Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #61
Okay...Na ndio maana lugha ni makubaliano yenye lengo la kuleta kuelewana, kama Minister tumeona tumuite waziri na speaker tumeona tumuite spika hayo ni makubaliano yetu baina ya watumiaji wa lugha, usiulize kwanini minister hatujamuita minista, otherwise hiyo ni sawa na kusema kwanini ugali haukuitwa wali, well inawezekana, ni suala la makubaliano tu,
Sawa mkuukwamba kuanzia leo mtu akisema ugali anamaanisha chakula kitokanacho na mchele, na mtu akisema wali anamaanisha chakula kitokanancho na unga wa mahindi, ni suala la kukubaliana tu ili maelewano katika mazungumzo yawepo ili kukamilisha mawasiliano
Sawa mkuu, ila at least kuna mfanano baina ya Tanzania na Tanzanya kwa maana "i" na "y" zinatumikaga "interchangiably" katika lugha nyingi hapa dunianiUturuki wanaiita Tanzania..Tanzanya
Okay...Etymology. The country was named Moçambique by the Portuguese after the Island of Mozambique, derived from Mussa Bin Bique or Musa Al Big or Mossa Al Bique or Mussa Ben Mbiki or Mussa Ibn Malik, an Arab trader who first visited the island and later lived there.
Ndugu jf utam sana najikuta nacheka kama mbwigaaa🔥🤣🤣🤣🤣EUROPE= MAMTONI.
Noma sana mkuu 🤣🤣🤣Ndugu jf utam sana najikuta nacheka kama mbwigaaa🔥🤣🤣🤣🤣