Kwanini Ney hawasemi Clouds Media

Aliichana BSS akaicha Clouds,.!? Huyu Neema mi ndo maana namuona ana genes za kike..
 
Aliichana BSS akaicha Clouds,.!? Huyu Neema mi ndo maana namuona ana genes za kike..
Neema ni muoga sana, anawachana watu anaoona hawawezi kumdhuru, kilasiku anawachana warembo na mablazamen wa bongomuvi
 
ha ha ha ha
thubutu ya mbuzi

muabudu shetani yule ajalibu aone kitakachomkuta
 

Nonsense.
 
Kuna mambo mengi yakufundisha jamii yetu kwa ujumla ikaelimika au ikaachana na mabaya inayofanya. Lakini Ney Wamitego kuwalenga masupastaa ni kama anataka kutafuta kick kupitia majibizano.
Sababu mengine kaingilia personal life ya mtu, sio lazima demu wangu umuone mimi sijui mshamba labda lkn hadi leo mke wa R.Kelly simjui.
Lakini watu wengine wanapenda mabando wanatangaza uchumba, urafiki, mimba kila mtu na maisha yake. NEY wa MAJUNGU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…