Kwanini nchi jirani wanakabiliwa na wingi wa Yesu feki?


Shida yetu ni kuto document mambo. Usikute kulikuwa na manabii na mitume kibao wa kiAfrika. Lkn kwa sababu mambo yao hayakuandikwa, ndiyo maana hakuna tunachojua kuwahusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…