma ya Kiswahili asilipe ada lakini mwananchi anayepeleka mtoto kwenye shule hiyo hiyo ya umma lakini inayotumia lugha ya kiingereza alipishwe ada, tena zaidi ya 400,000?🤔

Lakini pia wote tunaelewa kuwa elimu ni huduma, SIO BIASHARA (katika tafsiri ya serikali), na kwamba kila raia wa Tanzania ana haki ya kupata elimu hiyo by merits pasipo kubaguliwa.

Hata hivyo tunaelewa pia kwa mujibu wa takwimu zetu, zaidi ya 1/3 ya watu wazima Tanzania, yani watanzania zaidi milioni 20, wana kipato kisichozidi elfu 49 kwa mwezi.

Je, watoto wa watanzania hawa watawezaje kusoma kwenye shule za umma za kiingereza ikiwa mmeweka geti kubwa la malipo? Ipo wapi haki ya watanzania hawa kusoma kwenye shule za umma na kupata elimu pasipo kubaguliwa?🤔

Lakini pia natamani kujua, ni nini logic ya serikali kuanzisha shule za umma za kulipia zinazotumia lugha ya kiingereza kama lugha ya kufundishia huku shule nyingine zote zikitumia Kiswahili kisha baadae kuwalazimisha wanafunzi wote kusoma kwa kiingereza wanapofika sekondari?

Hawa ambao hawakuandaliwa kwa lugha ya kiingereza kwa sababu ya kusoma kwenye shule za umma za Kiswahili na kushindwa kulipia shule za umma na binafsi za kiingereza mna mpango gani nao?

Wao sio watanzania?

Wao hawastahili kupata elimu na maarifa kwa lugha wanayoielewa?

Kama kweli kiingereza mnachofundisha shule za msingi za umma kinatosha kumwandaa mtoto kusoma kwa kiingereza sekondari, hizi shule za kiingereza mnazoanzisha ni za kazi gani?🤔🤔🤔

Naomba pia kuwauliza wadau wa taasisi ya haki za binadamu je hili jambo ni sawa?

Chanzo: Onesmo Mushi (Ukurasa wa x)
Ungeleta na ulinganifu wa vitu hivi katika shule hizo za serikali ili tujue zimetofautiana lugha yabkufundishia tu au lah...
1. Final exam results
2. Number of employers (teachers)
3. Extra curriculum activities nk
Kubwa zaidi zingatia namba hiyo namba moja.
 
Waziri wa Elimu, Prof. Adolph Mkenda naomba utusaidie maelezo ya kina kuhusu shule za msingi za serikali zinazofundisha kwa lugha ya kiingereza.

Swali ni moja tu, KWA NINI MWANACHI ANALAZIMIKA KULIPA SHILINGI 400,000+ YA ADA KWENYE SHULE HIZI wakati ambao serikali inatekeleza sera ya elimu bila malipo ya ada?🤔

Kwa nini mwananchi analazimika kulipa ada zaidi ya laki nne kwenye shule ya umma, iliyojengwa kwa fedha za umma, kwa malengo ya kutoa elimu bure kwa umma?

Mwalimu anayefundisha kwenye hizi shule ni wa serikali, mshahara analipwa na serikali, vitabu vinanunuliwa na serikali, na mengine yote. Hiki kinacholipiwa ni kitu gani?

Tofauti iliyopo kati ya shule hizi za umma ni lugha ya kufundishia tu. Kwamba wakati shule nyingine zinatumia kiswahili kama lugha ya kufundishia, hizi zinatumia kiingereza kama lugha ya kufundishia.

Kwa nini tofauti ya lugha tu imfanye mwananchi kulipa ada kwenye shule ya umma? Je, shule hizi zitakuwa na huduma tofauti na shule za Kiswahili? Kama ndio, kwa nini kuwe na utofauti?🤔

Yani, kwa nini mwananchi ambaye mtoto wake anasoma shule ya umma ya Kiswahili asilipe ada lakini mwananchi anayepeleka mtoto kwenye shule hiyo hiyo ya umma lakini inayotumia lugha ya kiingereza alipishwe ada, tena zaidi ya 400,000?🤔

Lakini pia wote tunaelewa kuwa elimu ni huduma, SIO BIASHARA (katika tafsiri ya serikali), na kwamba kila raia wa Tanzania ana haki ya kupata elimu hiyo by merits pasipo kubaguliwa.

Hata hivyo tunaelewa pia kwa mujibu wa takwimu zetu, zaidi ya 1/3 ya watu wazima Tanzania, yani watanzania zaidi milioni 20, wana kipato kisichozidi elfu 49 kwa mwezi.

Je, watoto wa watanzania hawa watawezaje kusoma kwenye shule za umma za kiingereza ikiwa mmeweka geti kubwa la malipo? Ipo wapi haki ya watanzania hawa kusoma kwenye shule za umma na kupata elimu pasipo kubaguliwa?🤔

Lakini pia natamani kujua, ni nini logic ya serikali kuanzisha shule za umma za kulipia zinazotumia lugha ya kiingereza kama lugha ya kufundishia huku shule nyingine zote zikitumia Kiswahili kisha baadae kuwalazimisha wanafunzi wote kusoma kwa kiingereza wanapofika sekondari?

Hawa ambao hawakuandaliwa kwa lugha ya kiingereza kwa sababu ya kusoma kwenye shule za umma za Kiswahili na kushindwa kulipia shule za umma na binafsi za kiingereza mna mpango gani nao?

Wao sio watanzania?

Wao hawastahili kupata elimu na maarifa kwa lugha wanayoielewa?

Kama kweli kiingereza mnachofundisha shule za msingi za umma kinatosha kumwandaa mtoto kusoma kwa kiingereza sekondari, hizi shule za kiingereza mnazoanzisha ni za kazi gani?🤔🤔🤔

Naomba pia kuwauliza wadau wa taasisi ya haki za binadamu je hili jambo ni sawa

Waziri wa Elimu, Prof. Adolph Mkenda naomba utusaidie maelezo ya kina kuhusu shule za msingi za serikali zinazofundisha kwa lugha ya kiingereza.

Swali ni moja tu, KWA NINI MWANACHI ANALAZIMIKA KULIPA SHILINGI 400,000+ YA ADA KWENYE SHULE HIZI wakati ambao serikali inatekeleza sera ya elimu bila malipo ya ada?🤔

Kwa nini mwananchi analazimika kulipa ada zaidi ya laki nne kwenye shule ya umma, iliyojengwa kwa fedha za umma, kwa malengo ya kutoa elimu bure kwa umma?

Mwalimu anayefundisha kwenye hizi shule ni wa serikali, mshahara analipwa na serikali, vitabu vinanunuliwa na serikali, na mengine yote. Hiki kinacholipiwa ni kitu gani?

Tofauti iliyopo kati ya shule hizi za umma ni lugha ya kufundishia tu. Kwamba wakati shule nyingine zinatumia kiswahili kama lugha ya kufundishia, hizi zinatumia kiingereza kama lugha ya kufundishia.

Kwa nini tofauti ya lugha tu imfanye mwananchi kulipa ada kwenye shule ya umma? Je, shule hizi zitakuwa na huduma tofauti na shule za Kiswahili? Kama ndio, kwa nini kuwe na utofauti?🤔

Yani, kwa nini mwananchi ambaye mtoto wake anasoma shule ya umma ya Kiswahili asilipe ada lakini mwananchi anayepeleka mtoto kwenye shule hiyo hiyo ya umma lakini inayotumia lugha ya kiingereza alipishwe ada, tena zaidi ya 400,000?🤔

Lakini pia wote tunaelewa kuwa elimu ni huduma, SIO BIASHARA (katika tafsiri ya serikali), na kwamba kila raia wa Tanzania ana haki ya kupata elimu hiyo by merits pasipo kubaguliwa.

Hata hivyo tunaelewa pia kwa mujibu wa takwimu zetu, zaidi ya 1/3 ya watu wazima Tanzania, yani watanzania zaidi milioni 20, wana kipato kisichozidi elfu 49 kwa mwezi.

Je, watoto wa watanzania hawa watawezaje kusoma kwenye shule za umma za kiingereza ikiwa mmeweka geti kubwa la malipo? Ipo wapi haki ya watanzania hawa kusoma kwenye shule za umma na kupata elimu pasipo kubaguliwa?🤔

Lakini pia natamani kujua, ni nini logic ya serikali kuanzisha shule za umma za kulipia zinazotumia lugha ya kiingereza kama lugha ya kufundishia huku shule nyingine zote zikitumia Kiswahili kisha baadae kuwalazimisha wanafunzi wote kusoma kwa kiingereza wanapofika sekondari?

Hawa ambao hawakuandaliwa kwa lugha ya kiingereza kwa sababu ya kusoma kwenye shule za umma za Kiswahili na kushindwa kulipia shule za umma na binafsi za kiingereza mna mpango gani nao?

Wao sio watanzania?

Wao hawastahili kupata elimu na maarifa kwa lugha wanayoielewa?

Kama kweli kiingereza mnachofundisha shule za msingi za umma kinatosha kumwandaa mtoto kusoma kwa kiingereza sekondari, hizi shule za kiingereza mnazoanzisha ni za kazi gani?🤔🤔🤔

Naomba pia kuwauliza wadau wa taasisi ya haki za binadamu je hili jambo ni sawa?

Chanzo: Onesmo Mushi (Ukurasa wa x)
Nijuavyo mimi hayo sio malipo ya ada bali ni makubaliano ya bodi ya shule na wazazi kuwezesha baadhi ya programu hapo shuleni.
 
Nijuavyo mimi hayo sio malipo ya ada bali ni makubaliano ya bodi ya shule na wazazi kuwezesha baadhi ya programu hapo shuleni.
Hapana ni ada. Na kwa sasa ada ni 500,000 kwa mwaka. Na kiwango hicho hakina tofauti na Medium schools nyingi nchini ukiondoa jamii ya Tanganyika na Fedha Schools.

Makubaliano ya wazazi na bodi ya shule yako kwenye mchango wa chakula na usafiri. Hivyo kwenye hizi medium schools za serikali michango yote kwa mwaka inaweza kufikia 1.2M au zaidi ikitegemea mkoa shule ilipo pia umbali wa mwanafunzi alipo kuifikia shule
 
Kiingereza ni balaa
Kuna shule hapo Ubungo kuna tetesi inavunjwa ili iwe English medium la sivyo ina maana ingebaki kuwa hivyo hivyo ilivyo 😄
Teh! Hii comment sijui kwanini ilipitwa no comment, no likes! Ni Ubungo NHC nini? Kiingereza kina mazingira yake; even appearance ya walimu na wanafunzi must be different as well as the surrounding environment!
 
Teh! Hii comment sijui kwanini ilipitwa no comment, no likes! Ni Ubungo NHC nini? Kiingereza kina mazingira yake; even appearance ya walimu na wanafunzi must be different as well as the surrounding environment!
Hii nchi ina ujinga mwingi sana
 
Waziri wa Elimu, Prof. Adolph Mkenda naomba utusaidie maelezo ya kina kuhusu shule za msingi za serikali zinazofundisha kwa lugha ya kiingereza.

Swali ni moja tu, KWA NINI MWANACHI ANALAZIMIKA KULIPA SHILINGI 400,000+ YA ADA KWENYE SHULE HIZI wakati ambao serikali inatekeleza sera ya elimu bila malipo ya ada?🤔

Kwa nini mwananchi analazimika kulipa ada zaidi ya laki nne kwenye shule ya umma, iliyojengwa kwa fedha za umma, kwa malengo ya kutoa elimu bure kwa umma?

Mwalimu anayefundisha kwenye hizi shule ni wa serikali, mshahara analipwa na serikali, vitabu vinanunuliwa na serikali, na mengine yote. Hiki kinacholipiwa ni kitu gani?

Tofauti iliyopo kati ya shule hizi za umma ni lugha ya kufundishia tu. Kwamba wakati shule nyingine zinatumia kiswahili kama lugha ya kufundishia, hizi zinatumia kiingereza kama lugha ya kufundishia.

Kwa nini tofauti ya lugha tu imfanye mwananchi kulipa ada kwenye shule ya umma? Je, shule hizi zitakuwa na huduma tofauti na shule za Kiswahili? Kama ndio, kwa nini kuwe na utofauti?🤔

Yani, kwa nini mwananchi ambaye mtoto wake anasoma shule ya umma ya Kiswahili asilipe ada lakini mwananchi anayepeleka mtoto kwenye shule hiyo hiyo ya umma lakini inayotumia lugha ya kiingereza alipishwe ada, tena zaidi ya 400,000?🤔

Lakini pia wote tunaelewa kuwa elimu ni huduma, SIO BIASHARA (katika tafsiri ya serikali), na kwamba kila raia wa Tanzania ana haki ya kupata elimu hiyo by merits pasipo kubaguliwa.

Hata hivyo tunaelewa pia kwa mujibu wa takwimu zetu, zaidi ya 1/3 ya watu wazima Tanzania, yani watanzania zaidi milioni 20, wana kipato kisichozidi elfu 49 kwa mwezi.

Je, watoto wa watanzania hawa watawezaje kusoma kwenye shule za umma za kiingereza ikiwa mmeweka geti kubwa la malipo? Ipo wapi haki ya watanzania hawa kusoma kwenye shule za umma na kupata elimu pasipo kubaguliwa?🤔

Lakini pia natamani kujua, ni nini logic ya serikali kuanzisha shule za umma za kulipia zinazotumia lugha ya kiingereza kama lugha ya kufundishia huku shule nyingine zote zikitumia Kiswahili kisha baadae kuwalazimisha wanafunzi wote kusoma kwa kiingereza wanapofika sekondari?

Hawa ambao hawakuandaliwa kwa lugha ya kiingereza kwa sababu ya kusoma kwenye shule za umma za Kiswahili na kushindwa kulipia shule za umma na binafsi za kiingereza mna mpango gani nao?

Wao sio watanzania?

Wao hawastahili kupata elimu na maarifa kwa lugha wanayoielewa?

Kama kweli kiingereza mnachofundisha shule za msingi za umma kinatosha kumwandaa mtoto kusoma kwa kiingereza sekondari, hizi shule za kiingereza mnazoanzisha ni za kazi gani?🤔🤔🤔

Naomba pia kuwauliza wadau wa taasisi ya haki za binadamu je hili jambo ni sawa?

Chanzo: Onesmo Mushi (Ukurasa wa x)
Mrudishe Kayumba isiwe nongwa.....ukitaka huko lipa 400k...
 
Waziri wa Elimu, Prof. Adolph Mkenda naomba utusaidie maelezo ya kina kuhusu shule za msingi za serikali zinazofundisha kwa lugha ya kiingereza.

Swali ni moja tu, KWA NINI MWANACHI ANALAZIMIKA KULIPA SHILINGI 400,000+ YA ADA KWENYE SHULE HIZI wakati ambao serikali inatekeleza sera ya elimu bila malipo ya ada?🤔

Kwa nini mwananchi analazimika kulipa ada zaidi ya laki nne kwenye shule ya umma, iliyojengwa kwa fedha za umma, kwa malengo ya kutoa elimu bure kwa umma?

Mwalimu anayefundisha kwenye hizi shule ni wa serikali, mshahara analipwa na serikali, vitabu vinanunuliwa na serikali, na mengine yote. Hiki kinacholipiwa ni kitu gani?

Tofauti iliyopo kati ya shule hizi za umma ni lugha ya kufundishia tu. Kwamba wakati shule nyingine zinatumia kiswahili kama lugha ya kufundishia, hizi zinatumia kiingereza kama lugha ya kufundishia.

Kwa nini tofauti ya lugha tu imfanye mwananchi kulipa ada kwenye shule ya umma? Je, shule hizi zitakuwa na huduma tofauti na shule za Kiswahili? Kama ndio, kwa nini kuwe na utofauti?🤔

Yani, kwa nini mwananchi ambaye mtoto wake anasoma shule ya umma ya Kiswahili asilipe ada lakini mwananchi anayepeleka mtoto kwenye shule hiyo hiyo ya umma lakini inayotumia lugha ya kiingereza alipishwe ada, tena zaidi ya 400,000?🤔

Lakini pia wote tunaelewa kuwa elimu ni huduma, SIO BIASHARA (katika tafsiri ya serikali), na kwamba kila raia wa Tanzania ana haki ya kupata elimu hiyo by merits pasipo kubaguliwa.

Hata hivyo tunaelewa pia kwa mujibu wa takwimu zetu, zaidi ya 1/3 ya watu wazima Tanzania, yani watanzania zaidi milioni 20, wana kipato kisichozidi elfu 49 kwa mwezi.

Je, watoto wa watanzania hawa watawezaje kusoma kwenye shule za umma za kiingereza ikiwa mmeweka geti kubwa la malipo? Ipo wapi haki ya watanzania hawa kusoma kwenye shule za umma na kupata elimu pasipo kubaguliwa?🤔

Lakini pia natamani kujua, ni nini logic ya serikali kuanzisha shule za umma za kulipia zinazotumia lugha ya kiingereza kama lugha ya kufundishia huku shule nyingine zote zikitumia Kiswahili kisha baadae kuwalazimisha wanafunzi wote kusoma kwa kiingereza wanapofika sekondari?

Hawa ambao hawakuandaliwa kwa lugha ya kiingereza kwa sababu ya kusoma kwenye shule za umma za Kiswahili na kushindwa kulipia shule za umma na binafsi za kiingereza mna mpango gani nao?

Wao sio watanzania?

Wao hawastahili kupata elimu na maarifa kwa lugha wanayoielewa?

Kama kweli kiingereza mnachofundisha shule za msingi za umma kinatosha kumwandaa mtoto kusoma kwa kiingereza sekondari, hizi shule za kiingereza mnazoanzisha ni za kazi gani?🤔🤔🤔

Naomba pia kuwauliza wadau wa taasisi ya haki za binadamu je hili jambo ni sawa?

Chanzo: Onesmo Mushi (Ukurasa wa x)
Tamko lilishatolewa tangu enzi za Mwendazake. Kwamba shule zote za English Medium (za serikali) zitaendelea na utaratibu wao. Kwamba serikali haitazipa ruzuku ya kuendeshea shule hizo.
 
Back
Top Bottom