Kwanini neno Ambulance kwenye gari la wagonjwa huwa linageuzwa?

Kwanini neno Ambulance kwenye gari la wagonjwa huwa linageuzwa?

Boran Jakutay

Senior Member
Joined
Apr 8, 2023
Posts
110
Reaction score
259
Screenshot_20230412-214523.jpg

Kwa nini kwenye AMBULANCE maneno ya hapo mbele huwa yanagezwa?
 
Mkuu, huwa yanapinduliwa ili dereva wa gari nyingine (ya mbele akiangalia kwenye vioo vyake) apate urahisi wa kuyasoma na kusaidia mambo fulani, mfano kuipa nafasi ipite, kuachia njia n.k

Kumbuka, maandishi husomeka kinyume kwenye vioo vya gari, yakipinduliwa hivyo maana yake yatasomeka kawaida.
 
Hii kitu ni muhimu sana kuokoa maisha ya wananchi na raia
 
Mkuu, huwa yanapinduliwa ili dereva wa gari nyingine (ya mbele akiangalia kwenye vioo vyake) apate urahisi wa kuyasoma na kusaidia mambo fulani, mfano kuipa nafasi ipite, kuachia njia n.k

Kumbuka, maandishi husomeka kinyume kwenye vioo vya gari, yakipinduliwa hivyo maana yake yatasomeka kawaida.
Maelezo yenye logic na yana make sense, safi sana
 
Back
Top Bottom