Kwanini ndoto ya CHADEMA ya muda mrefu ya kushika dola wananchi wameinyonga mpaka kufa (Part 1)

Aliyekuroga kafa na hirizi umepoteza. Hatusumbuki na CHADEMA tunasumbuka na adui mkubwa wa maendeleo ccm ambao mpaka sasa wametufikisha pabaya na kupandikiza akili za kidwanzi kama zako kwa raia masikini waliozungukwa na rasilimali lukuki za taifa.
Khaaa
 
Tume huru ya uchaguzi itakayo simamia uchaguzi huru na haki chini ya katiba mpya ndio itasema chama kipi kimekufa. Kabla ya hapo ni porojo tu
 
Mdee ondekeni huko, njooni CCM maisha yaendelee
 
Kwisha kabisa CHADEMA
 
Chadema ni chama kilichojizatiti kuwa cha kikaskazini hususani WACHAGA, hata wamasai hawana sauti ndo maana hakina mvuto kitaifa

Hiki ni chama cha WACHAGA

Yaani ChagaDema
Kitakuwa na mouton sasa hivi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…