Kwanini nchi zinazoongozwa na sharia zote hazina amani ?

Kwanini nchi zinazoongozwa na sharia zote hazina amani ?

Crispin Nyoni

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
413
Reaction score
90
Habari zenu.

Nadhani sote tunajua kinachoendelea Nigeria, Kenya, Misri, Sudan na orodha inaendelea.

Nchi zote zenye kufuata sheria za kiislam hakuna hata moja yenye amani. Kwanini?

Lengo ni kuwa serikali yetu ifikiri kwanza kabla haijaamua.
 
Akyanani!kunasiku watu watakuja ambiwa ni dhambi kupanda magari kwa sababu enzi za mtume kulikuwa na punda!

Hii ni kutokana na post uloisoma nyuma kukatazwa kwa milio ya simu. Lakini ukajisifia kuhusu "mambo yetu yale", ni jinsi gani inavoonesha ulivyokuwa akili mchungwa kwa kuona faghari watu wakidhalilishwa mbele ya camera, sijui dini yako ndo inavofundisha ivo? Ili nikupe elimu kidogo sababu za kukatazwa izo ringtone ni pale kuwa lengo la Quran halifikiwi. Quran inatakiwa isomwe na isikilizwe. Unapoweka ringtone maana hupotea kabisa, ikilia lengo lako sio kuisikiliza bali lengo lako ikushtue kuwa simu inaita na ubaya zaidi, kupokea simu kabla aya haijamaliza, ni kupoteza maana totally.

Mtoa mada, nikuulize, KENYA inaaongozwa na sharia nayo? Na wewe nikuelimisha, hakuna nchi inayohukumu kwa kutumia sharia law kikamilifu ndio maana ukaona hakuna amani, vipi amani itakuwepo kama kuna dhulma? Katika uislam sheria inamgusa kila mtu, leo nambie lini mfalme wa saudia akaguswa na sharia? Sharia si kwa wananchi tu, bali ni kwa watu wote mpaka kiongozi, na kitu chengine ni mfumo wa kuwepo kwa vyama, na kuwepo kwa rais ambae dini haijui. Soma historia ya Dola za Kikhalifa. Katika zama za ukhalifa ilifikia wakati hakuna ata maskini wa kupewa sadaka au Zakka, pia kulikuwa na system ambayo, kama unavoona mailbox lile la barabarani, wakati wa dola ya kiislam ilikuwepo kwa ajili ya kuwekwa pesa, mwenye shida huenda akachukua kiasi akitakacho, lakini pia hakupatikana wa kuzichukua kwa sababu hakukuwa na mwenye shida ya mali, na watu walikiwa wakiishi na amani kabisa. Hakuna nchi yoyote inayohukumu kwa sharia law, sharia ya kiislam inataka kiongozi awe KHALIFA (sio raisi au mfalme) tena awe anaijua dini juu chini chini juu, anachaguliwa kwa shuraa (mashauriano) sio uchaguzi kama huu wa ccm na cuf, tena sio kila mtu anamchagua bali wenye elimu ya dini ya hali ya juu yaani maulamaa. Sharia inamtaka Khalifa ahakikishe kila mtu anapata milo 3 ya kushiba uhakika kabla yeye kiongozi mwenyewe hajashiba. Wapi duniani leo kuna dola ya kiislam? Kasomeni Islamic Caliphate mjifunze
 
Habari zenu.

Nadhani sote tunajua kinachoendelea Nigeria, Kenya, Misri, Sudan na orodha inaendelea.

Nchi zote zenye kufuata sheria za kiislam hakuna hata moja yenye amani. Kwanini?

Lengo ni kuwa serikali yetu ifikiri kwanza kabla haijaamua.

samahani mkuu hivi hata unajuwa maana ya neno SHARIA? hivi kenya inaendeshwa kwa sheria za kiislamu vile?Nigeria pia?nadhani unashindwa pia kutofautisha nchi ya kiislamu na nchi kwa kiislamu.pia unashindwa kutofautisha baina ya nchi yenye waislamu wengi na nchi ya kiislamu.Next time uwe unafanya research ya kile unachotaka kuandika kwanza, acha propaganda na chuki zisizo na msingi juu ya imani/jambo lolote usilolifahamu vizuri.great thinker anajenga hoja zake baada ya kuwa na uelewa mzuri wa kile anachokiandika hasa baada ya kufanya research na kuridhika na validity,reliability and authenticity ya taarifa alizopata.
 
Habari zenu.

Nadhani sote tunajua kinachoendelea Nigeria, Kenya, Misri, Sudan na orodha inaendelea.

Nchi zote zenye kufuata sheria za kiislam hakuna hata moja yenye amani. Kwanini?

Lengo ni kuwa serikali yetu ifikiri kwanza kabla haijaamua.

izlam ni dini iliyoanzishwa na CIA. Wasiojua historia na siri za dunia hii watabisha.

Nilipoambiwa hiyo siri nimenyamaza kimia sibishani nao tena.
 
Habari zenu.

Nadhani sote tunajua kinachoendelea Nigeria, Kenya, Misri, Sudan na orodha inaendelea.

Nchi zote zenye kufuata sheria za kiislam hakuna hata moja yenye amani. Kwanini?

Lengo ni kuwa serikali yetu ifikiri kwanza kabla haijaamua.

Ivi unataka kutuaminisha nchi zote zisizotumia sheria za kiislamu zina amani? Nini maana ya amani ya nchi?

Na jee kama nchi za kiislamu hazina amani, ni nini kinafanya zisiwe na amani?
How about Saudi Arabia?
 
izlam ni dini iliyoanzishwa na CIA. Wasiojua historia na siri za dunia hii watabisha.

Nilipoambiwa hiyo siri nimenyamaza kimia sibishani nao tena.

Ivi hizi ulizoandika hapa ni pumba za nini? Mahindi? Mtama? mbao? Or what?

Ivi kunasehemu yoyote ndani ya Quran inayoongelea CIA?
Kama haipo, kwanini?
 
Hii ni kutokana na post uloisoma nyuma kukatazwa kwa milio ya simu. Lakini ukajisifia kuhusu "mambo yetu yale", ni jinsi gani inavoonesha ulivyokuwa akili mchungwa kwa kuona faghari watu wakidhalilishwa mbele ya camera, sijui dini yako ndo inavofundisha ivo? Ili nikupe elimu kidogo sababu za kukatazwa izo ringtone ni pale kuwa lengo la Quran halifikiwi. Quran inatakiwa isomwe na isikilizwe. Unapoweka ringtone maana hupotea kabisa, ikilia lengo lako sio kuisikiliza bali lengo lako ikushtue kuwa simu inaita na ubaya zaidi, kupokea simu kabla aya haijamaliza, ni kupoteza maana totally.

Mtoa mada, nikuulize, KENYA inaaongozwa na sharia nayo? Na wewe nikuelimisha, hakuna nchi inayohukumu kwa kutumia sharia law kikamilifu ndio maana ukaona hakuna amani, vipi amani itakuwepo kama kuna dhulma? Katika uislam sheria inamgusa kila mtu, leo nambie lini mfalme wa saudia akaguswa na sharia?


KAKA MBONA POVU JINGI LINAKUTOKA?
 
Hii ni kutokana na post uloisoma nyuma kukatazwa kwa milio ya simu. Lakini ukajisifia kuhusu "mambo yetu yale", ni jinsi gani inavoonesha ulivyokuwa akili mchungwa kwa kuona faghari watu wakidhalilishwa mbele ya camera, sijui dini yako ndo inavofundisha ivo? Ili nikupe elimu kidogo sababu za kukatazwa izo ringtone ni pale kuwa lengo la Quran halifikiwi. Quran inatakiwa isomwe na isikilizwe. Unapoweka ringtone maana hupotea kabisa, ikilia lengo lako sio kuisikiliza bali lengo lako ikushtue kuwa simu inaita na ubaya zaidi, kupokea simu kabla aya haijamaliza, ni kupoteza maana totally.

Mtoa mada, nikuulize, KENYA inaaongozwa na sharia nayo? Na wewe nikuelimisha, hakuna nchi inayohukumu kwa kutumia sharia law kikamilifu ndio maana ukaona hakuna amani, vipi amani itakuwepo kama kuna dhulma? Katika uislam sheria inamgusa kila mtu, leo nambie lini mfalme wa saudia akaguswa na sharia? Sharia si kwa wananchi tu, bali ni kwa watu wote mpaka kiongozi, na kitu chengine ni mfumo wa kuwepo kwa vyama, na kuwepo kwa rais ambae dini haijui. Soma historia ya Dola za Kikhalifa. Katika zama za ukhalifa ilifikia wakati hakuna ata maskini wa kupewa sadaka au Zakka, pia kulikuwa na system ambayo, kama unavoona mailbox lile la barabarani, wakati wa dola ya kiislam ilikuwepo kwa ajili ya kuwekwa pesa, mwenye shida huenda akachukua kiasi akitakacho, lakini pia hakupatikana wa kuzichukua kwa sababu hakukuwa na mwenye shida ya mali, na watu walikiwa wakiishi na amani kabisa. Hakuna nchi yoyote inayohukumu kwa sharia law, sharia ya kiislam inataka kiongozi awe KHALIFA (sio raisi au mfalme) tena awe anaijua dini juu chini chini juu, anachaguliwa kwa shuraa (mashauriano) sio uchaguzi kama huu wa ccm na cuf, tena sio kila mtu anamchagua bali wenye elimu ya dini ya hali ya juu yaani maulamaa. Sharia inamtaka Khalifa ahakikishe kila mtu anapata milo 3 ya kushiba uhakika kabla yeye kiongozi mwenyewe hajashiba. Wapi duniani leo kuna dola ya kiislam? Kasomeni Islamic Caliphate mjifunze

Thus watsp ,swadakta chilubi nakumbuka khilafaa ya Omar Abdul Aziz ilifikia hatua hamna wa kumpa zaka" ama kwl atakaejitanga na kilicholetwa na Allah ataishi maisha duni na ya mashaka hapa dunian na kesho akhera ataingia motoni
 
Habari zenu.

Nadhani sote tunajua kinachoendelea Nigeria, Kenya, Misri, Sudan na orodha inaendelea.

Nchi zote zenye kufuata sheria za kiislam hakuna hata moja yenye amani. Kwanini?

Lengo ni kuwa serikali yetu ifikiri kwanza kabla haijaamua.
Nchi zote ulizotaja hazifuati sharia ya kiislam,wala haziongozwi kiislamu.Kabla ya kuandika kitu fanya utafiti kwanza.
 
Hii ni kutokana na post uloisoma nyuma kukatazwa kwa milio ya simu. Lakini ukajisifia kuhusu "mambo yetu yale", ni jinsi gani inavoonesha ulivyokuwa akili mchungwa kwa kuona faghari watu wakidhalilishwa mbele ya camera, sijui dini yako ndo inavofundisha ivo? Ili nikupe elimu kidogo sababu za kukatazwa izo ringtone ni pale kuwa lengo la Quran halifikiwi. Quran inatakiwa isomwe na isikilizwe. Unapoweka ringtone maana hupotea kabisa, ikilia lengo lako sio kuisikiliza bali lengo lako ikushtue kuwa simu inaita na ubaya zaidi, kupokea simu kabla aya haijamaliza, ni kupoteza maana totally.

Mtoa mada, nikuulize, KENYA inaaongozwa na sharia nayo? Na wewe nikuelimisha, hakuna nchi inayohukumu kwa kutumia sharia law kikamilifu ndio maana ukaona hakuna amani, vipi amani itakuwepo kama kuna dhulma? Katika uislam sheria inamgusa kila mtu, leo nambie lini mfalme wa saudia akaguswa na sharia? Sharia si kwa wananchi tu, bali ni kwa watu wote mpaka kiongozi, na kitu chengine ni mfumo wa kuwepo kwa vyama, na kuwepo kwa rais ambae dini haijui. Soma historia ya Dola za Kikhalifa. Katika zama za ukhalifa ilifikia wakati hakuna ata maskini wa kupewa sadaka au Zakka, pia kulikuwa na system ambayo, kama unavoona mailbox lile la barabarani, wakati wa dola ya kiislam ilikuwepo kwa ajili ya kuwekwa pesa, mwenye shida huenda akachukua kiasi akitakacho, lakini pia hakupatikana wa kuzichukua kwa sababu hakukuwa na mwenye shida ya mali, na watu walikiwa wakiishi na amani kabisa. Hakuna nchi yoyote inayohukumu kwa sharia law, sharia ya kiislam inataka kiongozi awe KHALIFA (sio raisi au mfalme) tena awe anaijua dini juu chini chini juu, anachaguliwa kwa shuraa (mashauriano) sio uchaguzi kama huu wa ccm na cuf, tena sio kila mtu anamchagua bali wenye elimu ya dini ya hali ya juu yaani maulamaa. Sharia inamtaka Khalifa ahakikishe kila mtu anapata milo 3 ya kushiba uhakika kabla yeye kiongozi mwenyewe hajashiba. Wapi duniani leo kuna dola ya kiislam? Kasomeni Islamic Caliphate mjifunze

mimi ni mkristo ila kwasababu hii ulioiweka nakubaliana na wewe 100%.....
 
Back
Top Bottom