Kwanini ndugu zetu Wahutu na Watusi wasipromote kuoana zaidi ili Kuongeza Ushirikiano na Amani baina yao

Kwanini ndugu zetu Wahutu na Watusi wasipromote kuoana zaidi ili Kuongeza Ushirikiano na Amani baina yao

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
15,460
Reaction score
24,233
Today's Decision are tomorrow Realities..., Nadhani hawa ndugu zetu ni kama Petroli inafuka inahitaji Spark (cheche) kidogo tu ili moto kuwaka...; Sasa kwa faida ya vitukuu vyao kwanini wasichanganyikane zaidi na zao la mchangayiko huo lisitengwe ?;

Haya mambo mwisho wa siku ni perception tu hata Nigeria kulikuwa na Kabila la Igbo (descendants of slaves) ilikuwa ni ngumu kuolewa...

Kwahio promotions na incentives zinatakiwa, Mfano karne hii ambapo watu wengine wanaona kuvuta mke gharama wanaweza wakasema hata Serikali inawasaidia na kuwapromote such couples kama mfano wa kuigwa...

Bila ya hivyo kwa hawa mahasimu nadhani itakuwa ni ku postpone the inevitability...; Vile vile kwa wale Watusi wa kule Kivu wajitahidi kuchanganya damu na wenzao..

Just my two Cents...
 
Waige Tanzania, Tanzania unaoa kabila lolote, unaoa dini yoyote mradi tu mmependana. ukabila na udini haupo. Ukionekana unapepelea ukabila na udini utakemewa mpaka uone aibu kwa kubagua watu wa taifa moja
 
It was narrated to me that this was the last option Nyerere had in mind. He died before accomplishing this. Nevertheless, the Tutsis maintain marrying their own.
 
It was narrated to me that this was the last option Nyerere had in mind. He died before accomplishing this. Nevertheless, the Tutsis maintain marrying their own.
How could he have accomplished that ? Ingawa nasikia Zanzibar Rais wa kwanza wa huko alikuwa analizamisha muunganikano wa waarabu na wabantu (sijui ukweli wa hili)

Anayeweza kuonyesha Mfano ni kama Kagame hata akivuta mke wa pili atafute Muhutu..; Au mastaa fulani waanze kufanya hivyo ili ionekane normal (nilisikia huko ukifanya hivyo ndugu zako wanaweza kukutenga)
 
Waige Tanzania, Tanzania unaoa kabila lolote, unaoa dini yoyote mradi tu mmependana. ukabila na udini haupo. Ukionekana unapepelea ukabila na udini utakemewa mpaka uone aibu kwa kubagua watu wa taifa moja
Haya mambo yakionekana ni ya kizamani na kukosa ustaarabu ndio yatatokomeza huu upuuzi
 
Hawapatani
Kama mababu hawapatani ni jukumu la Wajukuu kuanza kurekebisha hayo mambo ili mwisho wa siku vitukuu visirithi hizo dhambi.

Kuna kipindi watu fulani wa Mara / Musoma / Washashi walikuwa wanakatana mapanga na kuuwana ukoo mpaka ukoo kwa ajili ya mfarakano uliotokea hata kabla wao hawajazaliwa..., ila ndio hivyo busara ilitumika hapo katikati ku break the chain...
 
Nani alikuambia kuwa wahutu na watutsi hawaoani ?

Na kwa nini unawaza tu habari za kuoana kati ya wahutu na watutsi ?
 
Nani alikuambia kuwa wahutu na watutsi hawaoani ?
Wanaowana ila sio sana, Na kuna incidences zilitokea za watu kutengwa sababu ya kuoana (yaani kuwatenga)
Na kwa nini unawaza tu habari za kuoana kati ya wahutu na watutsi ?
Kama tukijifunza kutoka Yugoslavia na yale mauaji ya kule kuna report kwamba kungekuwa kuna muingiliano wa intermarriages huenda kungepunguza conflicts

Predictions of social cohesion theory; agrees that intermarriage reduces the probability of violent conflict among social groups.

Na sio Wahutu na Watusi tu bali na ndugu zao wengine wa kile North Kivu na South Kivu
 
Watutsi wanadharau sana Wahutu imagine Kagame aowe mwanamke mfupi wa kihutu
 
Watutsi wanadharau sana Wahutu imagine Kagame aowe mwanamke mfupi wa kihutu
Actually binafsi naona wanyarwanda wanafanana sana yaani kama wachina au wajapan kupata varieties nadhani itawasaidia hata kuunganisha damu...; Yaani ni kama slesi za mkate....
 
Back
Top Bottom