Kwanini ndege huyu ameitwa ndege mwaarabu?

_aysher

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2016
Posts
1,131
Reaction score
942
Habari za asubuhi habari za ijumaa wana jf.
Swali langu kwanini ndege huyu ameitwa ndege mwaarabu?
1.kafanana na waarabu?
2.anatabia za waarabu?
Mi sijui ndio maana nimelileta kwenu mnisaidie nimekuwa nikiwaza siku nyingi, kwanini asiwe ndege msukuma au ndege muha? Why mwaarabu
 
Labda anatabia za kiarabu arabu,au yupo laini laini yaan tabia za kiurojo urojo kipwani pwani-siunajua ile yakheeeeeeeeee
 
Haitwi Mwarabu anaitwa Marabou Stork,huyu ni maarufu kwa kua shingoni kwake anamfukao(gullar sac) ambao anaweza weka mifupa mikubwa kabisa na kumwagia nyongo kwa muda mfupi ikasagika yote,ni mkubwa pia,kwa hiyo huwa mfuko una rahisisha digestion,sasa sina hakika kama hilo jina ndo limechukuliwa uarabuni au
 
Mazingira yake kimaisha yukoje kuanzia mahitaji hadi hali ya hewa aipendayo?
Simfaham kiundani ndio maana nikauliza humu ili anaemjua atujuze mi huwa namuona tu.
 

Sio mwarabu bali ni marabou stork,sasa waswahili tunaitamka kama mwarabu stok[emoji1545]
 
Ahsante mkuu kwa ufafanuzi wako.
 
Asifanye ke?vyzi juu ya paa lako la msauzi ndani ya wiki linabadilika kuwa chokaa? eti mbona sijawai kuona vifaranga vyake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…