Kwanini ndege za Abiria hazina "Ejection Seats" kama ndege za kivita kusaidia kuokoa maisha ikitokea ajali?

Kwanini ndege za Abiria hazina "Ejection Seats" kama ndege za kivita kusaidia kuokoa maisha ikitokea ajali?

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Ndege za kivita "fighter jets" na baadhi ya Helicopter za kijeshi zina seat special za kuokoa maisha ya rubani na crew member wengine ikitokea ndege imepata tatizo kubwa litakayopelekea kuanguka.

images (9).jpeg
Kwahiyo rubani ata activate mechanism ya kueject, sehemu ya juu ya ndege itafunguka na kisha seat itatoka ikiwa na mtu aliekaa na kushuka baadae kwa msaada wa parachute.
images (10).jpeg

images (11).jpeg

Ni Teknolojia iliyokuwepo tokea miaka ya 1940s.

Sasa, kwanini commercial airlines wasimodify kidogo na wao wakaweka kwenye ndege, likitokea la kutokea rubani anabonyeza button abiria wote wanarushwa hewani?
 
Ndege za kivita "fighter jets" na baadhi ya Helicopter za kijeshi zina seat special za kuokoa maisha ya rubani na crew member wengine ikitokea ndege imepata tatizo kubwa litakayopelekea kuanguka.

Kwahiyo rubani ata activate mechanism ya kueject, sehemu ya juu ya ndege itafunguka na kisha seat itatoka ikiwa na mtu aliekaa na kushuka baadae kwa msaada wa parachute.

Ni Teknolojia iliyokuwepo tokea miaka ya 1940s.

Sasa, kwanini commercial airlines wasimodify kidogo na wao wakaweka kwenye ndege, likitokea la kutokea rubani anabonyeza button abiria wote wanarushwa hewani?
Kwa jinsi ndege za abiria zinavyoundwa ni ngumu sana kuweka ejector seat, kama. Picha zako zinavyojieleza hapo juu, utaona kuwa ejector seat huwa inaondoka na roof nzima ya hiyo ndege, pili hiyo mechanism ya seat ejection natumia nguvu nyingi sana na si kila mtu anaweza ku survive hizo g force, hao wenyewe marubani wenye mafunzo kibao wakifanyaga hizo ejection, wanaweza kutumia muda fulani hospitalini hadi wakae sawa, na Kuna wengi wamekuwa walemavu wa maisha, kuvunja uti wa mgongo ni chap tu kwenye. Seat ejection.
 
Kwa jinsi ndege za abiria zinavyoundwa ni ngumu sana kuweka ejector seat, kama. Picha zako zinavyojieleza hapo juu utaona kuwa ejector seat huwa inaondoka na roof nzima ya hiyo ndege, pili hiyo mechanism ya seat ejection natumia nguvu nyingi sana na si kila mtu anaweza ku survive hizo g force, hao wenyewe marubani wenye mafunzo kibao wakifanyaje hizo ejection wanaweza kutumia Muda fulani hospital hadi wakae sawa, na Kuna wengi wamekuwa walemavu wa maisha, kuvunja uti wa mgongo ni chap tu kwenye. Seat ejection.
Mkuu umeandik kama vile haiwezekani kabisa. Wakiamua wanafanya tuu.
 
Ndege za kivita "fighter jets" na baadhi ya Helicopter za kijeshi zina seat special za kuokoa maisha ya rubani na crew member wengine ikitokea ndege imepata tatizo kubwa litakayopelekea kuanguka.

Kwahiyo rubani ata activate mechanism ya kueject, sehemu ya juu ya ndege itafunguka na kisha seat itatoka ikiwa na mtu aliekaa na kushuka baadae kwa msaada wa parachute.

Ni Teknolojia iliyokuwepo tokea miaka ya 1940s.

Sasa, kwanini commercial airlines wasimodify kidogo na wao wakaweka kwenye ndege, likitokea la kutokea rubani anabonyeza button abiria wote wanarushwa hewani?
Walishawaza hayo muda na R & D za kutosha ikathibitika haiwezekani.
 
U
Mkuu umeandik kama vile haiwezekani kabisa. Wakiamua wanafanya tuu.
Ungekuwa unafatilia mambo ya aviation ungeelewa ninachosema! Aviation industry ni moja ya eneo ambapo safety inachukuliwa kwa makini sana, chochote kinachoweza kuokoa maisha kama kinawezekana kinawekwa.
Nakupa sababu ya pili kwamba kwa nini hiko kiti haiwezekani kuweka kwenye ndege za abiria, gharama!! Kwanza kinahitaji maintanance kila baada ya Muda fulani hata kama haijatumika, hizo periodic maintanance kwa ndege za kivita ambazo haziruki mara kwa mara gharama yake inaweza kufika hadi dola 30,000,, na hii hufanyika kila baada ya miezi 12 hadi 24, unaweza kuona kwa ndege za abiria inakuaje!! Initial costs ya huko kiti ni kuanzia dola 150, 000 na Kuna vya hadi. Dola 400,000
 
Au kwanini ndege isitengenzwe Kwa material yaliyounda black box ili isilipukage
Aircraft are like flying fuel tanks with people on top!! Kwa asilimia kubwa mafuta ndo kitu kizito kinachobebwa wakati wote wa safari. Inapotokea ajali, mlipuko hauepukiki.
Your boeing 787 ina fuel tank capability ya Lita 120, 000, hii ni zaidi ya semi trailer 4, at full capacity! ule moto wa morogoro ilikuwa ni semi trailer moja tu.
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Sasa, kwanini commercial airlines wasimodify kidogo na wao wakaweka kwenye ndege, likitokea la kutokea rubani anabonyeza button abiria wote wanarushwa hewani?
Abiria wa kawaida sio mwanajeshi, mwanajeshi anayo mafunzo na stamina kuhimili hizo mbanga za ejection.

Lakini ukute raia hata jogging tu tabu halafu ndioaeject huko juu atakufa tu enewei...... ya nini kujihangaisha na hiyo teknolojia
 
Back
Top Bottom