Kwanini nchi ya "Mozambique" tuliamua kuuita "Msumbiji" tofauti na nchi zingine za jirani zinazopakana na Tanzania zilizobaki na majina ya Kiingereza?

Kwanini nchi ya "Mozambique" tuliamua kuuita "Msumbiji" tofauti na nchi zingine za jirani zinazopakana na Tanzania zilizobaki na majina ya Kiingereza?

Na ndio maana lugha ni makubaliano yenye lengo la kuleta kuelewana, kama Minister tumeona tumuite waziri na speaker tumeona tumuite spika hayo ni makubaliano yetu baina ya watumiaji wa lugha, usiulize kwanini minister hatujamuita minista, otherwise hiyo ni sawa na kusema kwanini ugali haukuitwa wali, well inawezekana, ni suala la makubaliano tu,
Okay...
 
Etymology. The country was named Moçambique by the Portuguese after the Island of Mozambique, derived from Mussa Bin Bique or Musa Al Big or Mossa Al Bique or Mussa Ben Mbiki or Mussa Ibn Malik, an Arab trader who first visited the island and later lived there.

Hiyo Musa Al big inaweza kuwa ndo chanzo cha Msumbiji.
 
kwamba kuanzia leo mtu akisema ugali anamaanisha chakula kitokanacho na mchele, na mtu akisema wali anamaanisha chakula kitokanancho na unga wa mahindi, ni suala la kukubaliana tu ili maelewano katika mazungumzo yawepo ili kukamilisha mawasiliano
Sawa mkuu
 
Etymology. The country was named Moçambique by the Portuguese after the Island of Mozambique, derived from Mussa Bin Bique or Musa Al Big or Mossa Al Bique or Mussa Ben Mbiki or Mussa Ibn Malik, an Arab trader who first visited the island and later lived there.
Okay...
 
Back
Top Bottom