Kwanini nchi zinazoongozwa na sharia zote hazina amani ?


jazakallahu khair
 
With a lot of thanks,baaraka LLAH fiika bother in faith
 
Acha uongo wa ajabu alafu mtu kama huyu utaskia anakwambia yuko chuo kikuu!!!

I hope must come from Marian schools,usijali kaka c unajuakuhitimu sio mwisho wa ujinga,ndio maana sishangai kwa nini nchi yetu haiendelei
 
izlam ni dini iliyoanzishwa na CIA. Wasiojua historia na siri za dunia hii watabisha.

Nilipoambiwa hiyo siri nimenyamaza kimia sibishani nao tena.
Hivyo tu baaasi,sasa ww badala ya kuwa kichwa ndio mtu afadhali ungelijiita TUMBO ndio mtu maana naona hata unachokiandika haukijui
 
wanashadadia boko haram eti wapingaji wa elim ya ulaya na marekani lakini wanafanya hivo online thr internet hahahahahahahaahhaahhahahahahah na mkononi wana smartphones zenye android os hahahahahahahahahaahhhahah tena wamevaa tai hapo walipo hahahahahahaahahahahahah alafu wanacomment kwa kingereza hahahahahahahahahaaa

ongezea na yako hapo chini.......... ukimalizia na hahahahahahahahahahhaha:baby::baby::baby::majani7::majani7::majani7:
 
Jamani walau tuwe tunasomasoma kabla hatujaleta mada..
 
Habari zenu.

Nadhani sote tunajua kinachoendelea Nigeria, Kenya, Misri, Sudan na orodha inaendelea.

Nchi zote zenye kufuata sheria za kiislam hakuna hata moja yenye amani. Kwanini?

Lengo ni kuwa serikali yetu ifikiri kwanza kabla haijaamua.
Akili ndogo kabisa,fanya tafiti usikurupuke...nadhani hujui Sharia nini na nchi zipi hufuata sharia.
 
Habari zenu.

Nadhani sote tunajua kinachoendelea Nigeria, Kenya, Misri, Sudan na orodha inaendelea.

Nchi zote zenye kufuata sheria za kiislam hakuna hata moja yenye amani. Kwanini?

Lengo ni kuwa serikali yetu ifikiri kwanza kabla haijaamua.

Mkui hii mifano hapa
Fanya utafiti tena
 

aisee umenichekesha na hii post yako!!! lakini ni kweli kabisa...boko haramu maanake western education is forbiden....
lakini karibu kila wanachotumia ni PRODUCT OF WESTERN EDUCATION!!!!!!
 
Ivi unataka kutuaminisha nchi zote zisizotumia sheria za kiislamu zina amani? Nini maana ya amani ya nchi?

Na jee kama nchi za kiislamu hazina amani, ni nini kinafanya zisiwe na amani?
How about Saudi Arabia?

saudi arabia hakuna amani unatakiwa ujue absence of war or violence does not mean there is peace!!! kule ni kama watu wote wamefungwa jela ya nje ukileta disapproval tu watu wanakata kichwa so usiseme kuna aman, aman ya kweli ni ile inayopatika ikiendana na uhuru wa watu!!!
 
thread za namna hii siku hizi ni nyingi au watu wanaona raha watu wengi wanavyo zijibu.(itakuwa jitu limeanzisha thread ya hivi halafu linamuonyesha bwana'ke jinsi linavyojibiwa huku limeukalia 'mgegedo')
 
Habari zenu.

Nadhani sote tunajua kinachoendelea Nigeria, Kenya, Misri, Sudan na orodha inaendelea.

Nchi zote zenye kufuata sheria za kiislam hakuna hata moja yenye amani. Kwanini?

Lengo ni kuwa serikali yetu ifikiri kwanza kabla haijaamua.

Katika hizo nchi ulizozitaja, zinafuata sharia !?
Ni viroba au umekata tamaa na maisha !???
 
izlam ni dini iliyoanzishwa na CIA. Wasiojua historia na siri za dunia hii watabisha.

Nilipoambiwa hiyo siri nimenyamaza kimia sibishani nao tena.

Me najua ni vatcan roma ndo waliianzisha islam..google how vatican created islam?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hivi kuna jema katika uislamu??

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Habari zenu.

Nadhani sote tunajua kinachoendelea Nigeria, Kenya, Misri, Sudan na orodha inaendelea.

Nchi zote zenye kufuata sheria za kiislam hakuna hata moja yenye amani. Kwanini?

Lengo ni kuwa serikali yetu ifikiri kwanza kabla haijaamua.
One of the attributes of Allah is going against peace.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…