Halafu Boss such incidents zinatokea sana sema wengi wanaona aibu kutoka mbele na kusema na hawana guts za kusema.wanaume tunapaswa kushawaishiana 'kuchukia'
tabia za ku take advantage unapomuona msichana ana shida na kaja kwako umsaidie...
Ha;afu Boss such incidents zinatokea sana sema wengi wanaona aibu kutoka mbele na kusema na hawana guts za kusema.
wanaume tupo poa sana.mwanamke ukikosa upendo wa mwanaume ni sawa na maua yasiyo mwagiliwa maji.pole sana.mia
Mara nyingine unaweza kujiuliza kwanini mtu kachagua ID fulani, Unaweza kucheka, kuchukia au kubaki kawaida na maswali yako. Kwa upande wangu nastahili kuitwa/ kujiita mcharuko. Naongea kutoka moyoni kwa sababu naamini ni Mungu pekee ndo ananijua vizuri kwa wengine hapa jukwaani nitaendela kuwa kivuli.
Mwk 2001 nikiwa kidato cha kwanza nilifiwa na mama yangu mzazi. Nilikuwa mtoto wa pekee kwa baba na mama. Nikabaki na baba peke yake ambaye mara nyingi alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya kisukari hadialipopoteza maisha miaka miwili baadae. Tayari maisha yalishakuwa magumu lakini baada ya kufariki baba ugumu ulizidi.
Mara nyingi nilikuwa naenda kuomba misaada kwa marafiki wa karibu wa baba wengi wao walinisaidia lakini wakaanza kunitongoza. Sielewi ni kwanini wakati baba yuko hai nilikuwa mtoto wao lakini baada ya kifo cha baba wakaanza kunifanyia hivyo. Asilimia 90 ya wanaume niliowaomba msaada walinitongoza. Nilikuwa sina jinsi. Wengi nilifanya nao...... lakini hawakunisaidia tena baada ya msaada wa kwanza
na wao kupata walichohitaji.
Toka Muda huo maisha yangu yamekuwa ni ya kuuza mwili wangu mpaka mwaka 2008 ambapo nilijiunga na chuo cha Elimu ya Biashara CBE. Hapo sikuwa na jinsi ndo nikaingia kwenye biashara rasmi ya uchangudoa. Sitatokea kumpenda mwanaume maisha yangu yote. Na hata pale nilipoleta thread kuhusu wanaume wafupi nilikuwa nimezungumza kutokana na uzoefu nilioupata kutokana na biashara hiyo.
Najitahidi kuileta akili yangu katika hali ya kawaida ili niwapende wanaume lakini nashindwa kwangu mwanaume ni mteja na mtu katili asiye na huruma. Nawachukia nawachukiakutoka moyoni. Rafiki wa karibu wa baba yangu ambao nimetembea nao mpaka sasa ni 5. Hivi kweli kuna haja ya kuwa na imani na wanaume?
Nawashukuruni kwa michango yenu napenda niweke wazi tu kuwa
jambo linalonikosesha furaha zaidi kwa sasa ni kila ninapofikiria kwenda
kupima. Kweli Nakosa amani!
Najua ni ngumu hasa ukianza kufikiria lakini piga moyo konde na fanya maamuzi magumu kwenda hospitali ili ujue afya, i know it ain't that easy but sometimes inabidi ufanye maamuzi ambayo yanaweza kukuumiza au yanaweza kuwa na manufaa kwako na kwa mwingine hapo baadaeNawashukuruni kwa michango yenu napenda niweke wazi tu kuwa
jambo linalonikosesha furaha zaidi kwa sasa ni kila ninapofikiria kwenda
kupima. Kweli Nakosa amani!
Ndio maana Mungu ni wa ajabu sana laiti kama ungekuwa unajua mwenzako anafikiria nini sijui ingekuwaje au tungeishi vipi?watu tunapaswa kujifunza kupiga vita haya mambo...
leo dada wa mwenzio ,kesho dada yako.....
Tatizo sitamani tena kuwa na mwanaume, sina uhakika kwa siku
za mbele lakini nahisi kuwa ni jambo ambalo limefutika katika akili
yangu! Nasikia aibu na ndo maana kabla ya kupost hii thread
nimeamua kufungua ID mpya kwanza kwani ile ya kwanza kuna
watu wananifahamu!
Nawashukuruni kwa michango yenu napenda niweke wazi tu kuwa
jambo linalonikosesha furaha zaidi kwa sasa ni kila ninapofikiria kwenda
kupima. Kweli Nakosa amani!
Nawashukuruni kwa michango yenu napenda niweke wazi tu kuwa
jambo linalonikosesha furaha zaidi kwa sasa ni kila ninapofikiria kwenda
kupima. Kweli Nakosa amani!
Mcharuko, hiki kisa kimeniuma sana. Pole sana kwa yote.Nimeacha, kuna kipindi nilifanya Field sehemu fulani nilimweleza yule
mama mkurugenzi wa pale mambo ninayokabiliana nayo katika maisha
alilia sana. Akajitahidi kunifanyia mpango ambao umenisaidia mpaka sasa
kuachana kabisa na biashara hiyo. Hivi ninavyozungumza ninasimamia
biashar a za huyo mama!
Bado ni mapema sana. Maumivu waliyokuwachia yatachukua muda kufutika. Katika kipindi hicho, uzoefu utakusaidia kuchagua nani anafaa, siyo kwa bla bla bla zao bali vitendo. Mtu mwema haonekani kwa maneno yake wala vitendo vya muda mfupi bali upendo, asiyehitaji fidia kwa msaada wake. Naamini iko siku utapenda na utapendwa. Ni haki yako.Tatizo sitamani tena kuwa na mwanaume, sina uhakika kwa siku
za mbele lakini nahisi kuwa ni jambo ambalo limefutika katika akili
yangu! Nasikia aibu na ndo maana kabla ya kupost hii thread
nimeamua kufungua ID mpya kwanza kwani ile ya kwanza kuna
watu wananifahamu!