kwanini nchi zenye ukaribu na US/wazungu zinafanikiwa kiuchumi kuliko zile neutral au zenye ukaribu na Russia/China au Warabu

kwanini nchi zenye ukaribu na US/wazungu zinafanikiwa kiuchumi kuliko zile neutral au zenye ukaribu na Russia/China au Warabu

Usitolee mfano kenya ambayo ina-umaskini wa kutisha bora hata Tanzania
Kenya ipo juu kiuchumi kuliko Tanzania..
 
Vipi south vs North korea.
Kenya kwa muonekano wa jumla yuko mbele yetu karibu kila kitu.
Ndio maana wanaujasiri kuja kuchota ardhi huku burebure wakati sisi hatuwezi.
Wanaujasiri kutangaza vitu vyetu kqma vyao ulaya na US. Hii inaonyesha amekuzidi akili kidogo.
Sasa hapo ni kosa la nani? Wazungu ndo wanamtuma Kenya aje achote ardhi yetu burebure na kutangaza vivutio vyetu?

Huoni kwamba Tatizo ni viongozi wako wasiokuwa na uwezo wa kuongoza?
 
Mfano Korea Kusini
Taiwan
Kwa East Africa Kenya.
Israel middle east
Rwanda (japo bado anaungaunga)


Kimsingi nimejaribu kuangalia kwa ukaribu hata nchi yetu tukiamua kuqnzia sasa tufungamane bega kwa bega na wazungu tu na US, tukawapiga chini waarabu, wachina, warusi tunaweza kutoboa kirahisi.

Wataalamu wa mambo ya uchumi na mambo ya maendeleo ya nchi masikini shusheni point.

Wameukubali ushoga hizo nchi
 
Hivi mnawazaga nini mnapoangalia maendeleo ya watu .

Hivi Kenya watu wa kawaida wana maendeleo gani ?

Kenya maskini kupata chakula na malazi ni mtihani mkubwa sana.

Tanzania tumekosa kiongozi mkali kama Mwabukusi ,Lisu , Dr. Slaa na anagalau Majaliwa . Hii inchi inatakiwa iongoze na Jeshi miaka 10 tu tutakaribiana na Ufaransa.

Lakini Kenya ikitawaliwa kijeshi itakua maskini kuliko Burundi . Tanzania haihitaji Marekani wala nchi za magharibi kuendelea bali tunahitaji kiongozi bora anayeweza kusimamia rasilimali zetu kwa uzalendo mkubwa. Mfano Waliopo hawana uwezo wa kusoma ripoti ya CAG siku mbili usiku na mchana na kutoa maamuzi.

Kile kichwa hakiwezi kusoma ripoti yenye kurasa 12000 na kujua mapungufu . Rais wa Bangladeshi Atawaambia ,' Hili nalo nendeni mkaliangalie " . Pitieni hiyo ripoti muangalie penye mapungufu mrekebishana wenyewe . Mimi siwezi kufokafoka. Wanapitia taarifa ya CAG wanamwambia iko vizuri wanaopiga kelele wanataka kupoteza malengo yako mema ya kuwafikia wengi.
Cha msingi ziba masikio .

Wazungu kamwe hawana mkakati wa kututoa kwenye utegemezi zaidi ya kutufanya wategemezi kwa kutuletea wahuni kututawala kwa mgongo wa Demokrasia uchwara.

Tanganyika kwa kuivamia Zanzibar haiwezii maisha kuendelea , ni mpaka iachane na mambo ya Zanzibar kwani huwezi kuendelea wakati watu zaidi ya milioni ndani ya nchi yako hawataki kuwa mateka wa nchi jirani wanataka uhuru wao
 
Mfano Korea Kusini
Taiwan
Kwa East Africa Kenya.
Israel middle east
Rwanda (japo bado anaungaunga)


Kimsingi nimejaribu kuangalia kwa ukaribu hata nchi yetu tukiamua kuqnzia sasa tufungamane bega kwa bega na wazungu tu na US, tukawapiga chini waarabu, wachina, warusi tunaweza kutoboa kirahisi.

Wataalamu wa mambo ya uchumi na mambo ya maendeleo ya nchi masikini shusheni point.
Us,ulaya China , Russia Na Arabs Hawa wote ni wanyonyaji ispokua TU wanatofautiana katika Namna Fulani Fulani kama ifuatavyo.

Tunaanza na mwarabu;
Huyu ni kupe, akiamua kunyonya aisee kila rangi hutaacha kuiona, huyu ni mnyama aliyepitiliza haswa kwa hizi ngozi nyeusi Huwa yeye hazipi fagio kabisa.

Tunakuja Russia.

Huyu naye pacha wa mwarabu, yani Hawa baba moja mama moja, kwanza ngozi nyeusi kwake ni takataka. Ubinadamu kwake ni sufuri.

Ila yeye Huwa Hana shobo na nchi za kiafrika kabisa. Sijawahi sikia hata kutoa mikopo kwa nchi za kiafrika. Ila uzuri nikwamba sio mnafiki, kama hakupendi Huwa hajifichi.

Tunakuja Mchina:
Aisee huyu laana na pia baraka kwa waafrika .
Ni baraka kwasababu kwa Namna Fulani ameturahisishia maisha ya kiteknolojia kwa waafrika, leo hii hata MUHA aliyekua kazuramimba huko ana simu janja, ana piki piki ya fekon anatamba nayo.

Pia laana kwasababu huyu sasa mkoloni wa kisasa kwa waafrika, ameteengeneza Waafrika kuwa wategemezi katika nyanja mbalimbali za kiuchumi. Hebu fikiria leo mpaka fenicha inatoka inaagizwa kutoka China. Lakini pia ni mkopeshaji mzuri tuu hivyo kupelekea nchi nyingi kulemewa na madeni.

Tukija USA:
Huyu yeye uikishrikiana nae utapata maendeleo ya haraka sana lakini ukubali kuwa nchi Yako itakua chini yake milele. Siku ukisema unataka utengane nae hapo ndo umekwisha.

France:
Aisee hili jini makata, chuma ulete, nyonya haliachi kitu, yani huyu linachota chakula kweny shahani kwa mikono miwili halafu linakuacha mwenye chakula na njaa. Ukibahatika sana basi raia wa kiafrika kuchezea timu ya Ufaransa.

Uingereza.
Aisee ni mtu safi sana. Huyu ndo mtu pekee alimaanisha ukoloni ni Nini.
Ila sasa nae, Huwa anaiba kwa akili sana, lakini at least na mwennye Mali naww unanufaika kwa kiasi kikubwa.

Mwafrika mwenyew:

Aisee huyu ni jini maimuna kabisa mkata kamba.
Ana roho mbaya , mbinafsi, mchoyo , mroho, mwizi mzinzi, mnafiki yani duhuuuu vululuvululu.

Aisee omba utawaliwe na wote ila sio mkoloni mweusi, YAANI mtu anakuibia buku kwa Siri halafu atakupa shilingi mia hadharani ili apate sifa mbele za watu na kma haitoshi atakulazimisha umshukuru.

Sipati mtu mweusi ndo angeitawala Dunia aisee tungelimia meno kulanina.
 
Mfano Korea Kusini
Taiwan
Kwa East Africa Kenya.
Israel middle east
Rwanda (japo bado anaungaunga)


Kimsingi nimejaribu kuangalia kwa ukaribu hata nchi yetu tukiamua kuqnzia sasa tufungamane bega kwa bega na wazungu tu na US, tukawapiga chini waarabu, wachina, warusi tunaweza kutoboa kirahisi.

Wataalamu wa mambo ya uchumi na mambo ya maendeleo ya nchi masikini shusheni point.
Wacuba tunapita tu
 
Sisi ni matajiri bhana..stupid?
Huku mbuki tulienda kuisaidia uturuki ndege pesa yakutosha..huku tukiwasahau watu wa hanang kweli tuna kiongozi anaupiga mwingi
 
Back
Top Bottom