KWANINI NDONDO CUP NI NGUMU?

Wanduta

Senior Member
Joined
Mar 28, 2018
Posts
123
Reaction score
40
hii imeonekana kuwa mashindano magumu zaidi kuwahi kutokea duniani,na wataalamu Wanasema kwamba ya weza kuwa magumu kushinda ligi kuu hispania,uingeleza,Italia,marekani,uholanzi na ufaransa,je wadau Kuna ukweli wowote KWENYE hili?
 
hii imeonekana kuwa mashindano magumu zaidi kuwahi kutokea duniani,na wataalamu Wanasema kwamba ya weza kuwa magumu kushinda ligi kuu hispania,uingeleza,Italia,marekani,uholanzi na ufaransa,je wadau Kuna ukweli wowote KWENYE hili?
Mkuu umejishusha sana hadhi yako. Kweli ndondo cup iwe ngumu kuliko EPL au Serie A?
 
hii imeonekana kuwa mashindano magumu zaidi kuwahi kutokea duniani,na wataalamu Wanasema kwamba ya weza kuwa magumu kushinda ligi kuu hispania,uingeleza,Italia,marekani,uholanzi na ufaransa,je wadau Kuna ukweli wowote KWENYE hili?
Nachukulia huu uzi kama utani wa mwandishi
 
Ndondo cup ina ugumu gani? Hii pokezana pokezana ni ishara timu zote ni kiwango duni.
 
Ulaya izidiwe na ndondo? Ligi kuu yenyewe wachezaji hawana maagenti wanajisimamia wenyewe pia wanasaini timu mbili tofauti mkuu waliotoa maoni hayo hawajielewi kabisa.
 
Ulaya izidiwe na ndondo? Ligi kuu yenyewe wachezaji hawana maagenti wanajisimamia wenyewe pia wanasaini timu mbili tofauti mkuu waliotoa maoni hayo hawajielewi kabisa.
 
Ndondo cup ni michuano ya nchi gani? Sijawahi kuisikia
 
Hahahhaha dah kuna mambo yanachekesha sana eti ndondo cup ni michuano migumu kuliko epl nimejikuta nina cheka tu, dhamira yako ilikua ni nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…