Kwanini Ney hawasemi Clouds Media

screpa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
10,857
Reaction score
15,866
Ney ni msanii aliyejinyakulia umaarufu kwa kumchana yeyote anayezingua but sijawahi kuona akiwachana watu hawa pamoja na kulalamikiwa sana na wasanii wenzake.

Kama kweli ye kidume awachane hawa watu wa kuitwa 'Clouds FM' tuone Kama career yake haijaishia hapo hapo. Sio kila siku kuonea 'vidagaa tu', watu wa bongomuvi na wana Bongofleva wenzake.

Fanya Kama alivyofanya Sugu kwenye Antivirus halafu tuone kama utaendelea kuuza sura mjini hapa.
 
Anajua maana ya ule usemi, DONT BITE THE HAND THAT FEEDS YOU.
 
Mi nataka amchane Diamond tu maana hajawahi kumchana.
 
husikiagi malalamiko ya wasanii dhidi ya clouds?
We screpa kwani kwanini hao wanaolalamika wasiwe wakweli kama Ney?
Ney hajawachana maana anfaidika nao ndo maana singo hii ilizinduliwa XXL
 

Mawazo yako kama ID yako
 
We screpa kwani kwanini hao wanaolalamika wasiwe wakweli kama Ney?
Ney hajawachana maana anfaidika nao ndo maana singo hii ilizinduliwa XXL
unadhan hana malalamiko nao? unadhan huwa anaridhika anavyolipwa laki moja kwenye show za fiesta? Ni vile tu hana ubavu wa kuwachana maana hata hiyo singo alilazimika kuizindulia hapo ili kuogopa kubaniwa
 
Atakatataje tawi alilokalia?! ukitaka utoke kwenye ramani ya ubongofleva! waguse RADIO YA CLOUDS!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…