Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
WCB wameharibu mziki wa Bongo ,hakuna contents za maana wanazoimba ni matusi tu, Kila wimbo wanaotoa ni matusi.
Kwanini hata BASATA wasiwaangalie kwa jicho pevu? Huwezi kuwasha TV unapokaa na familia maana unajua wimbo wowote wa WCB ukija ni matusi.
Lebo yote inaimba ngono tu
Kwanini hata BASATA wasiwaangalie kwa jicho pevu? Huwezi kuwasha TV unapokaa na familia maana unajua wimbo wowote wa WCB ukija ni matusi.
Lebo yote inaimba ngono tu