Kwanini napenda sana maisha ya zamani je, psychological issue...?

Kwanini napenda sana maisha ya zamani je, psychological issue...?

Mzee wa old school

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
873
Reaction score
1,405
Habarini wana jamvi, nisiwachoshe.... Naenda moja KWa moja kwenye mada..

Yaani tokea nianze kujitambua miaka mingi iliyo pita. Nimekua napenda sana vitu vya zamani.. mfano KWa mambo ya mawasiliano, napenda sana simu za zamani mfano kama vinokia siemens n.k, sipendi hizi za technologia ya kisasa almaalufu simu janja.. pia hata style ya maisha napenda ya zamani.. nadhani KWa ufupi nimeeleweka.

SAsa wataalamu wa mambo hii kitu imekaaje psychologically?

Nayeyuka huku nikiweweseka kiwendawazimu
 
Mkuu, kikubwa hauvunji sheria, enjoy.. Dress kiold school, ishi kiold school, enjoy man.. Kuna madogo wanaishi kifuture
 
Habarini wana jamvi, nisiwachoshe.... Naenda moja KWa moja kwenye mada..

Yaani tokea nianze kujitambua miaka mingi iliyo pita. Nimekua napenda sana vitu vya zamani.. mfano KWa mambo ya mawasiliano, napenda sana simu za zamani mfano kama vinokia siemens n.k, sipendi hizi za technologia ya kisasa almaalufu simu janja.. pia hata style ya maisha napenda ya zamani.. nadhani KWa ufupi nimeeleweka.

SAsa wataalamu wa mambo hii kitu imekaaje psychologically?

Nayeyuka huku nikiweweseka kiwendawazimu
Simu sio za zamani tumia njia ya posta, kila kitu ni kwa barua.
 
Playlist ambayo ninayo kwenye gari yangu old school tupu, ni hip hop n RnB za miaka ya 90 mpaka late 90s.

New school sizielewi kabisa
 
Back
Top Bottom