Dah! Mwanangu..
Mimi sababu kubwa ni Tungi Tu mzee, Hataki ninywe Tungi ila yeye pia anakunywa..
Demu kasepa na mtoto, wananiaga wanaenda kanisani, Mi na Hang over zangu nikasema Poa.. Nakuja kuamka ,ndani hamna kitu..
Sahivi yupo na mwana buguruni pale..
Niliona Video yake moja Facebook yupo na Mwana kwenye sherehe Demu anakunywa serengeti lite Mwana anakunywa Mirinda Nyeusi, Mungu kambariki amepata chaguo lake..
Sijawahi kufuatilia chochote hata kuhusu mtoto sijauliza..