Kwanini ndege huyu ameitwa ndege mwaarabu?

Asante mkuu kwa ufafanuzi wako mzuri kuhusu huyu ndege
 
Basi kwa makabila ya tanzania 124, baadhi yao wana jina naye mfano sisi tunamwiita "DYOVU"
Haswa pengine anaitwa majina tofauti kulingana na mtazamo wa sehemu husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…