Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,795
Utakuwa na ugonjwa wa kisukari.. Hali hiyo hukutokea mara baada ya kula chakula cha mchana na usiku chenye wanga.. Pia huenda unasikia kiu na kukojoa mara kwa mara.. Si ndio?Wakuu naona nitakuwa na tatizo maana napenda sana kulala iwe mchana au usiku mwili full uchovu sipendi kufanya kazi. Msaada please.
napost zoom.Sasa inakuaje unapenda kulala?kazi unafanyaje
tsetse fly?Kuna mdudu anaitwa mbung'o aisee kama alikung'ata ndo basi tena imekula kwako. Wanapatikana sana mbeya.
Ukiwa na depression huwezi kulala hovyo kwanza usingizi utautafuta kwa tochi usione jf wote ni mazwazwa
kweli mkuu nna depression.
nipo bed hapa naona unajimwambafy
Tuanzia hapo kwenye jinsia mchanganyikoWewe ni wa kike, wa kiume au wa jinsia mchanganyiko
Maoni yako tafadhali hapo tunapoanzia