Kwanini naunga mkono Urusi kuchukua hatua za kijeshi Ukraine?

Kwanini naunga mkono Urusi kuchukua hatua za kijeshi Ukraine?

Kwenda shetani wewe century ya 20s unaweza vita .Dollar moja ni 0001 ruble . Watu wamekufa .Ukraine ni nchi independent .Idi amini alivyo taka bukoba Nyerere akamuondoa kwa vita so puleeese
Wakati iraq anavamiwa kwa kisingizio cha wmd ilikuwa karne ya 8 ?
 
NAULIZA TU

Bado Mji Mkuu wa Kiev haujatekwa? Au ni mbwembwe za Wakomunisti?
 
Unahubiri demokrasia halafu unashabikia udikteta wa Putin.
Democracy gani ambayo huruhusiwi kufanya maamuzi yoyote kwenye rasilimali zako na kupewa masharti magumu kimikataba ili uzidi kunyonywa tu kiuchumi tangu 1961 TZ ipate uhuru?
 
Swali langu moja tu.

Kwa ufafanuzi huu wenye mantiki kubwa hivi (plausible), inakuwaje Putin anakosa uungwaji mkono mkubwa na wananchi wake hadi kutegemea kuwa na bunge ambalo ni "rubber stamp", kudhibiti upinzani kwa mkono wa chuma, kutumia vikosi vya wasiojulikana kudhibiti ukosoaji (police state), kuimarisha tawala za kidikteta huko Belarus na Venezuela, n.k.

Wnanachi wa Urusi wamesikika wakilalamikia vikwazo vya NATO na Marekani kwamba si fair kwao kwani wao "hawakumchagua" Putin kuwa rais wao! Hiyo ni vita yake binafsi! Akwamishwe yeye na wapambe wake; sio raia wote wa Urusi.

Inafahamika kuwa huko Urusi, utawala wa Putin ni "one man show": hashauriwi, hakosolewi wala hapingwi na mhimili wowote. In maana kuwa ni yeye peke yake anayejua na kuyaona maslahi ya Urusi na ya Warusi? Wananchi wa Urusi hawana habari ndugu zao wakinyanyaswa na kuuawa huko Donbass, Crimea na Georgia? Warusi wote hawaoni janja ya Marekani na NATO kujiimarisha kijeshi kutishia usalama wa Urusi kupitia Ukraine na nchi zingine jirani (former USSR)?

Hoja yako inashawishi (plausible) lakini inatia shaka - doesn't sound rational. Ingekuwa hivyo, huyu mtu angetambuliwa na watu wake kama shujaa na sauti yao kumkubali ingesikika bila mikwaruzo. Au Marekani pia wamefanikiwa kudhibiti kikamilifu sauti halali ya Warusi? Au wamewageuza Warusi wengi kuwa vibaraka wao?
Tangu na tangu haijawahitokea na haitatokea Rais yeyote kukubaliwa na Raia wake wote 100%.
 
Vijana wengi humu wanasikiliza BBC, CNN na vyombo vingine vya magharibi hawajishughushi kabisa kupata habari au kusoma historia ya dunia kuanzia vita ya pili ya dunia hadi vita baridi vilivyopelekea Umoja wa Urusi kusambaratika...

Wengi wao hata ukiwauliza kwa nini NK na SK zilitengana hawajui, ila wanaishi kwa propaganda za Marekani tu.
Hayo mawatu hayatofautiani na yale yaliyoaminishwa ujinga kuwa bila ya kununua na kupakaa mafuta ya upako ya yule Nabii wa uwongo basi hayawezi kuponywa na changamoto za kidunia.

Sasa je dunia nzima iache kumwomba Mungu ikanunue hayo mafuta na kujipakaa miilini ndiyo utakuwa ukomo wa changamoto za kimaisha au ifanye kipi hasa [emoji848][emoji3526]
 
Hii hapa chini nayo ni sababu kuunga mkono hatua ya Urusi?
====

US-funded labs in Ukraine dealt with bat coronavirus, Moscow claims​

Russia’s Ministry of Defense cited documents it claims it captured at the facilities, while the US denies developing bioweapons
US-funded labs in Ukraine dealt with bat coronavirus, Moscow claims

© Getty Images / narvikk
US-funded laboratories in Ukraine captured by Russian forces last week were conducting experiments with bat coronavirus and other dangerous pathogens, Moscow claimed on Thursday, citing documents seized at the facilities. There were allegedly plans to move on to African swine fever virus and to anthrax.

Igor Konashenkov, spokesperson for Russia’s Ministry of Defense, said that “experiments with samples of bat coronavirus were being carried out in the bio-laboratories, created and funded [by the US] in Ukraine, as documents show.” The Russian official went on to claim that in 2022 the US was intending to “work on bird, bat and reptile pathogens,” with plans to move on to research into whether those animals can “transmit African swine fever virus and anthrax.

According to Konashenkov, the scientists were looking into, among other things, the possibility of pathogen transmission by wild birds migrating between Russia, Ukraine and other neighboring countries.

On Sunday, Russia announced that it had captured several laboratories in Ukraine. If Moscow officials are to be believed, staff at some of the facilities told Russian troops that particularly dangerous pathogens, including plague and anthrax, had been destroyed following the start of Moscow’s military offensive against Ukraine on February 24.

Konashenkov surmised that the Pentagon feared that its “secret biological experiments” would be uncovered, ordering Ukrainian authorities to dispose of evidence pointing to such research.

Responding to the allegations voiced by Russia on Wednesday, Ned Price, spokesperson for the US Department of State, accused Moscow of “intentionally spreading outright lies.” According to Price, similar claims made previously by Russia “have been debunked conclusively and repeatedly over many years.” The US official proceeded to suggest that the latest pathogen allegations were nothing more than a pretext invented by the Kremlin “in an attempt to justify its own horrific actions in Ukraine.

Washington insisted that the “United States does not own or operate any chemical or biological laboratories in Ukraine, it is in full compliance with its obligations under the Chemical Weapons Convention and Biological Weapons Convention.” The US Department of State pointed the finger at Moscow instead, accusing it of having “active chemical and biological weapons programs.

Ukraine, too, has denied the presence of any facilities developing biological weapons on its territory.

The American embassy in Kiev confirmed that the US Department of Defense “collaborates with partner countries,” but only to “counter the threat of outbreaks.

China, however, has made it clear that it is not entirely convinced by America’s explanations, and urged Washington to disclose relevant data “as soon as possible.

Speaking to journalists on Tuesday, its Foreign Ministry spokesman Zhao Lijian said that Beijing had information indicating that the said laboratories in Ukraine were just the “tip of an iceberg.” Zhao went on to claim that the Pentagon “controls 336 biological laboratories in 30 countries around the world,” with the secret program operating under the guise of efforts to “reduce biosecurity risks” and to strengthen “global public health.

source:rt.com
 
Picha ya kwanza juu ni kiongozi wa Jamhuri ya Watu wa Donetsk bwana Denis Pushilin, Na picha ya chini ni kiongozi wa Jamhuri ya Watu wa Luhansk bwana Leonid Pasechnik, Jamhuri hizo ni majimbo yaliyojitenga toka Ukraine.

Naomba nianze utangulize wa makala yangu kwakusema, Dunia ili iwe salama inatakiwa kuwa na wakubwa wawili au zaidi (balance of power), sio mmoja tu anaamua yeye kwaajili ya dunia na hapingwi, Mbele ya Urusi sasa hatutaona vita vya holela vya Marekani na washirika wake.

Sababu ya kwanza ya kuunga mkono Urusi ni kwamba ni hatua muhimu ya kukomesha mauaji ya miaka karibu kumi sasa yanayofanywa na Ukraine dhidi ya Wananchi wa Majimbo ya Luhansk na Donetsk. Kwa msiojua Mtangulizi wa Rais Zelensk wa Ukraine, bwana Petro Poroshenko tangu ashike madaraka 2014 aliendesha mauaji ya wapinzani wengi katika majimbo ya DPR na LPR yaliyotaka kujitenga hadi alipoondoka tu vita havikumalizika.

Alipoingia Zelensk nae akafuata nyayo za mtangulizi wakw, akaigeuza Ukraine kuwa jehanamu kwa aliowaita waasi, aliendesha mauaji makubwa sana hasahasa 2021 dhidi ya raia kule katika miji ya Donbass katika kile alichokiita kudhibiti waasi wanaotaka kujitenga. Dunia hii ilikaa kimya, Urusi ikawa ndio pango la kupokea wakimbizi zaidi la laki tatu,

Kiongozi Jimbo la Donetsk Bwana Denis Pushilin amenusurika mauaji zaidi ya marakumi hadi alipoomba ulinzi wa kimataifa kutoka Moscow, na mwisho akaongoza mapambano na kufanikiwa kujitangazia Uhuru.

Vile vile kiongozi wa jimbo la Luhansk bwana Leonid Pasechnik nae ilimlazimu kutafuta hifadhi ya kisiasa Moscow kwa lengo la kunusuru maisha yake dhidi ya Rais wa Ukraine bwana Zelensk aliyeapa kufuta uasi katika majimbo hayo, Aliongoza mapambano kwa ushirika wa Kiongozi wa jimbo la Donetsk bwana Pushilin na hatimaye wiki jana wamefanikiwa kumshinda Zelensk na Kujitangazia Uhuru.Urusi imeyatambua majimbo hayo kama nchi huru, Belarus na nchi nyingine tano yayari zimetambua. Ukraine imepinga uhuru huo ikaapa kuendesha vita nzito zaidi dhidi ya waliojitenga, Hatua hiyo ikawalazimu viongozi wa mapinduzi waombe msaada wa kijeshi kutoka Urusi. Na wameupata. Oparesheni ya Urusi ndio mwarobaini wa kukomesha mauaji ya miaka zaidi ya kumi sasa, kinyume na hapo miji itaendelea kuvuja damu kila kukicha.

Sababu ya pili ya kuunga mkono Urusi ni kitendo cha Marekani kutaka kujenga ngome ya kijeshi Ukraine, na katika kutimiza hilo Marekani kwakutumia washirika wake wa Nato wakamshawishi avunje Mkataba wa Minsk wa 2015 pamoja na mambo mengine, ulisema Ukanda wa Kaskazini Magharibi mwa Urusi (Ukraine) uliokuwa Umoja wa Kisoviet ya zamani Hautaruhusiwa kujiunga na Umoj wa Ulaya. Katika kibri cha Zelensk akaomba kujiunga NATO. Moscow akajibu kwa moto.

Sababu ya tatu ya kuunga mkono Urusi ni kitendo cha Marekani kupitia shirika lake la kijasusi la CIA kuvuruga dili la Urusi la kujenga bomba la awamu ya pili la gesi maarufu kama NORD STREAM II, ambalo lingelisha gesi Ulaya yote kwa 90% tofauti na sasa mbapo Ulaya inategemea gesi ya Urusi kwa 40% tu, Marekani ameitumia Ukraine kukwamisha mradi huu na baadhi ya nchi za Nato. Kitendo hiki ilikuwa ni uchokozi wa kiuchumi na kijasusi, Jibu la Urusi limeanzia kwa Ukraine kwanza.

Mtazamo wangu kama Yericko Nyerere, vita hivi ni kati ya Urusi na Marekani, na vitaisha kwa nchi hizi mbili kukaa chini na kukubaliana terms and conditions kama mihimili miwili mikuu duniani. Na sio vinginvyo, Ukraine kwa sasa ni uwanja wa biashara ya Silaha ya ulaya na Marekani.

Baada ya vita hii Urusi ataheshimiwa na kuogopwa sana, na vikwazo hivi amini ni geresha tu, havitachukua miezi 18 vitaondolewa, Rejea vikwazo vya 1990 alivyowekewa Urusi alipoivami Afghanustan vilimwathiri nani na viliishia wapi zaidi ya Afghanistan kusambaratishwa? Haya vikwazo vya Urusi vya 2008 alipoivamia Georgia viliishia wapi na vilimwathiri nani zaidi ya Georgia kuwa eneo muhimu la Urusi hadi leo? Vikwazo vya Urusi vya juzi tu baada ya kuivamia Cremia vimefiki wapi?.

Kikwazo ambacho kilikuwa tishio kwa uchumi wa Urusi alichowekewa na EU ni hiki cha kuzuia huduma ya kibenki ya SWIFT, Lakini ndani ya saa 24 tu, Rais wa Urusi Vlamir Putin ametangaza hatua za dharula kukabili vikwazo vya kiuchumi, na haraka Urusi na China wamekubaliana kutumia huduma ya kibenki ya China ya Cross-Border Interbank Payment System, or CIPS. Kwa tafrisi hiyo nikuwa kikwazo cha uchumi hakitaiathiri Urusi moj kwa moja.

Ukweli ni kuwa Nchi nyingi duniani haziwezi kuendesha chumi zao, katika nyanja nyingi kama za kijeshi na mengineyo bila Urusi. Dunia inaihitaji Urusi kuliko Urusi inavyo ihitaji dunia yenyewe. Japo wanategemeana. Mataifa ya Umoja wa Ulaya (EU) yapo 27, ukijumlisha na Marekani jumla ni nchi 28 tu, haya mataifa sio yote yanaipinga Urusi, Dunia ina nchi 195 + Donetsk na Luhansk, ni 197, Sasa jiulize nchi 164+ ziko upande upi?. Bado mtu anasema Urusi imetengwa na dunia? Basi huyo mtu haijui dunia sawasawa.

Ni wazi kwamba, Dunia leo iko mapande matatu, kuna Urusi, Kuna Uchina na kuna Marekani... Kwenye nchi 28 Uchina hayuko huko, zingatia kuna nchi za kati zenye uchuki mkubwa ambazo ni India hayuko na Ukraine, huko Brazil hayuko huko na Ukraine... Na hawa wanamuunga mkono Mrusi.... Dunia sasa inastawi na hii ndio balance ya dunia na inapumua vizuri sasa.

Na Yericko Nyerere
View attachment 2136291View attachment 2136292
Hatimaye nimekutana na makala yenye uchambuz wa msingi kuhusu hii vita. Nilikuwa naunga urusi bila kuwa na nguvu ya hoja kama hii. Asante yerico sasa na kitab chako nanunua! Una akili
 
Swali langu moja tu.

Kwa ufafanuzi huu wenye mantiki kubwa hivi (plausible), inakuwaje Putin anakosa uungwaji mkono mkubwa na wananchi wake hadi kutegemea kuwa na bunge ambalo ni "rubber stamp", kudhibiti upinzani kwa mkono wa chuma, kutumia vikosi vya wasiojulikana kudhibiti ukosoaji (police state), kuimarisha tawala za kidikteta huko Belarus na Venezuela, n.k.

Wnanachi wa Urusi wamesikika wakilalamikia vikwazo vya NATO na Marekani kwamba si fair kwao kwani wao "hawakumchagua" Putin kuwa rais wao! Hiyo ni vita yake binafsi! Akwamishwe yeye na wapambe wake; sio raia wote wa Urusi.

Inafahamika kuwa huko Urusi, utawala wa Putin ni "one man show": hashauriwi, hakosolewi wala hapingwi na mhimili wowote. In maana kuwa ni yeye peke yake anayejua na kuyaona maslahi ya Urusi na ya Warusi? Wananchi wa Urusi hawana habari ndugu zao wakinyanyaswa na kuuawa huko Donbass, Crimea na Georgia? Warusi wote hawaoni janja ya Marekani na NATO kujiimarisha kijeshi kutishia usalama wa Urusi kupitia Ukraine na nchi zingine jirani (former USSR)?

Hoja yako inashawishi (plausible) lakini inatia shaka - doesn't sound rational. Ingekuwa hivyo, huyu mtu angetambuliwa na watu wake kama shujaa na sauti yao kumkubali ingesikika bila mikwaruzo. Au Marekani pia wamefanikiwa kudhibiti kikamilifu sauti halali ya Warusi? Au wamewageuza Warusi wengi kuwa vibaraka wao?
Haungwi mkono na watu wangap au nchi ngap! Ukileta hoja za kitakwimu unajipa mzigo wa ku prove! Hebu soma makala tena. Umejawa hisia. Usisahau......THE MAJORITY ARE ALWAYS NOT RIGHT!
 
Kuna shida moja ya Yericko fundi umeme kujifanya mtaalamu wa ujasusi ,ni kudanganya watu tu hivi ni Rais gani mwendawazimu akubari majimbo ndani ya Nchi yake yawe yanajitenga akikubari hilo Nchi si inaweza ikaisha yote maana kila baada ya muda majimbo yataendelea kudai kujitenga mwisho Nchi inaisha hiv anapo zungumza et anauwa watu je Yericko hajiulizi kuwa huenda anae pandikiza fikra za majimbo kijitenga anaweza kuwa ni Putin na anafadhiri hilo ! Yericko tujibu ni kwanini Ethiopia jimbo la Tgry lilivyo taka kujitenga Ethiopia ilipeka jeshi vita ikaanza je mbona hukuongea je watu hawakufa ? na wasi wasi na kichwa yako na ndio maana umekomaa kuabudu mizimu kichwa hakiko sawa
 
Warus wameka kwa wing majimbo yaliyoko ukraine yaan kama wananzanzibar walivyojazana bugurun au kigambon alafu waanzishe uasi nakuomba msaada zanzibar jesh la zanzibar livamie bara nonsense
 
Hivi ikitokea mikoa wa Mwanza na Kagera zikatangaza uasi dhidi ya serikali ya jamhuri ya Tanzania vipi Rais atakaekuwepo ataacha hiyo Hali iendelee?vipi hatachukua hatua za kijeshi ili kulinda Taifa lake na kuleta umoja wa kitaifa? Je huoni kwamba asipochukua hatua za kijeshi ni kama atachochea mikoa mingine kujitenga?
Kwa maana hiyo je kosa la Zelenski liko wapi Mana alikua anazima uasi ili kulete umoja wa Taifa lake?
Pia tambua Ukurain ni Taifa huru hivo kujiunga NATO sio kosa

Mwisho acha kudanganya watu vikwazo vya kiuchumi lazima vitaua uchumi wa Urusi ni swala la muda tu.
Kwa hii thread Leo umepuyanga.
yaani sikutegemea kama Yeriko angeandika kitu kama hiki
 
Back
Top Bottom