Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Wandugu kwanini Tanzania hawaruhusu watu kupokea malipo kwa Paypal, njia rahisi kabisa?
Siku hizi kuna kazi nyingi sana mtu unaweza kufanya mtandaoni. Ni wewe tu na bando lako na simu yako au Kompyuta yao. Unaweza kufanya kazi ipo US au kokote duniani. Na njia rahisi ya malipo ni kupitia paypal. Kuna wengine wanablogs na sites zingine ambazo wanapiga pesa. Na kote huko njia rahisi ya malipo ni Paypal. Lakini hii njia haifanyi kazi Tanzania.
Kuna sababu gani ya msingi?
Siku hizi kuna kazi nyingi sana mtu unaweza kufanya mtandaoni. Ni wewe tu na bando lako na simu yako au Kompyuta yao. Unaweza kufanya kazi ipo US au kokote duniani. Na njia rahisi ya malipo ni kupitia paypal. Kuna wengine wanablogs na sites zingine ambazo wanapiga pesa. Na kote huko njia rahisi ya malipo ni Paypal. Lakini hii njia haifanyi kazi Tanzania.
Kuna sababu gani ya msingi?