wimbo kuhusu siasa unafungiwa ,Ila nyimbo za matusi zinaachwaJamii ya watanzania imeharibika kuanzia ndani ya familia Diamond ndio msanii anayeongoza kuimba nyimbo za matusi lakini ukimsema hapa jukwaani utaambiwa unamwonea wivu ukweli ni kwamba jamii ya kitanzania imeharika na sasa ni kansa ya matusi kupitia wasanii hakuna BASATA wala bwasata maadili ni sifuri
Ukiona hivyo ujue huo mziki haukuhusu wewe btw kuna lebo na wasanii wengi na tv nyingi tu nchi hii hujalazimishwa kuwasikiliza hao Wcb. Acha shobo na kazi za watu.WCB wameharibu mziki wa Bongo ,hakuna contents za maana wanazoimba ni matusi tu,Kila wimbo wanaotoa ni matusi.
Kwanini hata BASATA wasiwaangalie kwa jicho pevu? Huwezi kuwasha TV unapokaa na familia maana unajua wimbo wowote wa WCB ukija ni matusi.
Lebo yote inaimba ngono tu
wanasema soko ndio linataka hivyo eti, kumbe sioWCB wameharibu mziki wa Bongo ,hakuna contents za maana wanazoimba ni matusi tu,Kila wimbo wanaotoa ni matusi.
Kwanini hata BASATA wasiwaangalie kwa jicho pevu? Huwezi kuwasha TV unapokaa na familia maana unajua wimbo wowote wa WCB ukija ni matusi.
Lebo yote inaimba ngono tu
huwezi kuacha au kuona au kusikiliza kitu kinachotrend ,hata mirinda nyeusi inatrend sasa hiviUkiona hivyo ujue huo mziki haukuhusu wewe btw kuna lebo na wasanii wengi na tv nyingi tu nchi hii hujalazimishwa kuwasikiliza hao Wcb. Acha shobo na kazi za watu.
MAELEKEZOLabda ni Freemason kweli tutajuaje Sasa!
Jamaa anaimba real na ngumu sana, tatizo wabongo hawataki ngumu wanataka kitu inachezeka kidogo🤣🤣🤣🤣Forget the rest I'm true rival, mnaimba matusi sana kwa maana bongo zenu ni too idle
Dizasta vina
Najua basi sema watu wanasema tuMAELEKEZO
Mbona hata hizo hizo ngumu kuna watu wanazicheza, hao watu wanaolalamika hazichezeki wanataka kuzicheza kwa style gani?Jamaa anaimba real na ngumu sana, tatizo wabongo hawataki ngumu wanataka kitu inachezeka kidogo🤣🤣🤣🤣
shetani anawatumia ili wamsahau Mungu mkuu, umewahi kujiuliza mbona ibadani hawapost kuliko show wanazofanyaNajua basi sema watu wanasema tu
sijakataa ila M BONGO hataki kitu ngumu anataka soft soft tu, hizo za kina dizasta za kutumia akili sana... mbongo mpe kwaito, singeli amapiano acheze afurahi baasi😅Mbona hata hizo hizo ngumu kuna watu wanazicheza, hao watu wanaolalamika hazichezeki wanataka kuzicheza kwa style gani?
Ni hivi vi teenager vilivyozaliwa kwenye generation ambayo diamond ndio starsijakataa ila M BONGO hataki kitu ngumu anataka soft soft tu, hizo za kina dizasta za kutumia akili sana... mbongo mpe kwaito, singeli amapiano acheze afurahi baasi😅
KIZAZI CHA INSTAGRAAMNi hivi vi teenager vilivyozaliwa kwenye generation ambayo diamond ndio star
mkuu hizo miziki mingine kidogo wanatumia tafsida ,Ila hawa wcb wanaimba yale matusi kabisa ya kitandaniNyimbi zenye lugha "tatanishi" si WCB pekee..Kizazi kipya,Taarabu,Singeli mpaka za Dansi..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app