Kwanini ndege huyu ameitwa ndege mwaarabu?

Kwanini ndege huyu ameitwa ndege mwaarabu?

Sawa mkuu, Ndege huyu anapenda sana mazingira ambayo ni ya upatikanaji wa chakula(mizoga) mara kwa mara na pia huwa anapenda pembezoni mwa bahari au ziwa ambapo watu hujishughulisha na shughuli za uzalishaji wa samaki. Kule kwetu ndege huyu tunamuita TAI, Tunamuita hivyo kwa sababu akimeza chakula kabla ya kushuka sehemu ya shingo lake hutuna na kuning'inia mithili ya tai.
Hata wewe umechanganya desa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mwenye picha ya yule mtoto akilia alipokuwa karibu na huyo ndege
 
Sijawahi sikia hili jina miaka 39 ya pumzi zangu,nadhani hata ningekufa Leo nikafika mbinguni nikapata mtihani wa kuwekewa picha ya hilo dege ningefeli na jehannam ingenihumu shukran kwa kunijuza "ndege mwarabu"
 
69d91c249616007f5a15f546a7fffef5.jpg
 
Sijawahi sikia hili jina miaka 39 ya pumzi zangu,nadhani hata ningekufa Leo nikafika mbinguni nikapata mtihani wa kuwekewa picha ya hilo dege ningefeli na jehannam ingenihumu shukran kwa kunijuza "ndege mwarabu"
Haahaaa
 
Anaitwa Ndege John jina rasmi... Mtaani anaitwa Bwana Afya utampata pale viwanja vya furahisha, Mwaloni, hapa mitaa ya vick fish mpaka kwa mswahili kama unatoka igogo kwenda nyegezi, kamanga ferry, iloganzala na maeneo mengi yenye uchafu hasa wa samaki (chakula chao) jina la ndege mwarabu ndokwanza naliskia kwako. mi nimezaliwa na kukulia mwanza (Sio Kolomije) ni town kabisa hapo kauma.
 
Back
Top Bottom