Kama nchin ipi "masikini"?Nchi za Waarabu za Saudi Arabia, Qatar, UAE, Kuwait, Oman na Bahrain ni nchi tajiri sana, hazina madeni na zina akiba ya matrilioni ya pesa kutoka kwenye mafuta na gas inayozihifadhi katika soverign wealth funds zao.
Familia za kifalme zinamiliki ukwasi wa matrilioni. Pamoja na haya hizi nchi wachoyo sana na hawafanyi hisani kabisa za maendelo, sijawahi kuona msaada wanaotoa kwa nchi masikini za Afrika zaidi ya kujenga visima vya maji viwili/ vitatu na kugawa msaada wa tende.
Ww jamaa tangu Trump asitishe misaada ni kama umechanganyikiwa, nadhani ulikuwa mnufaika wa vi ngo vya kipigaji sasa vina enda kufa una haha.Zanzibar
Bila shaka unekalili au ni huna akili.Sio kutoa msaada hata wananchi wao hukimbilia kwa makafiri kila siku
Nionyeshe nchi moja iliyowahi kuwa tajiri kwa kuuza mahindi, mapera, ufuta na bidhaa za aina hiyo nikuonyeshe mbuzi anayetaga.Ww jamaa tangu Trump asitishe misaada ni kama umechanganyikiwa, nadhani ulikuwa mnufaika wa vi ngo vya kipigaji sasa vina enda kufa una haha.
Tukiondoa madini na rasilimali tulizo nazo ardhi ya kilimo tuliyo nayo tukiitumia vizuri kuzalisha mazao na kuuza nje tuna weza pata pesa kuzidi pesa ambazo anazipata UAE 🇦🇪 kwa kuuza mafuta yake.
Kwa nini wanapenda mizozo nchi zilizo na dini yao.Nchi za Waarabu za Saudi Arabia, Qatar, UAE, Kuwait, Oman na Bahrain ni nchi tajiri sana, hazina madeni na zina akiba ya matrilioni ya pesa kutoka kwenye mafuta na gas inayozihifadhi katika soverign wealth funds zao.
Familia za kifalme zinamiliki ukwasi wa matrilioni. Pamoja na haya hizi nchi wachoyo sana na hawafanyi hisani kabisa za maendelo, sijawahi kuona msaada wanaotoa kwa nchi masikini za Afrika zaidi ya kujenga visima vya maji viwili/ vitatu na kugawa msaada wa tende.
Umeshiba tende wamekukamua kichuri na wewe unasimama kusimama na waarabu ambao wanakuchukulia dada zako singida na igunga unajiona ngozi ya kahawa umefika.Hakuna msaada wa bure unapewa ,waarabu ni matajiri by nature bila ya kuibia waafrika .
Narudia Tena unatoa madini unapewa containers za condomq pamoja na ARVs ili muendeleze ngono ...Hakuna Cha bure hata siku moja ,USA kusingekuwa na homeless na umaskini.
Indonesia, Uchumi wao kwa kiasi kikubwa ni Mawese na Makaa ya mawe,Nionyeshe nchi moja iliyowahi kuwa tajiri kwa kuuza mahindi, mapera, ufuta na bidhaa za aina hiyo nikuonyeshe mbuzi anayetaga.
Kuwa OpeC hakuifanyi ni mzalishaji mkubwa Wa Petroli.Indonesia imewahi kuwa mzalishaji mkubwa wa mafuta ya petroleum hadi kuwa member wa OPEC
Acha kuleta lugha za watu washamba 🤣🤣...unatokea wapi kwani?Umeshiba tende wamekukamua kichuri na wewe unasimama kusimama na waarabu ambao wanakuchukulia dada zako singida na igunga unajiona ngozi ya kahawa umefika.
Ukisikia kidole kimekuingia basi mada imekupata.Acha kuleta lugha za watu washamba 🤣🤣...unatokea wapi kwani?
Nilijua tu we ni punga🤣kichuri ni kwa watu wa kijijini.Ukisikia kidole kimekuingia basi mada imekupata.
Hawa wafuasi wa Muddy sijui wana shida gani linapokuja swala la.mali ni wabinacsi kupita maelezo.Nchi za Waarabu za Saudi Arabia, Qatar, UAE, Kuwait, Oman na Bahrain ni nchi tajiri sana, hazina madeni na zina akiba ya matrilioni ya pesa kutoka kwenye mafuta na gas inayozihifadhi katika soverign wealth funds zao.
Familia za kifalme zinamiliki ukwasi wa matrilioni. Pamoja na haya hizi nchi wachoyo sana na hawafanyi hisani kabisa za maendelo, sijawahi kuona msaada wanaotoa kwa nchi masikini za Afrika zaidi ya kujenga visima vya maji viwili/ vitatu na kugawa msaada wa tende.
Nchi za Waarabu za Saudi Arabia, Qatar, UAE, Kuwait, Oman na Bahrain ni nchi tajiri sana, hazina madeni na zina akiba ya matrilioni ya pesa kutoka kwenye mafuta na gas inayozihifadhi katika soverign wealth funds zao.
Familia za kifalme zinamiliki ukwasi wa matrilioni. Pamoja na haya hizi nchi wachoyo sana na hawafanyi hisani kabisa za maendelo, sijawahi kuona msaada wanaotoa kwa nchi masikini za Afrika zaidi ya kujenga visima vya maji viwili/ vitatu na kugawa msaada wa tende.
Siku Moja Shekhe Mwaipopo alisema yeye ni Msema kweli, Waislam wa Saudia ni wanafiki.