Mynd177
JF-Expert Member
- Dec 3, 2022
- 2,817
- 5,141
Habari wanajukwaa la kilimo na ufugaji,
Tafadhali rejea kichwa cha mada.
Ng'ombe hapa nyumbani siku za karibuni amekuwa akitoa maziwa ambayo kwa kweli ni kama maji, hayana uzito wowote na hata ukiyachemsha hayana ladha yoyote ni kama maji.
Jambo hili limepelekea mpaka wateja kulalamika kuwa tunawawekea maji, jambo ambalo hatujawah kufanya.
Naomba kujuzwa tatizo litakuwa nini? Je, ni ugonjwa? Na kama ni ugonjwa suluhu ni ipi?
Natanguliza shukrani.
Tafadhali rejea kichwa cha mada.
Ng'ombe hapa nyumbani siku za karibuni amekuwa akitoa maziwa ambayo kwa kweli ni kama maji, hayana uzito wowote na hata ukiyachemsha hayana ladha yoyote ni kama maji.
Jambo hili limepelekea mpaka wateja kulalamika kuwa tunawawekea maji, jambo ambalo hatujawah kufanya.
Naomba kujuzwa tatizo litakuwa nini? Je, ni ugonjwa? Na kama ni ugonjwa suluhu ni ipi?
Natanguliza shukrani.