Kwanini nchi tajiri za Waarabu hazisaidii nchi masikini wakati wana utajiri usiomithilika?

Kwanini nchi tajiri za Waarabu hazisaidii nchi masikini wakati wana utajiri usiomithilika?

NAIBU Balozi wa Saudi Arabia nchini, Abdulazizi Hamad Alasim amekabidhi msaada wa kompyuta 120 na mashine saba za nakala zitakazotumika katika shule za msingi na sekondari katika wilaya saba za Jiji la Dodoma.

Mashine hizo na kompyuta vyenye thamani zaidi ya Sh milioni 600 zimekabidhiwa na Naibu Balozi kwa niaba ya Taasisi ya King Salman Humanitarian Aid and Relief Centre, kwenye Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam jana.

Akizungumza baada ya makabidhiano hayo na waandishi wa habari, Naibu Balozi alisema wanategemea msaada huu utaongeza nguvu katika jitihada za serikali kukuza Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) shuleni.

“Nimekuja kwa niaba ya Taasisi ya Mfalme Salman kukabidhi msaada huu ulioombwa na Mbunge wa Viti Maalumu Dodoma, Fatma Hassan Toufiq, ili uende kwenye shule zilizopo Dodoma. Msaada huu tunategemea utawafikia walengwa na utasaidia kufikia malengo ya kukuza sekta ya Tehama kwa wanafunzi waliopo shule za msingi na sekondari,” alisema Naibu Balozi Alasim.

Jumla ya kompyuta 120 na mashine saba za kutolea nakala zimekabidhiwa kwa mbunge Toufiq ambaye ameishukuru Taasisi ya Mfalme Salman kwa kuwapatia vifaa hivyo.

“Tumepokea msaada huu na kwa moyo wa dhati tunaishukuru sana Taasisi ya Mfalme Salman. Vifaa hivi tutavigawa katika baadhi ya shule katika Mkoa wa Dodoma kwa wilaya zetu saba, angalau shule mbili mbili katika mkoa watanufaika na huu msaada na hizi ni shule za msingi na sekondari na mashine za kutolea nakala tutazigawa kila wilaya mashine moja ili kuwapunguzia gharama za kutoa nakala,” alisema.



Habari Leo
Uongo
 
Nchi za Waarabu za Saudi Arabia, Qatar, UAE, Kuwait, Oman na Bahrain ni nchi tajiri sana, hazina madeni na zina akiba ya matrilioni ya pesa kutoka kwenye mafuta na gas inayozihifadhi katika soverign wealth funds zao.

Familia za kifalme zinamiliki ukwasi wa matrilioni. Pamoja na haya hizi nchi wachoyo sana na hawafanyi hisani kabisa za maendelo, sijawahi kuona msaada wanaotoa kwa nchi masikini za Afrika zaidi ya kujenga visima vya maji viwili/ vitatu na kugawa msaada wa tende.
Povu mujarabu
 
Nchi za Waarabu za Saudi Arabia, Qatar, UAE, Kuwait, Oman na Bahrain ni nchi tajiri sana, hazina madeni na zina akiba ya matrilioni ya pesa kutoka kwenye mafuta na gas inayozihifadhi katika soverign wealth funds zao.

Familia za kifalme zinamiliki ukwasi wa matrilioni. Pamoja na haya hizi nchi wachoyo sana na hawafanyi hisani kabisa za maendelo, sijawahi kuona msaada wanaotoa kwa nchi masikini za Afrika zaidi ya kujenga visima vya maji viwili/ vitatu na kugawa msaada wa tende.
Kuwait Fund
Saudi Arabia Sovereign Fund.
Muulizeni Mwigulu amepokea nini toka huko.
Ignorance is bliss
 
Yaani tunawaza misaada tu huku tukiwaachia viongozi wetu wakila mema ya nchi na kuifisidi. Tumeanza kupewa misaada toka tupate uhuru, lakini maendeleo bado yanasuasua. Ni wakati sasa kuwajibisha viongozi wetu ili rasilimali zetu zifaidishe wananchi na sio tabaka la watu fulani.
 
Nionyeshe nchi moja iliyowahi kuwa tajiri kwa kuuza mahindi, mapera, ufuta na bidhaa za aina hiyo nikuonyeshe mbuzi anayetaga.
Indonesia 🇮🇩, Thailand 🇹🇭,Brazil 🇧🇷 na Ukraine ni kati ya nchi zilizo jikwamua kupitia kilimo hata Israel inajipatia pesa nyingi tu kupitia kilimo.

Lakini sisi badala tutumie mabilion kuwekeza kwenye pembejeo za kilimo kila mwaka sisi tuna tumia mabilioni kununua mav8 na kugharamia misafara ya viongozi.
 
Nchi hizi mara nyingi zinaweka mkazo katika kusaidia nchi za Kiislamu au za Kiarabu, hasa zile za Mashariki ya Kati na Asia, kuliko Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara. Wanatoa msaada mkubwa kwa Palestina, Yemen, Syria, na Afghanistan.
 
Leo wametuletea Dege la Kijeshi..
Wajomba Oyee.!
 
Nchi za Waarabu za Saudi Arabia, Qatar, UAE, Kuwait, Oman na Bahrain ni nchi tajiri sana, hazina madeni na zina akiba ya matrilioni ya pesa kutoka kwenye mafuta na gas inayozihifadhi katika soverign wealth funds zao.

Familia za kifalme zinamiliki ukwasi wa matrilioni. Pamoja na haya hizi nchi wachoyo sana na hawafanyi hisani kabisa za maendelo, sijawahi kuona msaada wanaotoa kwa nchi masikini za Afrika zaidi ya kujenga visima vya maji viwili/ vitatu na kugawa msaada wa tende.

Friday, May 31, 2013
Saudi Arabia yatoa msaada wa dola milioni 24 kwa Somalia
Na Abdi Said, Mogadishu

Kampeni ya Kitaifa ya Saudia kwa Kuwasaidia Watu wa Somalia imeahidi kutoa mfuko wa msaada wa kina wenye thamani ya dola milioni 24 kwa miradi ya ujenzi mpya nchini Somalia, kwa mujibu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), ambao unasaidia kuratibu fedha hizo.

Msaada huo utakwenda kwa mikoa yote ya Somalia na utaelekezwa katika sekta za elimu, afya, kilimo pamoja na kuwarekebisha watu waliokimbia makazi yao na katika hali zote za ustawi wa jamii, OIC ilisema katika taarifa hapo tarehe 12 Mei.

Wigo wa mfuko wa misaada na ushirikishwaji wa asasi zisizokuwa za kiserikali, wazee wa kikabila, tawala za mikoa na serikali ya shirikisho katika kuamua miradi gani ya kutekeleza inaashiria mtindo mpya wa utoaji misaada nchini Somalia.

Lengo la msaada huu ni kukuza ujenzi mpya wa Somalia kupitia miradi kadhaa inayoungwa mkono na Saudia, ambayo itaanza katikati ya mwezi wa Juni, alisema Mohamed Idle Sabrie, naibu msimamizi wa ofisi ya OIC mjini Mogadishu.

Kiasi cha watu 500,000 watafaidika na msaada wa fedha, ambao utakamilika ndani ya miezi 18. Awamu ya kwanza itazingatia miradi ya mjini Mogadishu, Sabrie alisema.


Maeneo yenye uhitaji wa dharura kabisa yatachaguliwa kwanza, alisema. "Mwanzo tunataka kujua mahitaji katika wilaya na vitongoji ambavyo tutatoa misaada kwa ajili yao," aliiambia Sabahi. "Kwa mfano, wilaya [ambayo tayari inayo] shule mbili na hospitali hazitapata msaada sawa na wilaya ambayo haina kitu."

"Hasa tutawasaidia watu waliokimbia makazi yao kwa kuwawekea programu ambayo itajumuisha kuwapa chakula, dawa, elimu [na huduma nyengine]," alisema.

Serikali ya Somalia itashauriana na tawala za mikoa kuhusu utekelezaji wa programu zinazohusiana na mfuko wa msaada, kwa mujibu wa Sabrie, na shughuli ya uzinduzi itafanyika mara tu miradi itakapokuwa tayari kuanza kazi.

"Tutaweka tukio kubwa la matangazo na tunatarajia maafisa kutoka serikali ya Saudia, OIC na serikali ya Somalia kushiriki," alisema. "Ingawaje tangazo hilo lilikuwa lifanyike muda mrefu uliopita, kulikuwa na uchelewaji wa kufika kwa ujumbe wa Saudia kutokana na Shambulio la tarehe 5 Mei kwa ujumbe wa Qatar, ambapo ilihitajika kuhakikisha usalama kwanza."

Mohamed Sheikh Nur, mkuu wa utawala wa idara ya uhusiano wa utawala wa mpito mkoa wa Jubbaland kwa mashirika yasiyokuwa ya faida, aliukaribisha mfuko huo wa msaada.

"Ni ishara nzuri kwamba serikali ya Saudia inawaonesha watu wa Somalia jitihada zake za kutusaidia," Nur alisema. "Watu wa Kismayu wana mahtaji makubwa ya imsaada huu. Huduma za afya, elimu na upatikanaji wa chakula ndio masuala yenye shinikizo zaidi ambayo mradi huu utatusaidia."

Jijo Aadan,mwenye umri wa miaka 35 na mama wa watoto watatu ambaye anaishi katika kambi ya Tarabun kwa ajili ya watu wa ndani waliokimbia makazi yao mjini Mogadishu, alisema kuwa alikuwa amefurahi kusikia kuhusu msaada wa kibinadamu kutoka Saudia, lakini bado alikuwa na wasiwasi kadhaa.

"Nina imani kuwa tutapata sehemu yoyote ya msaada ambao Mungu ametujaalia," alisema. [Lakini] ningependa kuishauri [OIC] kuhakikisha kuwa watu waliochaguliwa kusimamia miradi hii sio watu mafisadi ambao hawatawasaidia Wasomali wenye shida."

Sabrie alisema kuwa watu wa Somalia kwa muda mrefu walikuwa wanalalamika kwa usimamizi mbaya wa miradi ya misaada wakati wa njaa ya mwaka 2011. Ili kuepuka matatizo kama hayo, alisema, "Tutafanya safari za usimamizi endelevu kwenda kila eneo ambalo tumetekeleza [programu yetu] ya msaada, na hakutakuwa na ufisadi."

"Ingawaje mahitaji yote hayataweza kufanikiwa kikamilifu, naamini kwamba mradi huu utaleta tofauti kubwa sana katika maisha ya watu wa Somalia," alisema.

Chanzo - sabahionline.co
 
Nchi za Waarabu za Saudi Arabia, Qatar, UAE, Kuwait, Oman na Bahrain ni nchi tajiri sana, hazina madeni na zina akiba ya matrilioni ya pesa kutoka kwenye mafuta na gas inayozihifadhi katika soverign wealth funds zao.

Familia za kifalme zinamiliki ukwasi wa matrilioni. Pamoja na haya hizi nchi wachoyo sana na hawafanyi hisani kabisa za maendelo, sijawahi kuona msaada wanaotoa kwa nchi masikini za Afrika zaidi ya kujenga visima vya maji viwili/ vitatu na kugawa msaada wa tende.
Wanajenga misikiti.
 
Indonesia 🇮🇩, Thailand 🇹🇭,Brazil 🇧🇷 na Ukraine ni kati ya nchi zilizo jikwamua kupitia kilimo hata Israel inajipatia pesa nyingi tu kupitia kilimo.

Lakini sisi badala tutumie mabilion kuwekeza kwenye pembejeo za kilimo kila mwaka sisi tuna tumia mabilioni kununua mav8 na kugharamia misafara ya viongozi.
Nyie watu jaribuni kutafuta taarifa, uchumi wa Brazil sekta ya huduma ndio inayoongoza kifuatiwa na viwanda, Thailand ni uchumi wa viwanda, Ukraine ni viwanda, coal na metals
 
Nchi za Waarabu za Saudi Arabia, Qatar, UAE, Kuwait, Oman na Bahrain ni nchi tajiri sana, hazina madeni na zina akiba ya matrilioni ya pesa kutoka kwenye mafuta na gas inayozihifadhi katika soverign wealth funds zao.

Familia za kifalme zinamiliki ukwasi wa matrilioni. Pamoja na haya hizi nchi wachoyo sana na hawafanyi hisani kabisa za maendelo, sijawahi kuona msaada wanaotoa kwa nchi masikini za Afrika zaidi ya kujenga visima vya maji viwili/ vitatu na kugawa msaada wa tende.
Mleta Uzi umesahau kuwa baada ya kujenga msikiti wa bakwata Kinondoni mfalme wa Morocco kaahidi kujenga uwanja mkubwa wa mpira jijini Dodoma ?!
Au Morocco sio waarabu kwa vile wapo barani Africa?!
Nitaleta ushahidi wa kutosha kuonyesha misada mbalimbali ambayo nchi za kiarabu wamekuwa wakitoa kuzipa nchi Masikini zikiwemo za barani Africa.
Nimeanza na Saudi Arabia nyingine zitafuata.
Shida kwa waarabu ni kwamba wanapotoa misada hawajitangazi kama ambavyo misaada yao haiambatani na masharti magumu kwa nchi wanazozisaidia.
Ila kwa sababu ya chuki za kidini umejitia upofu na ukiziwi kama vile hujawahi kuisikia nchi za kiarabu zikizosaidia nchi Masikini.
Mimi nakumbuka pale Muhimbili miaka ya hivi karibuni walipokea vifaa vya kisasa na vya mamilioni ya dola kwa ajili ya kuisaidia hospitali ya Muhimbili.
 
Nchi za Waarabu za Saudi Arabia, Qatar, UAE, Kuwait, Oman na Bahrain ni nchi tajiri sana, hazina madeni na zina akiba ya matrilioni ya pesa kutoka kwenye mafuta na gas inayozihifadhi katika soverign wealth funds zao.

Familia za kifalme zinamiliki ukwasi wa matrilioni. Pamoja na haya hizi nchi wachoyo sana na hawafanyi hisani kabisa za maendelo, sijawahi kuona msaada wanaotoa kwa nchi masikini za Afrika zaidi ya kujenga visima vya maji viwili/ vitatu na kugawa msaada wa tende.
Mashariki ya Kati

Gaza: Saudi Arabia yatangaza msaada wa dola milioni 40 kwa UNRWA
Saudi Arabia imetangaza siku ya Jumatano kutoa mchango wa dola milioni 40 (karibu euro milioni 37) kwa shirika la Umoja wa Mataifa la wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA), ambapo Israel inalishtmu kwa wafanyakazi wake kuhusika katika shambulizi la hivi karibuni kwenye ardhi yake.

Imechapishwa: 20/03/2024 - 22:05

Dakika 1
RFI

Fedha hizo zitasaidia "juhudi za misaada ya kibinadamu za UNRWA katika Ukanda wa Gaza", unaokumbwa na vita kati ya Israel na Hamas, kwa kutoa "chakula kwa zaidi ya watu 250,000 na mahema kwa familia 20,000," kulingana na taarifa kutoka kwa Kituo cha Msaada wa Kibinadamu na Usaidizi cha Mfalme Salman (KSrelief).

"Ni muhimu kukabiliana na mahitaji ya wakazi wa Gaza" wanaotishiwa na njaa kulingana na Umoja wa Mataifa, ameongeza mkuu wa KSrelief, Abdallah al-Rabeeah. Israel inaishutumu UNRWA kwa kuajiri "zaidi ya magaidi 450" huko Gaza na inadai kuwa wafanyakazi wake 12 walihusika moja kwa moja katika shambulio la Oktoba 7 ambalo halijawahi kushuhudiwa lililotekelezwa na Hamas katika ardhi ya Israel.

Chanzo ni RFI
( Radio France International)
 

Attachments

  • Screenshot_20250205-205647.png
    Screenshot_20250205-205647.png
    165.2 KB · Views: 3
Mashariki ya Kati

Gaza: Saudi Arabia yatangaza msaada wa dola milioni 40 kwa UNRWA
Saudi Arabia imetangaza siku ya Jumatano kutoa mchango wa dola milioni 40 (karibu euro milioni 37) kwa shirika la Umoja wa Mataifa la wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA), ambapo Israel inalishtmu kwa wafanyakazi wake kuhusika katika shambulizi la hivi karibuni kwenye ardhi yake.

Imechapishwa: 20/03/2024 - 22:05

Dakika 1
RFI

Fedha hizo zitasaidia "juhudi za misaada ya kibinadamu za UNRWA katika Ukanda wa Gaza", unaokumbwa na vita kati ya Israel na Hamas, kwa kutoa "chakula kwa zaidi ya watu 250,000 na mahema kwa familia 20,000," kulingana na taarifa kutoka kwa Kituo cha Msaada wa Kibinadamu na Usaidizi cha Mfalme Salman (KSrelief).

"Ni muhimu kukabiliana na mahitaji ya wakazi wa Gaza" wanaotishiwa na njaa kulingana na Umoja wa Mataifa, ameongeza mkuu wa KSrelief, Abdallah al-Rabeeah. Israel inaishutumu UNRWA kwa kuajiri "zaidi ya magaidi 450" huko Gaza na inadai kuwa wafanyakazi wake 12 walihusika moja kwa moja katika shambulio la Oktoba 7 ambalo halijawahi kushuhudiwa lililotekelezwa na Hamas katika ardhi ya Israel.

Chanzo ni RFI
( Radio France International)
 

Attachments

  • Screenshot_20250205-205647.png
    Screenshot_20250205-205647.png
    165.2 KB · Views: 2
Mleta Uzi umesahau kuwa baada ya kujenga msikiti wa bakwata Kinondoni mfalme wa Morocco kaahidi kujenga uwanja mkubwa wa mpira jijini Dodoma ?!
Au Morocco sio waarabu kwa vile wapo barani Africa?!
Nitaleta ushahidi wa kutosha kuonyesha misada mbalimbali ambayo nchi za kiarabu wamekuwa wakitoa kuzipa nchi Masikini zikiwemo za barani Africa.
Nimeanza na Saudi Arabia nyingine zitafuata.
Shida kwa waarabu ni kwamba wanapotoa misada hawajitangazi kama ambavyo misaada yao haiambatani na masharti magumu kwa nchi wanazozisaidia.
Ila kwa sababu ya chuki za kidini umejitia upofu na ukiziwi kama vile hujawahi kuisikia nchi za kiarabu zikizosaidia nchi Masikini.
Mimi nakumbuka pale Muhimbili miaka ya hivi karibuni walipokea vifaa vya kisasa na vya mamilioni ya dola kwa ajili ya kuisaidia hospitali ya Muhimbili.
Sasa msikiti na uwanja wa mpira vinaboreshaje maisha ya raia wa kawaida?
 
Nchi za Waarabu za Saudi Arabia, Qatar, UAE, Kuwait, Oman na Bahrain ni nchi tajiri sana, hazina madeni na zina akiba ya matrilioni ya pesa kutoka kwenye mafuta na gas inayozihifadhi katika soverign wealth funds zao.

Familia za kifalme zinamiliki ukwasi wa matrilioni. Pamoja na haya hizi nchi wachoyo sana na hawafanyi hisani kabisa za maendelo, sijawahi kuona msaada wanaotoa kwa nchi masikini za Afrika zaidi ya kujenga visima vya maji viwili/ vitatu na kugawa msaada wa tende.
Zijitolea sana issue za spiritual, kujenga misikiti and related issues, ukiwa uplifted spiritually utapata maendelea ya kiuchumi
 
Nchi za Waarabu za Saudi Arabia, Qatar, UAE, Kuwait, Oman na Bahrain ni nchi tajiri sana, hazina madeni na zina akiba ya matrilioni ya pesa kutoka kwenye mafuta na gas inayozihifadhi katika soverign wealth funds zao.

Familia za kifalme zinamiliki ukwasi wa matrilioni. Pamoja na haya hizi nchi wachoyo sana na hawafanyi hisani kabisa za maendelo, sijawahi kuona msaada wanaotoa kwa nchi masikini za Afrika zaidi ya kujenga visima vya maji viwili/ vitatu na kugawa msaada wa tende.
Mashariki ya kati
Asia.


Saudi Arabia yatoa msaada wa kibinadamu wa dola milioni 400 kwa Ukraine.


Jumla ya dola milioni 400 ni kiasi cha misaada ya kibinadamu ambayo Saudi Arabia imetoa kwa Ukraine.

Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky walikuwa na mazungumzo ya simu kuhusu suala hilo. Ishara inayoonyesha kwa mara nyingine tena msimamo maalum - na wenye utata - wa ufalme dhidi ya wahusika wa vita nchini Ukraine.

Imechapishwa: 15/10/2022 - 16:22

Dakika 1

Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammad bin Salman (picha yetu) na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky walikuwa na mazungumzo ya simu kuhusu kifurushi cha msaada wa kibinadamu cha dola milioni 400. AFP - HO
Na:
RFI

"Kuunga mkono kila kitu kitakachochangia kupunguza mgogoro wa kivita", ni kwa maneno haya ambapo Saudi Arabia inahalalisha utoaji wa msaada huu wa kibinadamu kwa Ukraine. Msaada huu unatolewa wakati ambapo kunaripotiwa mvutano kamili kati ya Ryad na Washington.

Saudi Arabia, kwa hakika, imekataa kufungua milingoti ya uzalishaji wa mafuta. iliedelea kusalia kimya na kutosikia maombi kutoka kwa Merika ambayo iliitaka Ryad kuchukua hatua ili kupunguza athari za mgogoro wa nishati. Uamuzi huo ulichukuliwa ndani ya mfumo wa OPEC +, ambayo Urusi pia ni mwanachama. Urusi ambayo, kama wazalishaji wengine wa mafuta, lazima wanufaike na matengenezo ya bei ya "dhahabu nyeusi".


"Athari"
Katika muktadha huu, je, dola milioni 400 za msaada wa kibinadamu kwa Ukraine zitatosha kutuliza hasira za wale wote wanaoituhumu Saudi Arabia yenye ushirikiano na Moscow? Hakuna uhakika wowote kwa hilo. Rais wa Marekani ameahidi kutokea kwa "athari mbaya" kwa kile Saudi arabia "wamefanya na Urusi".

Saudi arabia - kwa upande wake - imefutilia mbali ukosoaji wa Marekani na kubaini kwamba uamuzi wake ulichukuliwa kwa msingi wa mazingatio ya kiuchumi.

Chanzo ni RFI
( Radio France International)
 
Mleta Uzi umesahau kuwa baada ya kujenga msikiti wa bakwata Kinondoni mfalme wa Morocco kaahidi kujenga uwanja mkubwa wa mpira jijini Dodoma ?!
Au Morocco sio waarabu kwa vile wapo barani Africa?!
Nitaleta ushahidi wa kutosha kuonyesha misada mbalimbali ambayo nchi za kiarabu wamekuwa wakitoa kuzipa nchi Masikini zikiwemo za barani Africa.
Nimeanza na Saudi Arabia nyingine zitafuata.
Shida kwa waarabu ni kwamba wanapotoa misada hawajitangazi kama ambavyo misaada yao haiambatani na masharti magumu kwa nchi wanazozisaidia.
Ila kwa sababu ya chuki za kidini umejitia upofu na ukiziwi kama vile hujawahi kuisikia nchi za kiarabu zikizosaidia nchi Masikini.
Mimi nakumbuka pale Muhimbili miaka ya hivi karibuni walipokea vifaa vya kisasa na vya mamilioni ya dola kwa ajili ya kuisaidia hospitali ya Muhimbili.
Acha uongo wewe hao kobazi hawajawahi kutoa msaada
 
Mashariki ya kati
Asia.


Saudi Arabia yatoa msaada wa kibinadamu wa dola milioni 400 kwa Ukraine.


Jumla ya dola milioni 400 ni kiasi cha misaada ya kibinadamu ambayo Saudi Arabia imetoa kwa Ukraine.

Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky walikuwa na mazungumzo ya simu kuhusu suala hilo. Ishara inayoonyesha kwa mara nyingine tena msimamo maalum - na wenye utata - wa ufalme dhidi ya wahusika wa vita nchini Ukraine.

Imechapishwa: 15/10/2022 - 16:22

Dakika 1

Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammad bin Salman (picha yetu) na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky walikuwa na mazungumzo ya simu kuhusu kifurushi cha msaada wa kibinadamu cha dola milioni 400. AFP - HO
Na:
RFI

"Kuunga mkono kila kitu kitakachochangia kupunguza mgogoro wa kivita", ni kwa maneno haya ambapo Saudi Arabia inahalalisha utoaji wa msaada huu wa kibinadamu kwa Ukraine. Msaada huu unatolewa wakati ambapo kunaripotiwa mvutano kamili kati ya Ryad na Washington.

Saudi Arabia, kwa hakika, imekataa kufungua milingoti ya uzalishaji wa mafuta. iliedelea kusalia kimya na kutosikia maombi kutoka kwa Merika ambayo iliitaka Ryad kuchukua hatua ili kupunguza athari za mgogoro wa nishati. Uamuzi huo ulichukuliwa ndani ya mfumo wa OPEC +, ambayo Urusi pia ni mwanachama. Urusi ambayo, kama wazalishaji wengine wa mafuta, lazima wanufaike na matengenezo ya bei ya "dhahabu nyeusi".


"Athari"
Katika muktadha huu, je, dola milioni 400 za msaada wa kibinadamu kwa Ukraine zitatosha kutuliza hasira za wale wote wanaoituhumu Saudi Arabia yenye ushirikiano na Moscow? Hakuna uhakika wowote kwa hilo. Rais wa Marekani ameahidi kutokea kwa "athari mbaya" kwa kile Saudi arabia "wamefanya na Urusi".

Saudi arabia - kwa upande wake - imefutilia mbali ukosoaji wa Marekani na kubaini kwamba uamuzi wake ulichukuliwa kwa msingi wa mazingatio ya kiuchumi.

Chanzo ni RFI
( Radio France International)
We muongo sana
 
Hamites Wanafanana kitabia,
Hamites ni jamii ya Arabs, kushi, Bantu, nilotes, Chinese, n.k.
Hivi Bantu ni hamites. Warabu na wazungu hawaachani mbal i tutoe kabisa kwenye hilo kundi. Watu pekee naowaonaga wanaendana na sisi bantu ni wachina ukiondoa macho na rangi tunafana hadi ma
pua makubwa.
 
Back
Top Bottom